ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,652
- 44,973
Dar ndo mkoa wa kipekee unaishi na mtu nyumba moja ila mnakutana weekend tu maana kila mtu anatoka alfajiri anarudi usiku.
Ila mikoani huku unaishi na watu wanajua kila kitu kukuhusu mtaani kila kukikucha unakutana na maneno mapya mixer kusengenyana.inshort mikoani huku mitaani ni kama tuko vijijini tu maana kama huna moyo hukai kwa jinsi utavyochomwa na maneno ya kupakaziwa.
Maneno yako ya aina mbili yanaumiza kiasi cha kuweza kumuua mtu mfano matusi juu ya mtu fulani na kuna vilevile maneno mengine yanaweza kukuponyesha mfano maneno ya kutiwa moyo.
Ila mikoani huku unaishi na watu wanajua kila kitu kukuhusu mtaani kila kukikucha unakutana na maneno mapya mixer kusengenyana.inshort mikoani huku mitaani ni kama tuko vijijini tu maana kama huna moyo hukai kwa jinsi utavyochomwa na maneno ya kupakaziwa.
Maneno yako ya aina mbili yanaumiza kiasi cha kuweza kumuua mtu mfano matusi juu ya mtu fulani na kuna vilevile maneno mengine yanaweza kukuponyesha mfano maneno ya kutiwa moyo.