Tunautaabisha mwili kwa manufaa ya nani?

Tunautaabisha mwili kwa manufaa ya nani?

We tulia waendelee kumzungusha zungusha athari zake tutaziona kwenye kodi

Wanajiskia ufahari kuona watu wakizimia na wengine kufa hawathamini maisha ya kiumbe ambacho kipo hai wanaangaika na maiti ambayo muda wowote inaoza
 
Walificha habari za kuugua kwake ,sasa wanataka kutuaminisha kuwa alikuwa anapendwa ,kwa nini kipindi anaugua msiweke wazi ili wananchi kwa nafasi zao wafanye maombi na dua ajili ya Mgonjwa.

Kwa sasa haileti picha nzuri katika hali ya uwiano ,eti kuuaga Mwili mara huku mara kule, Mwili ushaachana na Roho..
Najaribu kuwaza napata picha kuwa sisi wa tz Kuna kitu hakiko sawa.
 
Kitu nilicho notice sisi wa Tz Thinking capacity yetu ni ndogo kuliko punje ya haladali. Tunahis kuuzururisha mwili wa marehemu ndo kuonyesha kua tunampenda na kumjali hata tuki muaga mwaka mzima hakuna utofauti wowote tutakao ulete iwe kwa marehemu au kwa taifa zaid zaid ni gharama kuongezeka na maisha kuzi kuwa tight maana baada ya hilo zoezi bidhaa zinawez kupanda bei ili kufidia pesa iliyo tumika but who cares???
Nawaza Nini kitatokea baada ya siku 14 zijazo.kama covid-19 itatufanyia nini?
 
Kuna ratiba ndefu sana ya kuuaga mwili wa aliyekuwa rais wa Tanzania 2015-2021... Kwa ujumla wake ataagwa mara sita maeneo tofauti ya nchi ikiwemo Zanzibar iliyokuja kuchomekwa baadae kwa sababu za kisiasa
Msiba ni gharama kwa kila hatua na ni gharama zaidi kwa kila siku inayoongezeka kila siku ipitiyo bila kuzika...lakini zaidi kiimani ama kiroho si vema kuuhangaisha mwili uliokwisha tengana na roho labda tu iwe kwa maagizo ya mhusika
Safari ya kifo ni ndefu isiyo na kinyume ndio maana wafu hutolewa eneo alilofia, mochwari, nyumbani kisha kaburini... Ni safari ya njia moja... Ni kinyume cha mazoea kuutoa mwili mochwari na kuuanika siku nzima kisha kuurudisha mochwari tena na kuutoa tena na tena...

Watetezi wa hili wana hoja zao kama hizi
Dar kuaga ni mara mbili kutokana na wingi wa wakazi wake
Dodoma ni mji mkuu wa nchi alioupigania katika maisha yake hivyo si vizuri kuwaruka watu wa Dodoma
Mwanza ndio mkoa wa mji alikokulia
Geita na baadae Chato ndio nyumbani
Vipi kuhusu Zanzibar? Ni sehemu ya muungano , japo leo tayari kulikuwa na wawakilishi waliokuja kwa gharama za serikali
Kwa sasa ni matumizi , bajeti wanaijua wachache lakini huko mbeleni huu msiba unaweza kuja kuwa kashfa ya ufisadi
Kwa kila siku ya huu msiba kuna pesa inateketea
Per diem za viwango tofauti
Mafuta ya magari yanayohusika kwenye msiba
Malazi, chakula na vinywaji kwa waalikwa, wahudhuriaji, waombolezaji na wageni mbalimbali
Gharama za majukwaa mbalimbali, viti meza nk
Washereheshaji na watumbuizaji
Gharama za kuhifadhi mwili
Dharura nknk

Tunaweza kufanya mambo bila kujua mtazamo wake lakini isifike mahali tukakufuru kwa kuona kwamba hivi ndivyo inavyopaswa kuwa na zaidi kumbe kuna wapiga dili nyuma yake.

Hali ngumu ya maisha inawafanya baadhi kutumia misiba kama sehemu ya kujazia mashimo yao ya madeni, matumizi na mahitaji mbalimbali

Naweza kupigwa mawe kwenye hii post na wanufaikaji lakini huu... Wale wataosema msiba unabebwa na rambirambi za wapendwa wake. Na bajeti ya kitengo kwa nafasi yake kama mkuu wa nchi..lakini kuagwa mara sita sehemu tofauti za nchi kunaweza kuweka rekodi mpya.
Kupambana na report na vyombo vya kmataifa.... Kuonesha
tunampeNDa Sana mtu wetu. Wacha tumalze tu ratba zetu asee[emoji26][emoji26][emoji26]
 
Even on his casket still kuna watu wana roho za kwanini nae...acheni nongwa.

Waacheni wafanye wapendavyo na mtu wao subiri na nyie ukifiwa mtafanya vile mtakavyo na marehemu wenu...ni rahis km hivyo.

Mnalalamika Msongamamo utaleta majibu ya covid ila mnasahau hio misongamano ya Leo ni maisha ya kawaida kila siku Kariakoo, Temeke, Tandika, Tegeta, Mbagala na Gomz na watu hawaanguki, km covid ingekua inawasumbua watu hao kabla hata ya huu msiba hayo maeneo nliyoyataja maiti zingekua zimetamakali hadi barabarani.
 
Siku zote watu wenye roho mbaya huwa na sura mbaya kinoma..mungu fundi nyie dah....

Kinakuuma nin mtu kuzungushwa...

Takataka kabisa ..uzi wa kijinga kabisa.
 
Kaa kwa utulivu tuachie wenyewe hata tukiamua kutomzika ni sisi.
Wewe na kundi lako mliisha maliza kazi yenu ya kumwombea kifo, mmesikilizwa.

Mkuuu ili jibu ningekuwa ni Rais wa hiii nchi ningekupa cheo cha mshauri wa rais,Mshana ww tuache tu ata tukiingia kwenye madeni sawa tu mzee katupigania sana huyu.
 
Hivi baadhi ya watu wana akili kweli?


Unaenda kuaga mtu asiyeongea?unaenda kuaga mfu?kwanini mmekua wajinga namna hii?

,si tulishakubaliana kwamba mtu wa kuaga ni ndugu pekee?

Nyie vipi?wagonjwa nini?

Ona sasa mshakanyagiwa huko....mkanyagwe kabisa mpondeke ili mkome mmezidi sijui huu utahira mmeutoa wapi


Kama kuita malofa hakukosea

Magufuli kuwaita wanyonge hakukosea kweli kuna wanyonge malofa nchi hii


Kama ni kufa ashakufa tu kwanza sahiv yupo zake huko sijui ndo anaongoza hao malaika.....muache ujinga na upumbavu na mbadilike

Nimekereka sana....hii nchi wakati mwingine naona wazungu warudi tu kutupiga mijeledi kuna mijitu ipo km mikondoo tu
 
Tena ingependeza kama wangemzungusha kila mkoa ili kila mtanzania apate nafasi ya kumuaga mpendwa wetu. Nimeumia sana na huu msiba yani ni kama naota vile.
Above all kifo chake kimekuja ghafla sana mpaka ni ngumu kuamini.
Raha ya milele umpe ee bwana na mwanga wa milele umuangazie, apumzike kwa amani.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Kimekuja Ghafla vipi si mliambiwa kama jamaa kagoma kitambo mkawa mnabisha mpaka mkawa mnaapa misikitini

Sent from my SO-01J using JamiiForums mobile app
 
Mshana ni mjinga kama wajinga wengine,kaishiwa story zake za ushirikina na makaburini anataftia pa kujificha,Marehemu ni wetu tuacheni na nyie nendeni mkabebe kiwete wenu...Shwain
 
We tulia waendelee kumzungusha zungusha athari zake tutaziona kwenye kodi

Wanajiskia ufahari kuona watu wakizimia na wengine kufa hawathamini maisha ya kiumbe ambacho kipo hai wanaangaika na maiti ambayo muda wowote inaoza
Huko kwenu mnazikana kama panya kwa sababu mnaishi kichawi hata thamani ya marehemu hamuioni.

Magufuri kwetu sisi ana thamani kubwa na ndo maana watu wapo barabarani mpaka usiku kwa ajili yake.

Subirini yule mwenyekiti wenu wa maisha afe mmfukie baada ya siku moja tu.
Ili tuwajue mna zingatia.
 
Chadema bado mnamuonea wivu Marehemu. Wakati viongozi wenu wamejificha ulaya wanabaki kupigia kelele kwenye keyboard..kama tulinunua ndege hatushindwi gharamia msiba hata kwa mwezi mzima. Tulimpenda sana Magufuli
 
Hivi baadhi ya watu wana akili kweli?


Unaenda kuaga mtu asiyeongea?unaenda kuaga mfu?kwanini mmekua wajinga namna hii?

,si tulishakubaliana kwamba mtu wa kuaga ni ndugu pekee?

Nyie vipi?wagonjwa nini?

Ona sasa mshakanyagiwa huko....mkanyagwe kabisa mpondeke ili mkome mmezidi sijui huu utahira mmeutoa wapi


Kama kuita malofa hakukosea

Magufuli kuwaita wanyonge hakukosea kweli kuna wanyonge malofa nchi hii


Kama ni kufa ashakufa tu kwanza sahiv yupo zake huko sijui ndo anaongoza hao malaika.....muache ujinga na upumbavu na mbadilike

Nimekereka sana....hii nchi wakati mwingine naona wazungu warudi tu kutupiga mijeledi kuna mijitu ipo km mikondoo tu

Mkuu kapime. Milembe wanakusubiri
 
Back
Top Bottom