Tunaoanza NoFAP challenge leo tukutane hapa

Tunaoanza NoFAP challenge leo tukutane hapa

Hii challenge ilipaswa ianze na lile jina pendwa nahisi ingekuwa safi sana!

Kwa hiyo ukiwa na mtu wako unamwambia uko likizo avute subra au hii ni maalumu kwa CHAPUTA tu?
 
Safi mkuu assessment ya kwanza iwe baada ya 3 months na target iwe ni 1 year hapo utakuwa umefanikiwa kinyama
 
Nimefikisha siku 119 bila mchezo mchafu wala kuangalia picha chafu sawa na miezi mi 3 na siku 30 imebaki siku 1 nitimize miezi minne, ila safari haikua rahisi.
Screenshot_20250627_111141_I Am Sober.jpg
 
Back
Top Bottom