Mbowe mwanasiasa tajiri aliyepotosha vijana wengi kwamba Kila kitu lazima kifanywe na serikali huku yeye akiendelea kutajirika kwa Juhudi binafsi!

Gift mzalendo

JF-Expert Member
Dec 13, 2019
1,006
1,171
Wakuu heshima kwenu

Naomba nielezee mada yangu kwa maneno machache Sana naamini inaeleweka

Kwanza nikiri kwamba serikali Ina mchango wake kidogo Sana katika mafanikio ya MTU binafsi. Ila sehemu kubwa ya mchango wa mafanikio ya MTU inategemea MTU mwenyewe alivyo.

Sina Nia mbaya kumsema Mkt Mbowe Wala sipo kutetea maeneo ambayo serikali inashindwa kutimiza wajibu wake

Ila nasikitika Mkt Mbowe kutokueleza vijana ukweli kwamba serikali Ina mchango mdogo Sana katika mafanikio yao binafsi. Mfano ni yeye mwenyewe pamoja na historia ya utajiri wa familia lakini Mbowe ameonyesha uwezo mkubwa wa kuendeleza Biashara za familia na kuendelea kutajirika NDANI serikali ile ile ambayo anailuma Kila siku

Pili lingine linanoliniumiza sijawahi kusikia Mbowe akiwashauri hata viongozi wenzake kuhusu uwekezaji binafsi nje ya siasa kitu kinachofanya wenzake kutetereka au kuumia zaidi wakati wa kufanya maamuzi kama kukataa ruzuku au kujitolea huku wakiwa na familia zinazowategemea
Hata wakati Yuko NDANI naamini miradi yake ilikuwa inaendelea kutengeneza faida huku wenzake wakiwa hoi baada ya kupoteza ubunge na nafasi zingine

Sijui ni ubinafsi au ni makusudi ili aendelee kuonekana mfadhili pekee wa chama sifahamu

Ila naamini Kama mwanasiasa mkomavu anapoelekea kustaafu moja ya mokosa inabidi akiri hili Kama Mwl Nyerere alivyokiri baadhi ya makosa yake
 
Una matatizo makubwa sana sema tu haujajua hilo, wewe hauna tofauti na wale wanaoandamana kwa upotevu wa pesa ya kijiji lkn ukiwambia tuandamane kwa report ya CAG kutotekelezwa watakwambia hiyo haituhusu.
 
Wakuu heshima kwenu

Naomba nielezee mada yangu kwa maneno machache Sana naamini inaeleweka

Kwanza nikiri kwamba serikali Ina mchango wake kidogo Sana katika mafanikio ya MTU binafsi. Ila sehemu kubwa ya mchango wa mafanikio ya MTU inategemea MTU mwenyewe alivyo.

Sina Nia mbaya kumsema Mkt Mbowe Wala sipo kutetea maeneo ambayo serikali inashindwa kutimiza wajibu wake

Ila nasikitika Mkt Mbowe kutokueleza vijana ukweli kwamba serikali Ina mchango mdogo Sana katika mafanikio yao binafsi. Mfano ni yeye mwenyewe pamoja na historia ya utajiri wa familia lakini Mbowe ameonyesha uwezo mkubwa wa kuendeleza Biashara za familia na kuendelea kutajirika NDANI serikali ile ile ambayo anailuma Kila siku

Pili lingine linanoliniumiza sijawahi kusikia Mbowe akiwashauri hata viongozi wenzake kuhusu uwekezaji binafsi nje ya siasa kitu kinachofanya wenzake kutetereka au kuumia zaidi wakati wa kufanya maamuzi kama kukataa ruzuku au kujitolea huku wakiwa na familia zinazowategemea
Hata wakati Yuko NDANI naamini miradi yake ilikuwa inaendelea kutengeneza faida huku wenzake wakiwa hoi baada ya kupoteza ubunge na nafasi zingine

Sijui ni ubinafsi au ni makusudi ili aendelee kuonekana mfadhili pekee wa chama sifahamu

Ila naamini Kama mwanasiasa mkomavu anapoelekea kustaafu moja ya mokosa inabidi akiri hili Kama Mwl Nyerere alivyokiri baadhi ya makosa yake

Kwahiyo serekali inatoa ajira, lakini Mbowe ndio anawaambia wagomee hizo ajira? Ama Kuna mitaji serekali inagaia vijana, ila Mbowe anawakataza wasikope ili wailamu serekali?
 
Hauna hoja ya maana upumbavu mtupu ulioandika
Hilo ndilo exactly unaloswa kujiambia. Kuna mambo ya msingi sana ya kuongoea kuhusu nchi yetu na maendeleo yake, lakini watu mnakuja na utumbo uliioza unanuka na kupost humu kwa kuwa tu mnataka kuipigia debe CCM sijui, au Chadema, sijui. Mmerogwa na nani sijui nyie
 
Kwahiyo serekali inatoa ajira, lakini Mbowe ndio anawaambia wagomee hizo ajira? Ama Kuna mitaji serekali inagaia vijana, ila Mbowe anawakataza wasikope ili wailamu serekali
Rudia Tena kusoma mkuu,
Nimelezea mchango wa serikali kwenye mafanikio ya MTU binafsi ni mdogo Sana ukilinganisha na mchango wa MTU mwenyewe
 
Rudia Tena kusoma mkuu,
Nimelezea mchango wa serikali kwenye mafanikio ya MTU binafsi ni mdogo Sana ukilinganisha na mchango wa MTU mwenyewe

Kwa hiyo hao vijana wote wanamsikiliza Mbowe na sio ufafanuzi wa serekali kuhusu maisha Yao?
 
Hilo ndilo exactly unaloswa kujiambia. Kuna mambo ya msingi sana ya kuongoea kuhusu nchi yetu na maendeleo yake, lakini watu mnakuja na utumbo uliioza unanuka na kupost humu kwa kuwa tu mnataka kuipigia debe CCM sijui, au Chadema, sijui. Mmerogwa na nani sijui nyie
Sijui kwanini unakimbilia kujibu kabla ya kusoma na kuelewa, nafikiri hili ni nalo moja ya Changamoto kubwa

Nimesema sipo hapa kutetea maeneo ambayo serikali imeshindwa kutimiza wajibu wake
Isipokuwa naeleza mchango wa MTU binafsi kwenye mafanikio binafsi ni mkubwa kuliko serikali
Kama ilivyo kwa Mkt Mbowe ambaye alishindwa kueleza wanachama wake ukweli huku yeye akiendelea kufanikiwa binafsi
 
Back
Top Bottom