johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,978
- 141,994
Mchungaji Mbarikiwa Mwakipesile amesema ni Haki yake ya kikatiba mh Tundu Antipas Lisu kwenda Ngorongoro kuongea na Wamasai walioko kwenye najaribu makubwa.
Mchungaji Mwakipesile amesema huwa anapishana na Tundu Lisu katika mambo mengi na hasa pale anamsemaga vibaya shujaa Magufuli lakini hilo haliondoi Ukweli kwamba Lissu ni Kiongozi makini na huwa anamuombea kwa Mungu wa mbinguni aje kuliongoza Taifa hili.
Nawatakia Jumatatu Njema 😄
Mchungaji Mwakipesile amesema huwa anapishana na Tundu Lisu katika mambo mengi na hasa pale anamsemaga vibaya shujaa Magufuli lakini hilo haliondoi Ukweli kwamba Lissu ni Kiongozi makini na huwa anamuombea kwa Mungu wa mbinguni aje kuliongoza Taifa hili.
Nawatakia Jumatatu Njema 😄