Mnanguliti
JF-Expert Member
- Apr 16, 2023
- 899
- 2,649
Unajua nchi inapokuwa haina "usalama wa taifa wa taifa" hapo bado sana. Nchi yetu kwasasa haina kabisa watu wenye uchungu na taifa. Ndo hayo alikuwa anayasema HP kuwa makundi ya kihuni huwa yana tabia za kuzipiga copy taasisi za serikali yaani mnakuta mna JWTZ ambayo kwa nje mnaiona kama ni kwa ajili ya wananchi kumbe ilishatekwa inawatumikia watu wengine kabisa au kikundi fulani ndani ya nchi au hata nje kwa lengo la kujinufaisha wao akatolea mfano wa Futungo huko Angola.
Sijui kama taifa titafanyaje kujinasua na hawa wahuni maana ni kama wameota mizizi ambayo haiwezi kutolewa kilelemama
Sijui kama taifa titafanyaje kujinasua na hawa wahuni maana ni kama wameota mizizi ambayo haiwezi kutolewa kilelemama