George Bernard Yunga
Member
- Jul 18, 2017
- 24
- 21
ANGALIENI MATOKEO YAMESHATOKA JAMANI
ANGALIENI MATOKEO YAMESHATOKA JAMANI
duu watu 3000 tu ndio waliofanya mtihani post ya Customs officer II,nusu ina mana hawakufanya mtihaniANGALIENI MATOKEO YAMESHATOKA JAMANI
Waliofanya ni 3954, 210 ndio walio Kuwa selected for the next stage(Oral).duu watu 3000 tu ndio waliofanya mtihani post ya Customs officer II,nusu ina mana hawakufanya mtihani
yes nimeona,ni wengi waliokua selected ila wengine watawekwa database sio mbayaWaliofanya ni 3954, 210 ndio walio Kuwa selected for the next stage(Oral).
If 210 selected for oral interview out of 3954 candidates, and only 7 needed to be hired, reserving more in data base is likely to happen . Just my opinions.yes nimeona,ni wengi waliokua selected ila wengine watawekwa database sio mbaya
yes na ukiwekwa database hua wanakupangia tu kazi yeyote inayoendana na degree yakoIf 210 selected for oral interview out of 3954 candidates, and only 7 needed to be hired, reserving more in data base is likely to happen . Just my opinions.
Hivi ni kweli hii ya kuwekwa kwenye database?yes na ukiwekwa database hua wanakupangia tu kazi yeyote inayoendana na degree yako
sio lazima score kubwa ,ue umepata marks 50 kuendeleaMnadhani database itabeba kila mtu anayeattempt written...ukifika stage ya oral hapo sawa...na uwe una scores kubwa za kushawishi wakuweke huko...
Zipo za kutosha kwa kweli, hongereni kwa mliochaguliwa, kweli mi mipango ya Mungu!Aiiiseeee nimeona kuna zero za kumwaga 😂😂😂😂
Nimecheki nimeziona na singo digit za kutoshaAiiiseeee nimeona kuna zero za kumwaga 😂😂😂😂
Duuu.Aiiiseeee nimeona kuna zero za kumwaga![]()
kaka usikate tamaa mungu ni wakwetu sote kikubwa ni kupambana tu tutafika tu ndugu yangu.Tuliofeli tukutane tena mwakani,ahsanteni
naomba niulize swali, hivi ambao wanawekwa kwenye data base ni wale waliochaguliwa kuingia oral au ambao wameshafanyiwa oral interview alafu wakachaguliwa ila nafasi izo 7 mfano kwenye custom zimejaa so lakini wapo waliofanya vizuri ila hawajapangiwa kazi, naomba ufafanuzi tafadhali mkuuyes na ukiwekwa database hua wanakupangia tu kazi yeyote inayoendana na degree yako
Ni wale tuu sisi tuliotwa kwenye oral na tukafanya vizuri oral ila nafasi ikakosekana hivyo , Kama oral utafanya vizuri basi uwezekano wa jina lako kuwekwa kwenye dat base ni mkubwa,,,Pia unaweza ukawa umefanya vizuri written ila ora ukazinguwa jina lako halikai data basenaomba niulize swali, hivi ambao wanawekwa kwenye data base ni wale waliochaguliwa kuingia oral au ambao wameshafanyiwa oral interview alafu wakachaguliwa ila nafasi izo 7 mfano kwenye custom zimejaa so lakini wapo waliofanya vizuri ila hawajapangiwa kazi, naomba ufafanuzi tafadhali mkuu