Tundu Lissu aanza Ziara nchini Marekani

Tundu Lissu aanza Ziara nchini Marekani

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
141,793
Reaction score
284,881
Hii ni taarifa ambayo ameitoa yeye mwenyewe , amesema ziara hiyo haina tofauti na ziara zingine zile alizozifanya awali ambapo amedai atakuwa ziarani kwa wiki 2 .

Taarifa hiyo inadokeza kwamba tarehe 7 - 9 ya mwezi huu atakuwa Washington DC , bado haijafahamika rasmi kama atakutana na Rais Trump au la .

Mungu Mbariki mtumishi wako Tundu Lissu
 
Kibaraka huyo.
...Tambua hakuna beberu mwenye anaipenda Africa..ona kilichotokea Libya,Somalia,Misri,Angola na Hata Sudan ukifuatilia utajufunza vingi...Hebu ufikilie Congo then utajua nini wanataka haswa wanataka haswa kwa vibaraka uchwara kama Tundu la Kisu...Kuhusu kilichomtokea kila mtu kinaweza mtokea ili hali ni mpambanaji katika maisha...ila mwatumia Coincidence tu mnawaingiza watu sio katika sakata lake...but naamin na na muombea awe na upeo mpana na Atambue Watanzania tunataka mtu atakayeipambania Tanzania yeye kama yeye na si kwenda kuomba msaada uchwala au kuuchongea Tz nje...hatutaki mtu atakayeonekana innocent ulaya..tunataka mtu atakayeoneka innocent kwa watanzania...na atumie watanzania na si hao wachafunzi wa hali ya hewa huko Iraq na wanajaribu kila hali huko irani japo wamemshindwa Syria...
Over...
mimi sipo pande yoyote ila ukweli lazima ufunuliwe...na si kila mkosoa mpinzani ni ccm au mpongeza serikali ni CCM...
ukweli utasemwa na utabaki kusemwa hata mkibisha...
.
 
Hii ni taarifa ambayo ameitoa yeye mwenyewe , amesema ziara hiyo haina tofauti na ziara zingine zile alizozifanya awali ambapo amedai atakuwa ziarani kwa wiki 2 .

Taarifa hiyo inadokeza kwamba tarehe 7 - 9 ya mwezi huu atakuwa Washington DC , bado haijafahamika rasmi kama atakutana na Rais Trump au la .

Mungu Mbariki mtumishi wako Tundu Lissu
We na mungu wako wote wehu

Mungu wa kweli hayupo hivyo
 
we acha kumchosha mungu na hadithi zako huyo tapeli anasema anaumwa mara anafanya ziara aelewekeje sasa?
Ulishawahi hata kupigwa risasi hata moja maishani mwako? Ni kipi alichokukosea wewe binafsi Tundu Lissu? Au nikipi alicholikosea Taifa Tundu Lissu kupita Rostam,kupita Change,kupita Rugemalira,kupita Patel hawa wote pamoja na Ngurumo aliyempelekea milioni 900 za escrow Ikulu kwa Jakaya mbona wapo salama salimini. Kosa la Tundu Lisu nilipi mpaka astahili kuuwawa kikatili mchana KWEUPE? Na mkapa aliyejimilikisha mgodi wa makaa ya mawe kiwira yeye na familia yake unamchukia Kama Tundu Lissu?
 
Mhh Mbona tuliambiwa amezuiwa kuingia bunge la USA

Ila asiende kuisema vibaya nchi yake
 
Back
Top Bottom