alumn
JF-Expert Member
- Jul 15, 2018
- 2,370
- 3,165
Majina hukaa kwenye kanzi data kwa muda wa miezi nane baada ya hapo hujifuta automatically
Asante
Majina hukaa kwenye kanzi data kwa muda wa miezi nane baada ya hapo hujifuta automatically
Samahan mkuu hivi utajuaje kama jina lako liko kanzi dataMajina hukaa kwenye kanzi data kwa muda wa miezi nane baada ya hapo hujifuta automatically
Ukiitwa oral kufanya interview tu ujue tayariSamahan mkuu hivi utajuaje kama jina lako liko kanzi data
Mkuu ngoja tuwe na subira na tuombe mungu mana nilifanya oral juzi zile za tax mgt officr na nilijitaid kufany vzur ila yote kwa yote ni kuomba munguUkiitwa oral kufanya interview tu ujue tayari
Kwa sasa sifaham coz yaelekea miaka 20 sasa toka nimeachana nao, ila kipindi niko pale binafsi nilikuwa nachukua ndani ya 2 mil. yaan 2 point somethingIngawa ni too personal,kama hutojali,Unilever wanalipaje?
2 au 20? Maana ni 20 inakuwa Kama 2000 hiviKwa sasa sifaham coz yaelekea miaka 20 sasa toka nimeachana nao, ila kipindi niko pale binafsi nilikuwa nachukua ndani ya 2 mil. yaan 2 point something
20 sasa na sii 2Miaka 20 au 2? Maana 20 no
2 au 20? Maana ni 20 inakuwa Kama 2000 hivi