mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
Ni jambo jema tunapofanya kampeni ya kwamba watoto wetu waliopata mimba wakiwa mashuleni wakakatisha masomo warudi mashuleni kuendelea na masomo
Lakini ni muhimu zaidi kujiuliza vichanga vilivyozaliwa vitabaki wapi? Na nani atakua akiwalea?
Tukiachilia mbali zile familia chanche zenye uwezo wa kubeba jukumu la kulea vichanga yaani kumlea mama ambaye ni mtoto na mtoto; familia nyingi anayezaa ndio mwenye jukumu la kulea kichanga chake, na ukizingatia mazingira ya shule, nyumbani, hali ya maisha ya familia zao hizohizo familia nyingi ndizo ziko mabinti zake wako kwenye hatari zaidi ya kupata mimba za utotoni.
Wizara ya elimu na wizara ya afya mseme neno kuhusu hivi vichanga. Mama zao wakienda shuleni wao wanabaki wapi, wanabaki na nani, katika umri gani na utaratibu upi?
Nieleweweke tuu kwamba sijapinga watoto wa kike wanaopata mimba za utotoni kurudi mashuleni ila nawaza wakati wao wakirudi shuleni wale watoto wao wanabaki na nani na kwenye hali gani
Mungu awanze wazazi wote tuweze kuendelea kuwalea watoto wetu.
Hakuna mwenye ufundi wa kulea, hakuna bingwa wa kulea, hakuna awezae kutembea na mwanae kila mahala. Ila tupambane zaidi kuwalinda watoto wetu kwa maombi, ibada na malezi waweze japo kuondokana na majanga ya kuacha shule zaidi ya kupambana
Mungu ibariki Tanzania
Lakini ni muhimu zaidi kujiuliza vichanga vilivyozaliwa vitabaki wapi? Na nani atakua akiwalea?
Tukiachilia mbali zile familia chanche zenye uwezo wa kubeba jukumu la kulea vichanga yaani kumlea mama ambaye ni mtoto na mtoto; familia nyingi anayezaa ndio mwenye jukumu la kulea kichanga chake, na ukizingatia mazingira ya shule, nyumbani, hali ya maisha ya familia zao hizohizo familia nyingi ndizo ziko mabinti zake wako kwenye hatari zaidi ya kupata mimba za utotoni.
Wizara ya elimu na wizara ya afya mseme neno kuhusu hivi vichanga. Mama zao wakienda shuleni wao wanabaki wapi, wanabaki na nani, katika umri gani na utaratibu upi?
Nieleweweke tuu kwamba sijapinga watoto wa kike wanaopata mimba za utotoni kurudi mashuleni ila nawaza wakati wao wakirudi shuleni wale watoto wao wanabaki na nani na kwenye hali gani
Mungu awanze wazazi wote tuweze kuendelea kuwalea watoto wetu.
Hakuna mwenye ufundi wa kulea, hakuna bingwa wa kulea, hakuna awezae kutembea na mwanae kila mahala. Ila tupambane zaidi kuwalinda watoto wetu kwa maombi, ibada na malezi waweze japo kuondokana na majanga ya kuacha shule zaidi ya kupambana
Mungu ibariki Tanzania
Ninaamini serikali kuwekeza nguvu nyingi kupinga watoto wetu kujihusisha na tendo la ndoa nje ya ndoa.
Ninaamini katika serikali kuweka jitihada zaidi, hasa za usalama, kuwalinda zaidi watoto walio kwenye hatari ya kubakwa.
Kuruhusu watoto wenye watoto kurudi shule ni kama wanapigia debe na kuwahamasisha watoto kujihusisha na tendo la ndoa nje ya ndoa, hii siyo sahihi.