Kwanini zisijengwe concrete towers sehemu nyingine wakaweke matanki ya maji, cha muhimu si mwinuko tu? Ajira ngapi hapo zitapotea kwa kufuta leseni ya mwekezaji?! Eneo lenyewe full ukame, watu watakula maji tu?! Ehe Mungu mbona umetuacha?!
Kwaninibwasitafute technology ya kuchimba bila ku disturb mlima? Kama tu kuna under ground tubes, seuze nikel washindwe kui exploit? Wanatafuta super profit at expense of hiyo population inayohitaji maji...By the way ajira ngapi zitaletwa na maji kwenda wilaya tatu in comparison to hiyo ya kuchimba nickel?