Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,783
- 95,577
Jeneza halitafunguliwa sio kwasababu wewe umesema, bali ni kutokana na uwingi wa watu wanaojitokeza na kusababisha msongamano na vurugu kama ambavyo ilitokea jana uwanja wa Uhuru.Mtaona sasa kama ni sahihi au laa ndio mtajua hamjui kama JENEZA LITAFUNGULIWA .......
Tumeshuhudia bungeni limefunguliwa na wabunge wametoa heshima, hata Mwaza na Chato litafunguliwa pia kwaajili ya watu wachache.