Tunapigwa sana na Wachina 🄲

Tunapigwa sana na Wachina 🄲

Kinta Kunte knows all those episodes and those Values of those Big Guys šŸ˜³šŸ™„ !

communists and muslims propaganda lies hizo, gdp ya black american ni > 3 trillion usd vs tanzagiza 80 billion usd, ukiichukulia black american kama nchi ingekuwa ni 15th largest economy in the world today ( richer than any muslim country), per capital income ya black american ni 56 000 usd (one of the highest in the world ukiweka eu inakuwa one if the richest country in eu) vs tanzagiza <1300 usd …
 
Mpanda,Katavi kuna dhahabu za kutosha na pesa ipo but wamejaa wachina kote huko hata kupata vibali vya kuchimba kama Mzawa ni ngumu..

Wamejenga na Airport yao kabisa,wanasafirisha tani za kutosha za Gold..

SAMIA WHAT IS THIS


Britanicca
i.hate Samia, she is a looser
 
Hawa jamaa wamepata mamlaka kutoka mamlaka kuu ya taifa hili

Huko kwetu Moro Sasa hivi kinachoendelea , wananunua maeneo Kwa pesa ya juu sana

Wanakuja na kupima ardhi na wakigundua kuwa Kuna viashiria vya madini wananunua eneo lako Kwa pesa nyingi sana , pesa mpaka million 100-200 mpaka 700 Kwa eneo na kuanza kuchimba hayo madini haijalishi ni madini gani na ukubwa na udogo wake

Sisi Hali ya chini tunaona tunanufaika ila ukweli wa mambo ni mazoba wa kupitiliza, tuna eneo kubwa sana huko Moro , mama ananambia waliachiwagwa na Mzee wao , madalali wamelishikilia wanasubiri wachina waende kulipima kama linafaa wapewe stahiki Yao kila mtoto apate pesa yake aiweke kimiyani, Sina nguvu hiyo kwenye huu ukoo nasubiria mzigo ukae mezani , bi mkubwa anipe chochote nikajiokotee zangu kibiashara maisha yaendelee
 
Ila waTanzania hawana habari na wala hawana uchungu kabisa na nchi yao. Inasikitisha sana. Wao waonge hela ndogo tu wape kushabikia muziki, mpira na ujinga wa kina Mwijaku na uwatishe kuwa wapinzani wanaleta fujo na kutaharibia amanai basi the rest you can do whatever you want ata kama kuchukua kipande cha nchi yao wao sawa tu. Hiyo ndo Tanzania
Watanzania tufanyeje kaka wanajeshi wa Tanganyika wanashirikiana na wanzanzibar kutupiga risasi na kutupeleka mochwari tukiwa hai
 
Mpanda,Katavi kuna dhahabu za kutosha na pesa ipo but wamejaa wachina kote huko hata kupata vibali vya kuchimba kama Mzawa ni ngumu..

Wamejenga na Airport yao kabisa,wanasafirisha tani za kutosha za Gold..

SAMIA WHAT IS THIS


Britanicca
This is Abduli. Who are you?
 
Mkuu uko serious unamlalamikia Samia kwenye hili kaka!!!

Maana yake Unaamini Samia ana uwezo na nia ya kulinda rasilimali za nchi hii...

Ni kweli unaamini hivyo?

Mtu ambaye anaamini Rostam ni mwekezaji na sio mwizi, mtu anayejua mafisadi huundolewa kwa kuzomewa...

Huyu ndio unataka akulindie dhahabu za nchi hii?

Neh...

Takua wa mwisho kuamini mtu aina ya Samia anaweza kulinda rasilimali za nchi.
 
Nchi inapigwa sana hii halafu bado wananchi wake bado tunapigwa vitozo mshenzi kila sehemu. Yaani hawa watawala wamekosa kama utu kwanini Nyerere hakufanya haya mambo?
Nimeamini ukimuona Kobe juu ya mti elewa kwamba hajafika lwa uwezo wake maana uwezo huo hana.

Hawa watawala nafasi walizo nazo hazitokani na wananchi wamejibeba na ndio maana hawana adabu wala hofu kwa wananchi wake.
 
Hadi lini rafiki….?
Kuna option mbili

Kuwa kama

1. phillipines (foreign owned economy huku vijana wakisambaa duniani kutafuta fursa, kutokana na ukuaji wa uchumi unaotajirisha wageni huku ukiwabakiza wenyeji kwenye umaskini)

2. Ghana (unaanza ujinga uliokithiri unaopelekea turning point ya uongozi, extreme measures zinatumika kutoa mamlaka toka kwa watawala hadi kwa wananchi)

3. Somalia (kuzuka kwa makundi ya extremist ambao wanaona ni kheri nchi ipigwe kiberiti kuliko kunufaisha wachache)

4. Nigeria (rasilimali zinatumika kwa kiwango kikubwa ila umaskini upo pale pale. Mfuno unazalisha rich politicians huku vijana wanaangukia kwenye liwalo na lie ili mradi kuukimbia umaskini.)

Mifano ni mingi ila Tanzania ipo kwenye njia panda, sometimes nahisi damage ya muda huu sijui itatumia miaka mingapi kufanya repair
 
Habari za Jf siku hizi ni kama umbea tu,hakuna details ni mipasho tu!

BTW:Maeneo yote yenye dhahabu kwa sasa wachina huwakosi Geita,Kahama,Chunya.

Airstrips kwenye migodi wala siyo habari,ipo pote tu hata migodi ya wazungu
sasa yeye ameongelea kule alikoshuhudia huko kwingineko ongelea wewe kama umeshuhudia
 
Mpanda,Katavi kuna dhahabu za kutosha na pesa ipo but wamejaa wachina kote huko hata kupata vibali vya kuchimba kama Mzawa ni ngumu..

Wamejenga na Airport yao kabisa,wanasafirisha tani za kutosha za Gold..

SAMIA WHAT IS THIS


Britanicca
KWAKWELI HILI JAMBO HUWA NAJIULIZA SANA..HIVI SERIKALI IMESHINDWAJE KUWAPA WAZAWA HAYA MACHIMBO? HAWA WAGENI KAZI YAO INGEKUWA KUNUNUA TU NA SOKO NA BEI INGEKUWA JUU.
 
Chawa wa Lumumba huwa wanaambiwa wachina ni rafiki zetu sababu CCP imewajengea chuo cha mabilioni.
 
Kambarage alisema tuyaache kwanza hadi tujifunze namna ya kuyachimba na kuyaprocess...

Lakini hadi sasa hakuna tulichojifunza wala hakuna mgodi tunaouendesha wenyewe...
 
"Ipo siku nchi itapigwa mnada" Hayati Ndugai

Mnada unaendelea kwa Kasi sana chini ya huyu bibi asiyejitambua kabisa na anachojali ni kuwa bilionea yeye na ukoo wake mzima.
 
Back
Top Bottom