Tunaokumbuka ' Differential Equations na Integral ' tukutane hapa..

Tunaokumbuka ' Differential Equations na Integral ' tukutane hapa..

Mambo ya kukunjua nyoka aisee...

Nilisoma BAM ila nilipata tabu sana, yaani mathematics sijawahi ielewa kabisa...

Mimi niletee mambo ya kumeza akina Biology, Chemia yaani unakula handout hadi unafurahi...
Hapo kwenye kumeza ndo changamoto sasa
 
Hiyo ni kweli tupu. Na kwa bahati mbaya,ukiwa DIT kwa mfano,matumizi ya hesabu hizo unakutana nayo hapo hapo. Kwa mfano,kwenye masomo ya Strength of Materials,kwenye First and Second Moment of Inertia nk,bila kujua hizo dx or dy ili kupata xtreme fibre points kama zile Modulus,Y and X Bar(Centroid and centroidal axis perpendicular distances) perpendicular to X or Y Axis,ndugu yangu lazima ubebeshwe virago kwa Supplementary na discontinuation.
Ukisikia Home of Engineerz ndo hapo unasoma mpaka unafuka moshi
 
EGM pale PUGU (Peoples Usually Go University) .Kila weekend mwendo wa kwenda kula Pindi Kule Kibaha sec kwa washkaji zangu akina Makoye,mwendo wa kukesha bweni la mwisho Nyanza!. Daah kweli zama zimezama.
Kumbe upo hapa Pugu boy(Pondi boy) mwenzangu
 
Wakuu

Mm nilisoma PCM Tabora boys 2005-2007.

Nilikula sana integral na differential equations.

Wewe je?
Hakuna topic rahisi kama hizo...

Maana Integration ni kinyume tu cha Differentiation.... then Differential Equations ni applications zake tu....

Mi nimepiga hizo mambo 2008...EGM
 
Hakuna topic rahisi kama hizo...

Maana Integration ni kinyume tu cha Differentiation.... then Differential Equations ni applications zake tu....

Mi nimepiga hizo mambo 2008...EGM
Labda kwa level ya chini kama F6,ila kwenye Engineering(CoET,DIT) ambapo ni application ya hayo mavitu,ni noma sana.
 
Labda kwa level ya chini kama F6,ila kwenye Engineering(CoET,DIT) ambapo ni application ya hayo mavitu,ni noma sana.
Mi niliisoma mpaka f6.. sikuona ugumu wake! Najua huko mbele iko advanced sana... alafu kuna mtu anakuja hapa anauliza eti inakusaidia nini kwenye maisha yako [emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom