Jadason Monga
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 366
- 349
Kweli nimeamini kuna watu na viatu wote mnao mdiss lissu ni mashetani kabsa
Kibaraka huyo.
Cjui why yupo tu
.
Kwani hapa anaetakiwa kuona aibu yupi alikaa nyumbani kwake au anaezurula majumbani kwa watu??
Kwa kuwa yupo tofauti na hisia zako ndo unajiona wewe unaakili sawasawa??una akili timamu ?
ndugai anahusika vipi na uhuni anaofanya huyo kitobo maana akiitwa huku anasema anaumwa halafu anaenda ulaya kusapot mashoga anataka atuletee mashoga huku?Kuhusu hilo swali lako ni vema ukamuuliza Ndugai
anaumwa nini sasa keshapona zamani sanaaaaYawezekana haumwi,sindiyo?
Kwa taarifa yako Moderator siyo wa CDM wala CCM, hawana ushabiki wa chama chochote.Kumiliki ID 5 kusikufanye ukajisahau sana , moderator amekuona bila shaka
Umewasiliana na daktari wake?Au wewe jnahisi alijeruhiwa na fimbo,tena moja?anaumwa nini sasa keshapona zamani sanaaaa
Silaha pekee ya masikini ni matusi na uchawi .ndugai anahusika vipi na uhuni anaofanya huyo kitobo maana akiitwa huku anasema anaumwa halafu anaenda ulaya kusapot mashoga anataka atuletee mashoga huku?
Nyota ya Lissu kila ukijaribu kuifuta ndio kwnza inazidi kung'ara.Hii ni taarifa ambayo ameitoa yeye mwenyewe , amesema ziara hiyo haina tofauti na ziara zingine zile alizozifanya awali ambapo amedai atakuwa ziarani kwa wiki 2 .
Taarifa hiyo inadokeza kwamba tarehe 7 - 9 ya mwezi huu atakuwa Washington DC , bado haijafahamika rasmi kama atakutana na Rais Trump au la .
Mungu Mbariki mtumishi wako Tundu Lissu
we acha kumchosha mungu na hadithi zako huyo tapeli anasema anaumwa mara anafanya ziara aelewekeje sasa?
Kwa sababu Mipango ya Mungu mwanadamu hawezi kuizuia... Uwepo wake ni mpango wa MunguKibaraka huyo.
Cjui why yupo tu
.
Wafuasi ndio kwanzaaaaaaa.....Ajue tu huku keshaanza kupotea, wafuasi wake sasa wamepukutika kwa kasi.
Pimeni kauli zenu!!! Ukipelekwa kwenye maeneo husika kudhibitisha hili bila ubabaishaji utaweza!?Wale majamaa waliotaka kumwua Lissu pale area D. walivaa kama avatar yako je ulikuwa miongoni wa walenga shabaha??
Amina, wote tuseme AmeniTunamuombea kwa Mungu ampe maisha marefu na azidi kumbariki
Mhh Mbona tuliambiwa amezuiwa kuingia bunge la USA
Ila asiende kuisema vibaya nchi yake