Tunaoanza NoFAP challenge leo tukutane hapa

Tunaoanza NoFAP challenge leo tukutane hapa

Kama kwenye account yako una hela kama 1m huwezi kufanya
 
kwani mkuu huna manzi yakukunyegesha ?
Ninae ila yuko mbali alafu nofap nayofanya ni kwaajili ya kujizuia kufanya mchezo mchafu wa kujichukulia sheria mkononi, ndo hiyo nimefanikiwa kwa siku 119 sawa na miezi minne kasoro siku 1
 
Back
Top Bottom