Tundu Lissu aanza Ziara nchini Marekani

Tundu Lissu aanza Ziara nchini Marekani

Hii ni taarifa ambayo ameitoa yeye mwenyewe , amesema ziara hiyo haina tofauti na ziara zingine zile alizozifanya awali ambapo amedai atakuwa ziarani kwa wiki 2 .

Taarifa hiyo inadokeza kwamba tarehe 7 - 9 ya mwezi huu atakuwa Washington DC , bado haijafahamika rasmi kama atakutana na Rais Trump au la .

Mungu Mbariki mtumishi wako Tundu Lissu

Duh...inaelekea Ndugu yetu huyu amepona na yuko vizuri...ila najiuliza kama ni hivyo alishindwa nini kurudi TZ na kuhudhuria hata kikao kimoja cha Bunge??
 
Duh...inaelekea Ndugu yetu huyu amepona na yuko vizuri...ila najiuliza kama ni hivyo alishindwa nini kurudi TZ na kuhudhuria hata kikao kimoja cha Bunge??
anajua matatizo yake ndiyo maana hataki kurudi anashida sehemu huyu anaogopa kurudi
 
Hii ni taarifa ambayo ameitoa yeye mwenyewe , amesema ziara hiyo haina tofauti na ziara zingine zile alizozifanya awali ambapo amedai atakuwa ziarani kwa wiki 2 .

Taarifa hiyo inadokeza kwamba tarehe 7 - 9 ya mwezi huu atakuwa Washington DC , bado haijafahamika rasmi kama atakutana na Rais Trump au la .

Mungu Mbariki mtumishi wako Tundu Lissu
Shithole! Yaani anategemea heshima toka US?
Naona wale wanaomsubilia arudi kama Masiha wa wakristu, wanapoteza matumaini. Huyu mtu reasoning yake ni mbovu.
 
Njozi nyingine bwana, mawengewenge
Atakuwa na Trump, my foot, jimbo kakosa, uchaguzi ndani ya chama hamna, kadi numbe tatu ya ACT anayeimiliki amegoma kuitoa na Maalim Seif amemgimea Zitto kumleta TL ACT masikini aende wapi
 
Njozi nyingine bwana, mawengewenge
Atakuwa na Trump, my foot, jimbo kakosa, uchaguzi ndani ya chama hamna, kadi numbe tatu ya ACT anayeimiliki amegoma kuitoa na Maalim Seif amemgimea Zitto kumleta TL ACT masikini aende wapi
 
Ulishawahi hata kupigwa risasi hata moja maishani mwako? Ni kipi alichokukosea wewe binafsi Tundu Lissu? Au nikipi alicholikosea Taifa Tundu Lissu kupita Rostam,kupita Change,kupita Rugemalira,kupita Patel hawa wote pamoja na Ngurumo aliyempelekea milioni 900 za escrow Ikulu kwa Jakaya mbona wapo salama salimini. Kosa la Tundu Lisu nilipi mpaka astahili kuuwawa kikatili mchana KWEUPE? Na mkapa aliyejimilikisha mgodi wa makaa ya mawe kiwira yeye na familia yake unamchukia Kama Tundu Lissu?

Bora ukose chakula lakini ukawa na uhuru kamili.
 
Baba katika jina la YESU tunakuomba umbariki mja wako Tundu Lissu, umuepushe na mashetani yanayomuwinda. Amen
 
Pimeni kauli zenu!!! Ukipelekwa kwenye maeneo husika kudhibitisha hili bila ubabaishaji utaweza!?
Instagram media - Bt2Krycj3b7.jpg
 
Back
Top Bottom