Wewe uliyempiga Risasi na Ndungai aliyemwibia mshahara wake na pesa za matibabu ndiyo wabaya wake lakini tambua kuwa michango itakuwa mikubwa ni pesa itamsaidia mpaka anazeeka na kuwa kikongwe, Ndungai kaamua kukomoa kwa Akili zake kumbe pengine mungu kaamua kufungua njia zingine za kusaidiwa na wanadamu wasio na roho mbaya kama za watesi wa CCM.Nyie ndio mnaendelea kumponza na kumpoteza kamanda msaliti. Unadhani utamchangia na kumtunza pamoja na familia take mpaka lini? Kuna watu wangapi wanaoweza kumchangia na kumtunza kwa muda mrefu? Huo uchangiaji wenu siyo sustainable, mnampotosha aendelee kujiharibia bure.