Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,793
- 284,881
- Thread starter
- #241
Kuhusu kufanya ziara marekani uliamini ?Sina hofu yoyote ila nataka nijue kama kweli alifanya hivyo kutokana na kile ulichokiandika.
Kuhusu kufanya ziara marekani uliamini ?Sina hofu yoyote ila nataka nijue kama kweli alifanya hivyo kutokana na kile ulichokiandika.
Huwa naziamini taarifa zako kumbe ulisema uwongo?Kuhusu kufanya ziara marekani uliamini ?
kwa mfano ukiletewa ushahidi wa Lissu The Great kukutana na Trump na kubadilishana mawazo utakuwa tayari kuamini au utasema photoshop ?Mkuu, wewe uliamini kuwa lisu angekutana na Trump?!
Mbwembwe zote ziliishia wapi?Hii ni taarifa ambayo ameitoa yeye mwenyewe , amesema ziara hiyo haina tofauti na ziara zingine zile alizozifanya awali ambapo amedai atakuwa ziarani kwa wiki 2 .
Taarifa hiyo inadokeza kwamba tarehe 7 - 9 ya mwezi huu atakuwa Washington DC , bado haijafahamika rasmi kama atakutana na Rais Trump au la .
Mungu Mbariki mtumishi wako Tundu Lissu
kwanini unadhani nilisema uongo ?Huwa naziamini taarifa zako kumbe ulisema uwongo?
ndio hizo zilizoishia kwenye Urais wa Tanzania , au bado huamini ?Mbwembwe zote ziliishia wapi?
Si umeniuliza kama niliamini hiyo taarifa yako?kwanini unadhani nilisema uongo ?
Nasikia alipata wafuasi milion 80 na ndio watampigia kura hapo oktoba?hofu yako ni ipi ?
Hivi lile basi lake lilishafika bandarini?kwa mfano ukiletewa ushahidi wa Lissu The Great kukutana na Trump na kubadilishana mawazo utakuwa tayari kuamini au utasema photoshop ?
Nasikia jamaa yupo karantini huko ubelgiji, sasa sijui itakuweje.ndio hizo zilizoishia kwenye Urais wa Tanzania , au bado huamini ?
Alikoswakoswa kuuwawa na "mabeberu."Naomba kujua kosa la T Lisu ni lipi hata ahukumiwe kufa kwa kupigwa risasi nyingi tuu!!
Hiyo roho ya chuki asili yake sio Tz yetu ya amani!!
Jimilikishe kila kitu tuachieni uhai wetu!!
Lisu akisema ukweli mjibuni kwa hoja sio risasi!!
WaTz tuna haki ya kusema uchafu inaofanywa ma watawala.
Jibu kwa hoja sio risasi!!
Napendekeza Lissu afike ile siku ya kuzindua kampeni. What an impact!!!ndio hizo zilizoishia kwenye Urais wa Tanzania , au bado huamini ?