Walimnyang'anya fedha za ubunge walidhani atakosa nauli?? wachawi hawanaga akili nzuri...Prof.Kabudi kaenda Marekani kwa gharama za walipa kodi hakuna aliyetia neno.
..sasa hii habari ya TL, ambayo hata haijathibitishwa kuwa ni kweli, naona vijana wa mataga wamefura kwa hasira.
..hata kama ni kweli atakwenda Marekani, si anakwenda kwa gharama zake mwenyewe?
..Na kama ametoroka hospitali, wewe kijana wa mataga inakuuma nini?