Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Umempiga za shingo na kumaliza mchezoTuko sayari moja lakini tuna mitazamo tofauti.
Umempiga za shingo na kumaliza mchezoTuko sayari moja lakini tuna mitazamo tofauti.
Hivi kuna kesi kubwa kama ya ugaidi?Kesi za uchochezi ziliondoka na mwendazake!
Ck hizi hazisikiki Kama awam ya tano
Alipwe stahiki zake zote:Siyo rahisi Tundu Lisu kurudi nchini! Huku hatakuwa na uhalali wa kula bure na kulala bure kama huko ugaibuni ambako anakula kuku kwa mrija kwa gia ya ukimbizi wa kisiasa!!
Kwahiyo unajiona wewe unayeishi kwa shemeji yako unakula bure na kulala bure ndiyo bonge la mjanja?Siyo rahisi Tundu Lisu kurudi nchini! Huku hatakuwa na uhalali wa kula bure na kulala bure kama huko ugaibuni ambako anakula kuku kwa mrija kwa gia ya ukimbizi wa kisiasa!!
KWENYE SIASA TIMING YA MAMBO NDIYO KILA KITUHii ni habari iliyoandikwa na gazeti la MWANANCHI la leo.
Wakati ni habari iliyotarajiwa ifurike maoni mitandaoni kinyume chake ni kama vile haipo kabisa.
Hata mimi humu nimei post mara ya kwanza ikafutwa na sijui kama hii mara ya pili haitafutwa.
View attachment 2036038
Kwani hizo zilikuwa ni kesi au vikao vya majungu vya CCM,
Habari kubwa tungesikia waliompiga Risasi wamekamtwa.
Haiwezi kuwa na ukubwa kwani kesi zenyewe kesi mshenzi, na zakutengenezwa nawashenziHii habari naona ni kubwa lakini inapita kimya kimya.
Kwani alikimbia kesi?Arudi nyumbani sasa!
Kumenoga!
Kwa maisha yake ulikuwa una mwendeshea wewe.Siyo rahisi Tundu Lisu kurudi nchini! Huku hatakuwa na uhalali wa kula bure na kulala bure kama huko ugaibuni ambako anakula kuku kwa mrija kwa gia ya ukimbizi wa kisiasa!!
AMENKaribu kuna pambazuka
Kulikuwa na kesi ndio.Kwani kulikuwa na kesi au kulikuwa na upuuzi??
Nilisema jf sasa karibu iwe kama gazeti la uhuruHii ni habari iliyoandikwa na gazeti la MWANANCHI la leo.
Wakati ni habari iliyotarajiwa ifurike maoni mitandaoni kinyume chake ni kama vile haipo kabisa.
Hata mimi humu nimei post mara ya kwanza ikafutwa na sijui kama hii mara ya pili haitafutwa.
View attachment 2036038
AsanteeeeeeHili ni jukwaa la watu wenye akili timamu. Ni vema ukatafuta jukwaa la wehu, litakufaa.
Umeandika kama vile unatamani na wewe kula na kulala bure. Basi pia kubali risasi 30 tukuombee ukimbizi mkuuSiyo rahisi Tundu Lisu kurudi nchini! Huku hatakuwa na uhalali wa kula bure na kulala bure kama huko ugaibuni ambako anakula kuku kwa mrija kwa gia ya ukimbizi wa kisiasa!!
Kweli habari muhimu na moto moto kama zamani hamna.JF imeshuka hadhi.Nilisema jf sasa karibu iwe kama gazeti la uhuru