Tunaomba update za interview TRA

Tunaomba update za interview TRA

Kujuana kupo sana mkuu, tena private sector nyingi hakufai kabisa na nimeacha kabisa kuomba kazi huko private sector.

Tasaf walitoa kazi za mda miaka 3. Watu tumeapply hadi leo kimya yaan Tanzania. Tusio na connection tunapata tabu sana. Hata mimi private sector siombi
 
Interview yangu ya Tatu oral pale utumishi na zote sitoboi. Na sio kua nashindwa kujibu najibu vyema kabisa naamini. Duh ya Mungu Mengi.
dah kaka pole sana ila na mimi nilifanya oral ya tax mgt officer na nilifanya vzur tu lakin wala sijaitwa kazini lakini tusilalamike kaka tuzidi kuomba mungu ipo day tutapata tu lakini nimejaribu kutafakari kwa kina inawezekana watu wa kanzi data walikuwa wengi ivyo kupelekea kuchukuliwa wengi ni mtizamo wangu tu ndugu
 
Samahani wanajukwaa wenzangu!
Kuna hii Company inaitwa Unilever...yoyote anayejua Salary zao kwa upande wa EXTENSION officer aniambie
 
dah kaka pole sana ila na mimi nilifanya oral ya tax mgt officer na nilifanya vzur tu lakin wala sijaitwa kazini lakini tusilalamike kaka tuzidi kuomba mungu ipo day tutapata tu lakini nimejaribu kutafakari kwa kina inawezekana watu wa kanzi data walikuwa wengi ivyo kupelekea kuchukuliwa wengi ni mtizamo wangu tu ndugu

Asante kaka mimi nilifanya custom officer naona wamechukuliwa wanawake wengi
 
Asante kaka mimi nilifanya custom officer naona wamechukuliwa wanawake wengi
usijali kaka tusichoke kuomba mungu ila nasikia sijui mambo ya data base ngoja tuone kama kinachosemwa kipo au lah mana nimejaribu kuwaza na kufikiri kama hicho kitu kipo kweli nasi tuamini
 
Samahani wanajukwaa wenzangu!
Kuna hii Company inaitwa Unilever...yoyote anayejua Salary zao kwa upande wa EXTENSION officer aniambie
Niliwahi pita UNILEVER miaka hiyo wakat ndio nimeanza life baada ya chuo & kabla ya kuingia serikalini, kiukweli hawa jamaa wanalipa vizuri sana japo kwa TZ wamegawanyika ktk makundi mawili. Kuna wale ambao office yao ipo banda la ngozi - Chang;ombe ambao wanahusika na FMCG na wale wa Iringa ambao wanahusika na zao la chai, na inaonekana wewe wa EXTENSION utakuwa wa Iringa sehemu ambayo sina ufahamu mkubwa nayo, ila kwa ujumla ni moja ya kampuni ambazo zinalipa vizuri sana hapa TZ.
 
Niliwahi pita UNILEVER miaka hiyo wakat ndio nimeanza life baada ya chuo & kabla ya kuingia serikalini, kiukweli hawa jamaa wanalipa vizuri sana japo kwa TZ wamegawanyika ktk makundi mawili. Kuna wale ambao office yao ipo banda la ngozi - Chang;ombe ambao wanahusika na FMCG na wale wa Iringa ambao wanahusika na zao la chai, na inaonekana wewe wa EXTENSION utakuwa wa Iringa sehemu ambayo sina ufahamu mkubwa nayo, ila kwa ujumla ni moja ya kampuni ambazo zinalipa vizuri sana hapa TZ.
Ingawa ni too personal,kama hutojali,Unilever wanalipaje?
 
Mwenye ufahamu tafadhali na anijuze hapa.
Iwapo ukiwa umefaulu na kuhifadhiwa kunzidata je? Husubiri au wote walio katika kunzidata hupatiwa kazi kila zikipatikana au kuna mda wanaondoa hayo majina kama kazi hazijapatikana? Let say a year?
 
Mwenye ufahamu tafadhali na anijuze hapa.
Iwapo ukiwa umefaulu na kuhifadhiwa kunzidata je? Husubiri au wote walio katika kunzidata hupatiwa kazi kila zikipatikana au kuna mda wanaondoa hayo majina kama kazi hazijapatikana? Let say a year?

Una kadi ya CCM?
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Mwenye ufahamu tafadhali na anijuze hapa.
Iwapo ukiwa umefaulu na kuhifadhiwa kunzidata je? Husubiri au wote walio katika kunzidata hupatiwa kazi kila zikipatikana au kuna mda wanaondoa hayo majina kama kazi hazijapatikana? Let say a year?
Majina hukaa kwenye kanzi data kwa muda wa miezi nane baada ya hapo hujifuta automatically
 
Inasikitisha sana kuona maswali ya kuajiri outsiders ambao hawajui chochote kuhusu mfumo wa kazi wa TRA yanahusu mfumo huo. Uwezekano wa wengi kufeli ni mkubwa sana labda kama kuna mtu kakuonyesha maswali na majibu yake. Na kwa Tanzania hilo linawezekana sana.

Dah ukweli wa Mungu kulingana na course nliyo soma hakuna swali ambalo ningeweza kujibu
 
Back
Top Bottom