Tunataka wawekezaji, mara wanyang'anyeni leseni!

Kwanini zisijengwe concrete towers sehemu nyingine wakaweke matanki ya maji, cha muhimu si mwinuko tu? Ajira ngapi hapo zitapotea kwa kufuta leseni ya mwekezaji?! Eneo lenyewe full ukame, watu watakula maji tu?! Ehe Mungu mbona umetuacha?!

Kwaninibwasitafute technology ya kuchimba bila ku disturb mlima? Kama tu kuna under ground tubes, seuze nikel washindwe kui exploit? Wanatafuta super profit at expense of hiyo population inayohitaji maji...By the way ajira ngapi zitaletwa na maji kwenda wilaya tatu in comparison to hiyo ya kuchimba nickel?
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Waulize watu wa Nyamongo na Buzwagi walichoambulia baada ya dhahabu kuchibwa kwao, mahandaki tu...bora nickel yetu ikae chini ya mtungi wa maji hadi tutakapokuwa na viwanda vinavyohitaji hayo nadini!
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Du kuna watu waongo humu mnachukua vinaneno vichache mnapachika das kasema hivi walifanya upembuzi yakinifu wa kutoa maji ziwa Victoria mpaka mkoa wa simiyu sasa ule mlima ni mrefu kwahiyo tank likiwekwa pale maji yataflow yenyewe mji mzima bila ya kutumia pump house nyingi ndio magufuli akasema''haiwezekani watu milioni moja na laki sita wakosema maji kwaajiri ya mwekezaji mmoja hata Mungu tutakuwa tunamkosea akaagiza tank liwekwe ikishindikana mwekezaji asipewe reseni tena au ajenge hilo tank yeye mwenyewe" jamani tusipondee kila kitu ko wew unafurahia watu wote hao wakosemaji kwaajiri ya mwekezaji ambae ataacha mashimo na kwenda zake na hela kibindoni tutumie utu sio kila kitu macho mbele kwenye hela basi apewe mlima awe anawanunulia kilimanjaro kila siku si Anahela!!
 
Umeenda mbali sana,kama huyo mwekezaji angeenda mbali kama wewe basi lazima angetafuta jinsi ya kusaidia wananchi wapate hilo eneo la kujenga tank ili wapate maji,maana maji ni uhai.
Ungekuwa unajua eneo hilo usingeandika hicho, eneo linalotakiwa kujebgwa hilo tank ni kwenye kilele kabisa cha mlima ambao ndio unatakiwa kuchimbwa hayo madini, na ni eneo la mwekezaji kisheria huwezi ukamlaumu tu!!
 
Lazima tuwe na uwezo wa ku way things...Hakuna hesabu za 1+1 katika maisha ya mwanadamu...Kwamfano wewe ni Rais wilaya tatu hazina maji na watu kadhaa wanakufa kwakukosa maji...hawawezi kuishi kwakua maji ni uhai...Kati ya mwekezaji wa nikel ambaye kwanza formular ya calculation is almost haijulikani kwakua wanakuja na hadithi za ku register loss ungamua nini? Hajakataa uwekezaji na wala hajamaanisha hataki wawekezaji lakini kuna prorities in life, kwahiyo kati ya maisha ya watu 1.something milions population kukosa maji kisha tuchimbe madini hiyo reasoning nadhani inahitaji scrutiny... Rais ame challenge technology inayotumiwa...Tunafahamu nchi kama Norway barabara zimechongwa katikati ya milima bila kung'oa mti hata mmoja...Huyo investor kwanini asiangalie uwezekano wa ku exploit hiyo resoirce huku akipunguza social costs? Hivi EMA, 2005 tuliipitisha kama pambo? Hapo EIA experts kama hawakuweka hizo social costs basi Rais wa nchi katumia common sense tu kuona the project cannot out compete the pressing needs za immediate population ambao wanakosa maisha...life without water...Hizo costs za wananchi wanaokufa wamezi factor in?
Utakubaliana namimi kuwa walimuweka pale ni hao hao, ina maana hawakukujua.
 
Waulize watu wa Nyamongo na Buzwagi walichoambulia baada ya dhahabu kuchibwa kwao, mahandaki tu...bora nickel yetu ikae chini ya mtungi wa maji hadi tutakapokuwa na viwanda vinavyohitaji hayo nadini![/QUO

Aliyewapa ni nani?
 
Lazima tuwe na uwezo wa ku way things...Hakuna hesabu za 1+1 katika maisha ya mwanadamu...Kwamfano wewe ni Rais wilaya tatu hazina maji na watu kadhaa wanakufa kwakukosa maji...hawawezi kuishi kwakua maji ni uhai...Kati ya mwekezaji wa nikel ambaye kwanza formular ya calculation is almost haijulikani kwakua wanakuja na hadithi za ku register loss ungamua nini? Hajakataa uwekezaji na wala hajamaanisha hataki wawekezaji lakini kuna prorities in life, kwahiyo kati ya maisha ya watu 1.something milions population kukosa maji kisha tuchimbe madini hiyo reasoning nadhani inahitaji scrutiny... Rais ame challenge technology inayotumiwa...Tunafahamu nchi kama Norway barabara zimechongwa katikati ya milima bila kung'oa mti hata mmoja...Huyo investor kwanini asiangalie uwezekano wa ku exploit hiyo resoirce huku akipunguza social costs? Hivi EMA, 2005 tuliipitisha kama pambo? Hapo EIA experts kama hawakuweka hizo social costs basi Rais wa nchi katumia common sense tu kuona the project cannot out compete the pressing needs za immediate population ambao wanakosa maisha...life without water...Hizo costs za wananchi wanaokufa wamezi factor in?
mkuu usiangaike nao hao watafurahi hao wananchi wakifa kwa kukosa maji....
 
tapatalk_1469899153309.jpeg
 
Huyo jamaa kalipa fidia ya mabilioni kwa wananchi kuchukua maeneo,kafanya exploration kwa mabilioni ya shilingi,kaweka wafanyakazi,kaagiza mitambo

Tujiandae kulipa fidia ya mabilioni,escrow na IPTL inaikumba nchi,tutalipa fidia GEITA na huko ngasamo na kwingine

Fidia mpaka sasa itafika trilioni kadhaa ikijumuisha loss of profit and business

Pia wakienda mahakamani tutashindwa na kuwafidia na eneo kubaki lao

Hawajapewa hata haki ya kusikilizwa kabla ya kunyanganywa,kesi rahisi sana kuishinda

Unajifanya kuwapenda wananchi halafu unawatwisha zigo la fidia!!!
Unajua huyo jamaa au unabubujika tu. Yaani kati ya watu kupata maji na mtu kuchimba mgodi wee waona bora wachimbe,.. Akili potofu hizi
 
Ndo maana sifa kuu ya kiongozi ni busara

sababu wanaweza kuja watu kukulilia na machozi..kumbe watu hao wanaolia ndo wezi wakubwa
na waonevu....

Ndo busara inapohitajika

binafsi kiongozi yeyote anaependa kufanya maamuzi kwenye jukwaa huwa namuona 'hamna kitu'

Uongozi ni details details na more details....
Hamkumkubali kwa kura zenu mtaweza kukubali anachokifanya!? Tulieni mnaemtaka aje kupimana tena nae 2020.
 
Hii nchi itaendelea kulipishwa faini za kimataifa hadi ikome .

Yaani mtu mmoja tu tena bila hata kutafakari anajilipukia tu !

Nakulilia Tanzania .
Yaani huyu jamaa ili mjue akili yake haiko sawa, akifika kwenye kadamnasi huwa anapagawa anaongea kama kasuku. Yaani anaongea kama amekatwa kichwa, hivi unaanzaje kumnyang'anya mwekezaji eneo eti kisa mlima huo kunatakiwa kujengwa tanki la maji? Ina maana maeneo yote hayo mlima upo Ngasamo tu? Mbona Bariadi karibu na gereza huwa naona kama kuna vilima pale si waweke hata hapo? Mbona matanki ya KASHWASSA yako kwenye kilima cha kawaida tu na yanasambaza maji Shinyanga mjini? Hii mimi sikubaliani na huyo injinia eti lazima tuwe na mlima kama kilimanjaro ndo tujenge tanki. Huyu anastahili kutumbuliwa!!!
 
Fikirini kabla ya kuandika upuuzi.Wananchi kwanza.Mwekezaji ni nini kwa uhai wa wananchi wa tz?Water for life,not nikel for life.Think a bit you simple minded.

Yaambie ukweli majinga hayo
Sijui yanalipwa
Kumpinga mh Rais kwa kila jambo
Mwekezaji gani mwenye thamani kuliko wananchi milioni 1.6?
Tangu tumeanza kuchimba hayo madini tumenufaika na nini?
Alichoamua leo mh Rais ni sahihi kabisa
Wananchi kwanza
Mwekezaji baadae
 
Yaani huyu jamaa ili mjue akili yake haiko sawa, akifika kwenye kadamnasi huwa anapagawa anaongea kama kasuku. Yaani anaongea kama amekatwa kichwa, hivi unaanzaje kumnyang'anya mwekezaji eneo eti kisa mlima huo kunatakiwa kujengwa tanki la maji? Ina maana maeneo yote hayo mlima upo Ngasamo tu? Mbona Bariadi karibu na gereza huwa naona kama kuna vilima pale si waweke hata hapo? Mbona matanki ya KASHWASSA yako kwenye kilima cha kawaida tu na yanasambaza maji Shinyanga mjini? Hii mimi sikubaliani na huyo injinia eti lazima tuwe na mlima kama kilimanjaro ndo tujenge tanki. Huyu anastahili kutumbuliwa!!!
Halafu baadae mnaanza kulalamika na kulaumu madini yenu yanachukuliwa,sijui mnanyonywa ,mara hiki mara kile

Wa Tz wanafki sana
 
Waulize watu wa Nyamongo na Buzwagi walichoambulia baada ya dhahabu kuchibwa kwao, mahandaki tu...bora nickel yetu ikae chini ya mtungi wa maji hadi tutakapokuwa na viwanda vinavyohitaji hayo nadini!
Sasa kama hii ndio sababu, kulikuwa na namna nyingi tu za kubatilisha hata bila kujenga bad images kwa prospective investors. Msitetee kila jambo ovu. Nyie mnaona haya rahisi lakini tulioshiriki juhudu za kuleta wawekezaji ndio tunajua maswali tuliokutana nao, mspige nyanga tu hiyo kitu ni threat kwa uhai wa uwekezaji nchini. Ukiona hufaidiki na uwekezaji uliopo kwa udhaifu wa sheria, just badilisha sheria na heshimu sheria. Yeye atakaa miaka 5-10, image mbaya itakayowekwa itakaa mingi huko mbele.

Tafuta impacts ya nationalization katika kuvutia uwekezaji. Wawekezaji bado wana historia kuwa utafishaji ungeweza kurudi hivyo wamekuwa reluctant kuwekeza katika sakta za uzalishaji. Badala yake wamekuwa wakiwekeza kwenye extractive industries pekee. Kabla hata mate hayajakauka tunakuja kufanya madudu yaleyale ya miaka ya 60. So sad.
 
Moja ya vitu vinanishangaza kwenye Utawala huu wa Magufuli, yupo Mbele saana kwamba tunahitaji Wawekezaji wa Ndani na Nje, sasa linapokuja swala la Kuwaambia tena waondoke ndipo nachoka sasa.

Juzi juzi kasema Wawekezaji waliopo huko kanda ya Ziwa (Homeland) wasiwasumbue Wananchi. Leo tena Bariadi kasema muwekezaji eneo ambalo ndipo linatakiwa lijengwe Tank la Maji kuwa kama vipi wamnyang'anye lesseni yake. Maeneo hayo mlipokuwa mnagawa hamkujua kuwa patatakiwa papitishwe nini.

Cha kujiuliza, sasa hawa wawekezaji wana kosa lipi maana wapo eneo husika kihalali. Pia, yeye anahamasisha ama kuwakaribisha wawekezaji halafu baadaye mnawageuka sijui tuwaelewaje sasa. Mwishowe wataona Serikali yako haiamiki na hawatakuja tena kuwekeza

Kumbuka hautaishia hilo, pia mtaingia hata kwenye viwanda unavyovisema nchi ndiko inaelekea. Na haya ni madhara ya kufanya hotuba ambazo zinatoka kichwani moja kwa moja bila kuhaririwa na mtu huna karama hiyo.

Hapo ulipo Mkulu nawewe Utapita tu.
Kwa kifupi namba moja anajua matatizo ya nchi yake lakini hajui sababu (causation) ya matatizo hayo na hivyo hana suluhu ( solution) ya matatizo ya nchi. Unapokuwa huna mkakati wa ndani wa kukuza soko na uwekezaji wa ndani wakati huohuo huna mkakati wa kuvutia wawekezaji wa nje, huna mkakati wa ushirikiano na mataifa yenye teknolojia, utaalam, masoko makubwa na mitaji, kufanikiwa katika uchumi ni suala la alinacha. Timewill tell.
 
Rais anaweza ķutengua matumizi ya ardhi kwa matumizi ya huduma kwa jamii. Hivi wananchi wanawezaje kukosa maji kwasababu ya mwekezaji. Mwacheni Mheshimiwa Rais Magufuli arekebishe mambo.
 
Fikirini kabla ya kuandika upuuzi.Wananchi kwanza.Mwekezaji ni nini kwa uhai wa wananchi wa tz?Water for life,not nikel for life.Think a bit you simple minded.

Hv unadhanj hakuna alternative ya hilo tank kukaa kwenye eneo la muwekezaji?Kama mradi ni bil 100 basi tujiandae kulipa bil 200,case hii hata wakili kilaza anashinda!
 
Huyo jamaa kalipa fidia ya mabilioni kwa wananchi kuchukua maeneo,kafanya exploration kwa mabilioni ya shilingi,kaweka wafanyakazi,kaagiza mitambo

Tujiandae kulipa fidia ya mabilioni,escrow na IPTL inaikumba nchi,tutalipa fidia GEITA na huko ngasamo na kwingine

Fidia mpaka sasa itafika trilioni kadhaa ikijumuisha loss of profit and business

Pia wakienda mahakamani tutashindwa na kuwafidia na eneo kubaki lao

Hawajapewa hata haki ya kusikilizwa kabla ya kunyanganywa,kesi rahisi sana kuishinda

Unajifanya kuwapenda wananchi halafu unawatwisha zigo la fidia!!!
Dogo tuliza ball acha mihemuko
 
Back
Top Bottom