Tunataka wawekezaji, mara wanyang'anyeni leseni!

Janeth alishaona hakuna busara akataka kuinusuru nchi na majanga makubwa ndiyo sababu akagoma kumfanyia kampeni, sasa Watanzania tunaisoma namba bila kujali itikadi zetu.

Ndo maana sifa kuu ya kiongozi ni busara

sababu wanaweza kuja watu kukulilia na machozi..kumbe watu hao wanaolia ndo wezi wakubwa
na waonevu....

Ndo busara inapohitajika

binafsi kiongozi yeyote anaependa kufanya maamuzi kwenye jukwaa huwa namuona 'hamna kitu'

Uongozi ni details details na more details....
 
Sasa kama hii ndio sababu, kulikuwa na namna nyingi tu za kubatilisha hata bila kujenga bad images kwa prospective investors. Msitetee kila jambo ovu. Nyie mnaona haya rahisi lakini tulioshiriki juhudu za kuleta wawekezaji ndio tunajua maswali tuliokutana nao, mspige nyanga tu hiyo kitu ni threat kwa uhai wa uwekezaji nchini. Ukiona hufaidiki na uwekezaji uliopo kwa udhaifu wa sheria, just badilisha sheria na heshimu sheria. Yeye atakaa miaka 5-10, image mbaya itakayowekwa itakaa mingi huko mbele.

Tafuta impacts ya nationalization katika kuvutia uwekezaji. Wawekezaji bado wana historia kuwa utafishaji ungeweza kurudi hivyo wamekuwa reluctant kuwekeza katika sakta za uzalishaji. Badala yake wamekuwa wakiwekeza kwenye extractive industries pekee. Kabla hata mate hayajakauka tunakuja kufanya madudu yaleyale ya miaka ya 60. So sad.

Mliowaleta wamewasaidia kina nani? Ninyi kumbe ndiyo mliotufikisha hapa? Mimi ningeona aibu kisema haya...

Impact ya uwekezaji nchini ni mbaya kuliko kwenye welfare ya wananchi...Labda kama ninyi ni wanufaika...Ungeniuliza mimi ningewekeza kwa watanzania kwanza hao mnaowatetea watie akili kwanza wameonyesha selfishness ya hali ya juu na kwasababu wao wenyewe wameshindwa kuonyesha umuhimunwao kwetu bora wasije....
 
Kwa kifupi namba moja anajua matatizo ya nchi yake lakini hajui sababu (causation) ya matatizo hayo na hivyo hana suluhu ( solution) ya matatizo ya nchi. Unapokuwa huna mkakati wa ndani wa kukuza soko na uwekezaji wa ndani wakati huohuo huna mkakati wa kuvutia wawekezaji wa nje, huna mkakati wa ushirikiano na mataifa yenye teknolojia, utaalam, masoko makubwa na mitaji, kufanikiwa katika uchumi ni suala la alinacha. Timewill tell.

Yes time will tell...At that time when things go the way they should do not forget to confes before us that you were myopic....
 
[quote uid=1840 name="Chakaza" post=19265688]Pamoja na madhaifu yako kadhaa wakati wa utawala wako huyu mrithi wako sasa amepitiliza katika kukusema kama ulikuwa na kauli za uongo na ni mtu uliyefanya mambo ya Bure bure hasa pale inapofikia mahali anataka kukwepa kuwajibika kwa serikali kukabili majanga kama tetemeko, ukame nk.<br />Mrithi wako alikuwepo ndani ya serikali yako kama Waziri kamili kwa miaka 10 yote na tunakumbuka alikuwa akikusifu sana, jee huo sio unafiki?<br />Ukosoaji huo ungefanywa na wapinzani ingeeleweka lakini kutokea kwa msaidizi wako tena kwa kebehi haikubaliki.<br />Toka hadharani jitetee na kumjibu vinginevyo unazidi kudhalilishwa hata kwa makosa yakwake mwenyewe.[/QUOTE]<br />nadhani kuja umuhimu wa kuwa na baraza LA senate , baraza hili liwe ni LA ushauri na lijumuishe marais wastaaf, spika, academicians, viongozi wa dini wakuu wa majeshi wastaaf, mawaziri wakuu wastaaf etc, walau liwe linampa ushauri kidogo aliyepo madarakani
 
Sasa kama hii ndio sababu, kulikuwa na namna nyingi tu za kubatilisha hata bila kujenga bad images kwa prospective investors. Msitetee kila jambo ovu. Nyie mnaona haya rahisi lakini tulioshiriki juhudu za kuleta wawekezaji ndio tunajua maswali tuliokutana nao, mspige nyanga tu hiyo kitu ni threat kwa uhai wa uwekezaji nchini. Ukiona hufaidiki na uwekezaji uliopo kwa udhaifu wa sheria, just badilisha sheria na heshimu sheria. Yeye atakaa miaka 5-10, image mbaya itakayowekwa itakaa mingi huko mbele.

Tafuta impacts ya nationalization katika kuvutia uwekezaji. Wawekezaji bado wana historia kuwa utafishaji ungeweza kurudi hivyo wamekuwa reluctant kuwekeza katika sakta za uzalishaji. Badala yake wamekuwa wakiwekeza kwenye extractive industries pekee. Kabla hata mate hayajakauka tunakuja kufanya madudu yaleyale ya miaka ya 60. So sad.
Mkuu hawa jamaa wanaongozwa na Ushabiki hivyo kukiri maovu yao ni vigumu, but let the truth be spoken.
 
Janeth alishaona hakuna busara akataka kuinusuru nchi na majanga makubwa ndiyo sababu akagoma kumfanyia kampeni, sasa Watanzania tunaisoma namba bila kujali itikadi zetu.
Anamjua kuliko sisi tunavyomfahamu. Shobo shobo hizi ndiyo matokeo yake haya.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Lazima tuwe na uwezo wa ku way things...Hakuna hesabu za 1+1 katika maisha ya mwanadamu...Kwamfano wewe ni Rais wilaya tatu hazina maji na watu kadhaa wanakufa kwakukosa maji...hawawezi kuishi kwakua maji ni uhai...Kati ya mwekezaji wa nikel ambaye kwanza formular ya calculation is almost haijulikani kwakua wanakuja na hadithi za ku register loss ungamua nini? Hajakataa uwekezaji na wala hajamaanisha hataki wawekezaji lakini kuna prorities in life, kwahiyo kati ya maisha ya watu 1.something milions population kukosa maji kisha tuchimbe madini hiyo reasoning nadhani inahitaji scrutiny... Rais ame challenge technology inayotumiwa...Tunafahamu nchi kama Norway barabara zimechongwa katikati ya milima bila kung'oa mti hata mmoja...Huyo investor kwanini asiangalie uwezekano wa ku exploit hiyo resoirce huku akipunguza social costs? Hivi EMA, 2005 tuliipitisha kama pambo? Hapo EIA experts kama hawakuweka hizo social costs basi Rais wa nchi katumia common sense tu kuona the project cannot out compete the pressing needs za immediate population ambao wanakosa maisha...life without water...Hizo costs za wananchi wanaokufa wamezi factor in?
Uwezo wa kulipa fidia mnao? Kwanini hamkufikiria kabla ya kumkabidhi hilo eneo au wananchi hawakuwepo?
Nyang'anyeni leseni tutwisheni zigo la kulipa gharama za kuwekeza kwake
Napita nikitafakari tuu mwakani maybe jibu litapatikana.
 
Huenda yule mwekezaji angeshilikishwa angeweza kutoa eneo la kujenga tank. Ni sidhani kwamba hiyo ndo inaweza kuwa sehemu pekee ya kujenga tank.Huwezi jua labda kuna watu hawampendi mwekezaji.
 
Nimeona magazeti jana yakitoa taarifa ya IMF kwamba wawekezaji wameanza kuwa na wasiwasi kuhusu sera na mikakati ya serikali. Huenda ni vitu kama hivi.
 
Lazima tuwe na uwezo wa ku way things...Hakuna hesabu za 1+1 katika maisha ya mwanadamu...Kwamfano wewe ni Rais wilaya tatu hazina maji na watu kadhaa wanakufa kwakukosa maji...hawawezi kuishi kwakua maji ni uhai...Kati ya mwekezaji wa nikel ambaye kwanza formular ya calculation is almost haijulikani kwakua wanakuja na hadithi za ku register loss ungamua nini? Hajakataa uwekezaji na wala hajamaanisha hataki wawekezaji lakini kuna prorities in life, kwahiyo kati ya maisha ya watu 1.something milions population kukosa maji kisha tuchimbe madini hiyo reasoning nadhani inahitaji scrutiny... Rais ame challenge technology inayotumiwa...Tunafahamu nchi kama Norway barabara zimechongwa katikati ya milima bila kung'oa mti hata mmoja...Huyo investor kwanini asiangalie uwezekano wa ku exploit hiyo resoirce huku akipunguza social costs? Hivi EMA, 2005 tuliipitisha kama pambo? Hapo EIA experts kama hawakuweka hizo social costs basi Rais wa nchi katumia common sense tu kuona the project cannot out compete the pressing needs za immediate population ambao wanakosa maisha...life without water...Hizo costs za wananchi wanaokufa wamezi factor in?
Unaongea mavi matupu.
 
Du kuna watu waongo humu mnachukua vinaneno vichache mnapachika das kasema hivi walifanya upembuzi yakinifu wa kutoa maji ziwa Victoria mpaka mkoa wa simiyu sasa ule mlima ni mrefu kwahiyo tank likiwekwa pale maji yataflow yenyewe mji mzima bila ya kutumia pump house nyingi ndio magufuli akasema''haiwezekani watu milioni moja na laki sita wakosema maji kwaajiri ya mwekezaji mmoja hata Mungu tutakuwa tunamkosea akaagiza tank liwekwe ikishindikana mwekezaji asipewe reseni tena au ajenge hilo tank yeye mwenyewe" jamani tusipondee kila kitu ko wew unafurahia watu wote hao wakosemaji kwaajiri ya mwekezaji ambae ataacha mashimo na kwenda zake na hela kibindoni tutumie utu sio kila kitu macho mbele kwenye hela basi apewe mlima awe anawanunulia kilimanjaro kila siku si Anahela!!
Acha uongo ametoa amri leseni inyanganywe kila mtu amesikia kenge wahed.
 
Acha uongo ametoa amri leseni inyanganywe kila mtu amesikia kenge wahed.
Wew mbung'o ulikuwa husikilizi jamaa wa madini alisema wameshafanya utafiti na kugundua kuna nikel ndo mwekezaji anafanya mchakato wa kuomba leseni kubwa ya uchimbaji madini
 
Moja ya vitu vinanishangaza kwenye Utawala huu wa Magufuli, yupo Mbele saana kwamba tunahitaji Wawekezaji wa Ndani na Nje, sasa linapokuja swala la Kuwaambia tena waondoke ndipo nachoka sasa.

Juzi juzi kasema Wawekezaji waliopo huko kanda ya Ziwa (Homeland) wasiwasumbue Wananchi. Leo tena Bariadi kasema muwekezaji eneo ambalo ndipo linatakiwa lijengwe Tank la Maji kuwa kama vipi wamnyang'anye lesseni yake. Maeneo hayo mlipokuwa mnagawa hamkujua kuwa patatakiwa papitishwe nini.

Cha kujiuliza, sasa hawa wawekezaji wana kosa lipi maana wapo eneo husika kihalali. Pia, yeye anahamasisha ama kuwakaribisha wawekezaji halafu baadaye mnawageuka sijui tuwaelewaje sasa. Mwishowe wataona Serikali yako haiamiki na hawatakuja tena kuwekeza

Kumbuka hautaishia hilo, pia mtaingia hata kwenye viwanda unavyovisema nchi ndiko inaelekea. Na haya ni madhara ya kufanya hotuba ambazo zinatoka kichwani moja kwa moja bila kuhaririwa na mtu huna karama hiyo.

Hapo ulipo Mkulu nawewe Utapita tu.

Nchi ilishafanya makosa mengi. Na marekebisho mengine lazima yatapnekana ya kipuuzi kwa wapuuzi. Na yatakuwa na maumivu au gharama. Hata Mh Rais amesema hilo wazi. Kuwa lazima watu wengine (wachache) waumie.

Sasa katika kutafakari hili, ni kujiuliza, mwekezaji tunamhitaji kwa ajili ya nini? Pato la taifa. Pato la taifa kwa ajili ya nini? Kuwaletea watu huduma za kimaendeleo. Huduma hizi ni wazi maji safi na salama na huduma za afya ni vipaumbele. Maji ni uhai. Sasa, kama kitaalam (kama alivyojibu mhandisi wa maji alipoulizwa) akasema kila kitu kiko sawa isipokuwa tu mahali pa kuweka tank la maji kuna mwekezaji!!! Hivi kuna mtu anaelewa adha ya maji kwa baadhi ya maeneo ya nchi hii?? Kuna watu wananyang'anyana maji na mifugo kwenye madimbwi!!! Sasa what is the point ya kuwa na mwekezaji anaingiza pato la taifa kisha watu walioeneo alilipo yeye ndio kikwako kwamba hawapati maji wanataabika na kufa na magonjwa?? Hata kama ni mimi ningefanya alichoamua Mh Rais. Si lazima tubembeleze mwekezaji. Tusitafute huruma. Aondoke, kama kuna gharama zilipwe tu kama kuzilipa watu watapata maji. Tumeshalipishwa mambo mangapi kila siku umeme nchi inalipa 452Mil? Aondoke!! Mwalimu alisema madinu hayaozi.

Nimetumia uhuru wangu kujieleza. Tafadhali niambie ikiwa maji hayapatikani mpaka tu tank liwekwe hapo kwa mwekezaji, wewe ungeshauri nini? Don't take lightly watu wanataabika hili suala la maji ndugu!

Kama ni makosa ni process nzima ya mpaka kuruhusu awekeze hapo, jambo la juzi wakati shida ya maji ina miaka na miaka!

PRIORITY.
 
Lazima tuwe na uwezo wa ku way things...Hakuna hesabu za 1+1 katika maisha ya mwanadamu...Kwamfano wewe ni Rais wilaya tatu hazina maji na watu kadhaa wanakufa kwakukosa maji...hawawezi kuishi kwakua maji ni uhai...Kati ya mwekezaji wa nikel ambaye kwanza formular ya calculation is almost haijulikani kwakua wanakuja na hadithi za ku register loss ungamua nini? Hajakataa uwekezaji na wala hajamaanisha hataki wawekezaji lakini kuna prorities in life, kwahiyo kati ya maisha ya watu 1.something milions population kukosa maji kisha tuchimbe madini hiyo reasoning nadhani inahitaji scrutiny... Rais ame challenge technology inayotumiwa...Tunafahamu nchi kama Norway barabara zimechongwa katikati ya milima bila kung'oa mti hata mmoja...Huyo investor kwanini asiangalie uwezekano wa ku exploit hiyo resoirce huku akipunguza social costs? Hivi EMA, 2005 tuliipitisha kama pambo? Hapo EIA experts kama hawakuweka hizo social costs basi Rais wa nchi katumia common sense tu kuona the project cannot out compete the pressing needs za immediate population ambao wanakosa maisha...life without water...Hizo costs za wananchi wanaokufa wamezi factor in?


Duh tunasafari ndefu sana,..
Hilo eneo ndio penye chanzo cha maji.??
Tumeshindwa kuwa na eneo la kuweka tank
mpaka mahala hapo tu.., wataalam wameshindwa kabisa pakuweka tank?..
Tulimpaje huyo muwekezaji eneo tukijua tutalihit aji?, na tuna kazi nalo??
Gharama zake za exploration na maandaliza ya uchimbaji huku tukiwa tumempa leseni kihalali nani atazilipa???
Tumefikiria kiasi gani cha ajira kitakosekana kwa watu wetu na mapato kwa nchi yatapotea eti kwa sisi kushindwa na kukosa mahala pa kuweka tank la maji mpaka tukafunga shughuli za uchimbaji kweli tank ???

Tujaribu kufikiri kiundani sana katika kutatua matatizo ya wananchi na kuleta shughuli za maendeleo baadala yake hatutoenda mbele,, " eti tumekosa mahala pa kuweka tank la maji na kumyang' anya muwekezaji eneo atakalochimba nickel na sisi kutumia ekari moja tu kwa tank la maji na kuacha ekari nyingi zikiwa iddle.." kuna solution nyingi kiasi cha kuweka tank la maji mahala popote pale..
 
Uwezo wa kulipa fidia mnao? Kwanini hamkufikiria kabla ya kumkabidhi hilo eneo au wananchi hawakuwepo?
Nyang'anyeni leseni tutwisheni zigo la kulipa gharama za kuwekeza kwake
Napita nikitafakari tuu mwakani maybe jibu litapatikana.

Unauhakika analeseni ya kuchimba?
 
Tuliosema lowasa ni fisadi ni sisi Mbowe, Lisu, Lema, Mnyika, Msigwa na ushahidi tunao.

Kama Lowasa anabisha atangulie mahakamani
 
Back
Top Bottom