Tunapigwa sana na Wachina 🄲

Tunapigwa sana na Wachina 🄲

Watu tupo field tunayaona haya wachina ni wababaishaji hawana ubinadamu na watesaji tu iyo.migodi wangepewa wazungu watu wangefaidika sana apo kwa kulipwa vizuri na kufanyiwa baadhi ya maendeleo kwenye eneo husika
.
Kwa ufupi Asians wana roho ya kimaskini kama watu weusi tu. Ubaya zaidi wachina ni abusive sana
 
.
Kwa ufupi Asians wana roho ya kimaskini kama watu weusi tu. Ubaya zaidi wachina ni abusive sana

haki, utu na heshima those are Christian values, ndiyo maana unaona Christians walivyokuja kwetu walijenga shule ambazo tulielimishwa, tulijua kusoma na kuandika, walijenga hospitali ambazo tulitibiwa pia ingawaje muslims arabs, irani walikuwepo before lkn hakuna huduma yoyote ya kijamii walioijenga ambayo ilimnufaisha mtu mweusi sana sana walikuwa wanauza black people utumwani.

bombo hospital tanga ilijengwa na Christians mwaka 1890, muslims hawakuwahi kujenga hospitali wala shule yoyote ile popote pale, ni 100% exploitation na ndicho kinachoendelea leo hii …
1784611256381.jpeg


1784611212855.jpeg
 
haki, utu heshima those are Christian values, ndiyo maana unaona Christians walivyokuja kwetu walijenga shule ambazo tulielimishwa, tulijua kusoma na kuandika, walijenga hospitali ambazo tulitibiwa pia ingawaje muslims arabs walikuwepo before lkn hakuna huduma yoyote ya kijamii walioijenga ambayo ilimnufaisha mtu mweusi sana sana walikuwa wanauza black people utumwani.

bombo hospitali tanga ilijengwa na Christians mwaka 1890, muslims hawakuwahi kujenga hospitali wala shule yoyote ile popote pale, ni 100% exploitation na ndicho kinachoendelea leo hii …
View attachment 3634029

View attachment 3634028
Ukweli unaouma
 
Wachina walijenga bara bara ya Chunya Mbeya kuna kipande kidogo kule juu maeneo ya gereza walijenga karibu miaka mitatu hilo eneo lilikua na dhahabu walipomaliza na bara bara ikaisha hao jamaa ni kiboko aisee...
Wanaondoka na dhahabu wanaturudishia kamari za vindege..
 
Mpanda,Katavi kuna dhahabu za kutosha na pesa ipo but wamejaa wachina kote huko hata kupata vibali vya kuchimba kama Mzawa ni ngumu..

Wamejenga na Airport yao kabisa,wanasafirisha tani za kutosha za Gold..

SAMIA WHAT IS THIS


Britanicca
Wanachota kweli sio polepole hawana cha salia mtume wale washaanza kujifunza mpka Kisukuma ni hatari
 
Roho ya mangungo aliyeuza ardhi ya Tanganyika kwa wakoloni nadhani ndio waTanzania wa leo wameirithi.
Bora yake Chief Mangungo wa Msovero alikuwa hajui kusoma akajikuta katuuza bila kukusudia. Vipi wasomi wa sasa "wanatuuza" mchana kweupe.
 
Mpanda,Katavi kuna dhahabu za kutosha na pesa ipo but wamejaa wachina kote huko hata kupata vibali vya kuchimba kama Mzawa ni ngumu..

Wamejenga na Airport yao kabisa,wanasafirisha tani za kutosha za Gold..

SAMIA WHAT IS THIS


Britanicca
Kama wanalipa Kodi shida iko wapi?
 
haki, utu na heshima those are Christian values, ndiyo maana unaona Christians walivyokuja kwetu walijenga shule ambazo tulielimishwa, tulijua kusoma na kuandika, walijenga hospitali ambazo tulitibiwa pia ingawaje muslims arabs, irani walikuwepo before lkn hakuna huduma yoyote ya kijamii walioijenga ambayo ilimnufaisha mtu mweusi sana sana walikuwa wanauza black people utumwani.

bombo hospital tanga ilijengwa na Christians mwaka 1890, muslims hawakuwahi kujenga hospitali wala shule yoyote ile popote pale, ni 100% exploitation na ndicho kinachoendelea leo hii …
View attachment 3634029

View attachment 3634028
Kinta Kunte knows all those episodes and those Values of those Big Guys šŸ˜³šŸ™„ !
 
Back
Top Bottom