Tunaokumbuka ' Differential Equations na Integral ' tukutane hapa..

Tunaokumbuka ' Differential Equations na Integral ' tukutane hapa..

Mimi nazikumbuka "Multiple Integral" sababu ndio zilikuwa ukingoni ukingoni mwa kuachana na hesabu .....
 
Hahaha, kakaaa daahh.
Wenzako wanaojiita wenye IQ(MD) walikwenda kuomba ajira za jeshi ktk kambi ya mgulani.
Hayo tuu.
Mimi sina wenzangu, alafu mimi sio MD. Infact bora hao hata wameenda kuomba ajira jeshini, je nyie mangwini hali yenu ikoje?
 
Hivi wapo wenzangu wa level ya MSc (Mathematics) angalau tukumbushane mambo yetu? Maana hii level ya Advanced Maths nawaachia wale wa form six.
 
PCM oyeeeeee... old moshi secondary school chini ya mwalim kinunda year 2009..
Trig na coordinate geoetry tulikua tunasolve na tranter
Differentiation na intergration (calculus) ilikua J.backhouse (pure mathematics 2)
Dah... pcm raha sana..

Ukija kwenye physics apo mechanics - rotational dynamics, fluid mechanics na bernoulli's principle etc... dahhhhh.. pcm tamu saannaaa
 
Kasomee urubani si ndio kwao huko,halafu mshahara laki 8,mi nachokaga sana na tabia za nchi hii.
 
Back
Top Bottom