immortanity
JF-Expert Member
- Nov 8, 2024
- 859
- 1,584
vipi kwani mkuu ushaharibu mara kadhaa challenge yakodah, najuta hata kuanzisha huu uzi
vipi kwani mkuu ushaharibu mara kadhaa challenge yakodah, najuta hata kuanzisha huu uzi
vipi kwani mkuu ushaharibu mara kadhaa challenge yako
MamaeeUnafikiri ni mara kadhaa tu? Ni mara kadha wa kadha sahv nimeacha life lijiongoze lenyewe



Mnawezaje wakuu?Mamaee![]()
kwaio unkwea mnazi ? au unakula tu bebizUnafikiri ni mara kadhaa tu? Ni mara kadha wa kadha sahv nimeacha life lijiongoze lenyewe
😅😅Watu mnatakiwa mfikishwe kwa pilatoSawA
Yaani nachapa miguu yte miwili, kipindi naanzisha huu uzi nilikuwa mbali na mwanamke wangu, sahv karudi nikiona huu uzi napata maumivu tu. Plus mnazi hata niwe na mwanamke kila siku kuna siku tu lazima nashtua japo mara chache sanakwaio unkwea mnazi ? au unakula tu bebiz
Ulikuwa mmojawapo wa wafuasi?No Chatting 😎
Dah hakika, shida yangu me ni majuto, yaan after sex naona yaan huu ujinga ndo ulikuwa unanipelekesha hivi?Hii challenge wanaweza wakina mama tu sisi upande wa pili tunajidanganya tu kwa kubadilisha kikombe cha maji ya kunywa mkono wa pili
Ni vizuri ku set target huna haja ya kujutia ukianguanguka unaweka tena,Dah hakika, shida yangu me ni majuto, yaan after sex naona yaan huu ujinga ndo ulikuwa unanipelekesha hivi?
Naichukua hii 🙏🙏🙏Ni vizuri ku set target huna haja ya kujutia ukianguanguka unaweka tena,
Wafuasi gani?Ulikuwa mmojawapo wa wafuasi?
unazingua bruh😅😃mnazi wann na unamkeYaani nachapa miguu yte miwili, kipindi naanzisha huu uzi nilikuwa mbali na mwanamke wangu, sahv karudi nikiona huu uzi napata maumivu tu. Plus mnazi hata niwe na mwanamke kila siku kuna siku tu lazima nashtua japo mara chache sana
Wa NoFAPWafuasi gani?
Wafuasi gani?
Hamna ndio nimeiona leoWa NoFAP
Safar ganiAu basi endelea na safari yako mkuu, naona ulipita bahati mbaya hapa