Tunaoanza NoFAP challenge leo tukutane hapa

Tunaoanza NoFAP challenge leo tukutane hapa

Rasmi leo naanza hii challenge, dua zenu wakuu. Wanaotaka kwenda pamoja nami tuungane hapa

No sex,
No masturbation,
No porn.

Here we go.

Picha haihusiani na uzi


Nilianza kufanya hi challenge ni miaka sasa imepita and I didn't know if I'm in semen retention challenge


Uzoefu wangu katika hili nimegundua kwamba " mbegu za kiume (sperms) usipozitoa hazitoki kamwe"


Ulimwengu hu ni kiumbe hai that why moja ya sehemu ya ulimwengu huu kuna viumbe hai (i.e Earth) na hakika unahusiana na viumbe hai walio katika dunia kwa namna ambayo ni ya Siri Sana.


Ulimwengu unakutambua kwa jinsi unavyojitambua i.e ulimwengu unakutambua wewe na Mimi jinsi tulivyo ndani yetu hivyo hatuwezi kuudanganya ulimwengu kamwe na unarespond/unatupatia/unatuludishia tulichonacho ndani yetu..... Unaweza kuidanganya dunia lakini ulimwengu haiwezekani kuudanganya B'se "Dunia inakutambua kwa jinsi unavyojitambulisha"



Kuna waswahili husema ๐Ÿ‘‰ "MUNGU anakupa unachostahili na sio unachotaka "


Unachostahili means๐Ÿ‘‰ ulivyo ndivyo utakavyokuwa
๐Ÿ‘‰ ulichonacho ndani yako Ndicho kitakusogelea na kuwa wewe
๐Ÿ‘‰Unachopanda ndicho utakachovuna



Hakika usipokuwa na mawazo ya ngono/mapenzi kitu kinaitwa sperms hakitotoka nje kwasababu mawazo yanatembea na ndiyo yanayotutembeza na kutupeleka kufanya jambo au kitu fulani kiwe cha heri au ubaya


Kitu kingine wasichana wanatakufuata sana B'se women are very sensitive to energy ๐Ÿ‘‰ sperms is the energy, sperms is the power of attraction to All things in This universe.... Lakini wakija watakukuta upo imara wala hawatopata tention yako katika kila nyanja B'se wanakuta tamaa ya mapenzi imelala usingizi wa pono ๐Ÿ˜
 
Nilianza kufanya hi challenge ni miaka sasa imepita and I didn't know if I'm in semen retention challenge


Uzoefu wangu katika hili nimegundua kwamba " mbegu za kiume (sperms) usipozitoa hazitoki kamwe"


Ulimwengu hu ni kiumbe hai that why moja ya sehemu ya ulimwengu huu kuna viumbe hai (i.e Earth) na hakika unahusiana na viumbe hai walio katika dunia kwa namna ambayo ni ya Siri Sana.


Ulimwengu unakutambua kwa jinsi unavyojitambua i.e ulimwengu unakutambua wewe na Mimi jinsi tulivyo ndani yetu hivyo hatuwezi kuudanganya ulimwengu kamwe na unarespond/unatupatia/unatuludishia tulichonacho ndani yetu..... Unaweza kuidanganya dunia lakini ulimwengu haiwezekani kuudanganya B'se "Dunia inakutambua kwa jinsi unavyojitambulisha"



Kuna waswahili husema ๐Ÿ‘‰ "MUNGU anakupa unachostahili na sio unachotaka "


Unachostahili means๐Ÿ‘‰ ulivyo ndivyo utakavyokuwa
๐Ÿ‘‰ ulichonacho ndani yako Ndicho kitakusogelea na kuwa wewe
๐Ÿ‘‰Unachopanda ndicho utakachovuna



Hakika usipokuwa na mawazo ya ngono/mapenzi kitu kinaitwa sperms hakitotoka nje kwasababu mawazo yanatembea na ndiyo yanayotutembeza na kutupeleka kufanya jambo au kitu fulani kiwe cha heri au ubaya


Kitu kingine wasichana wanatakufuata sana B'se women are very sensitive to energy ๐Ÿ‘‰ sperms is the energy, sperms is the power of attraction to All things in This universe.... Lakini wakija watakukuta upo imara wala hawatopata tention yako katika kila nyanja B'se wanakuta tamaa ya mapenzi imelala usingizi wa pono ๐Ÿ˜
Natamani uendelee kutupa soma inaonekana una vitu vingi unajua kuhusu sperm retention
 
Hahah it doesn't matter,๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… halafu huwezi amini mnazi nafanyaga kama sehemu ya starehe tu ila sio nyege. Yaan nawez kuwa nimetulia tu, then nikaamua kupanda zangu mnaz for no reason
kwamba mnaz ni better than papuchi mkuu
 
Nilianza kufanya hi challenge ni miaka sasa imepita and I didn't know if I'm in semen retention challenge


Uzoefu wangu katika hili nimegundua kwamba " mbegu za kiume (sperms) usipozitoa hazitoki kamwe"


Ulimwengu hu ni kiumbe hai that why moja ya sehemu ya ulimwengu huu kuna viumbe hai (i.e Earth) na hakika unahusiana na viumbe hai walio katika dunia kwa namna ambayo ni ya Siri Sana.


Ulimwengu unakutambua kwa jinsi unavyojitambua i.e ulimwengu unakutambua wewe na Mimi jinsi tulivyo ndani yetu hivyo hatuwezi kuudanganya ulimwengu kamwe na unarespond/unatupatia/unatuludishia tulichonacho ndani yetu..... Unaweza kuidanganya dunia lakini ulimwengu haiwezekani kuudanganya B'se "Dunia inakutambua kwa jinsi unavyojitambulisha"



Kuna waswahili husema ๐Ÿ‘‰ "MUNGU anakupa unachostahili na sio unachotaka "


Unachostahili means๐Ÿ‘‰ ulivyo ndivyo utakavyokuwa
๐Ÿ‘‰ ulichonacho ndani yako Ndicho kitakusogelea na kuwa wewe
๐Ÿ‘‰Unachopanda ndicho utakachovuna



Hakika usipokuwa na mawazo ya ngono/mapenzi kitu kinaitwa sperms hakitotoka nje kwasababu mawazo yanatembea na ndiyo yanayotutembeza na kutupeleka kufanya jambo au kitu fulani kiwe cha heri au ubaya


Kitu kingine wasichana wanatakufuata sana B'se women are very sensitive to energy ๐Ÿ‘‰ sperms is the energy, sperms is the power of attraction to All things in This universe.... Lakini wakija watakukuta upo imara wala hawatopata tention yako katika kila nyanja B'se wanakuta tamaa ya mapenzi imelala usingizi wa pono ๐Ÿ˜
inawezekana kujizuia kumwaga mbegu wakati wa tendo la ndoa? sidhan kama unaweza jizuia ilihali unajua unapo mwaga ndio unakuwa sitimulated zaidi na kupata pleasure
 
inawezekana kujizuia kumwaga mbegu wakati wa tendo la ndoa? sidhan kama unaweza jizuia ilihali unajua unapo mwaga ndio unakuwa sitimulated zaidi na kupata pleasure


๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Mkuu Haiwezekani kujizuia kutoa mbegu wakati wa Tendo la NDOA, ila sijui may be kuna wajuzi wanaweza kutenda hivyo na kama wapo haina maana ya kutenda hilo tendo B'se lengo ni kufika kileleni na kupata raha ya kipekee na huko ndiko kutoa mbegu za kiume sasa kama mtu anafanya Harafu anajizuia kumwaga sijui atafuta Nini?๐Ÿ˜
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Mkuu Haiwezekani kujizuia kutoa mbegu wakati wa Tendo la NDOA, ila sijui may be kuna wajuzi wanaweza kutenda hivyo na kama wapo haina maana ya kutenda hilo tendo B'se lengo ni kufika kileleni na kupata raha ya kipekee na huko ndiko kutoa mbegu za kiume sasa kama mtu anafanya Harafu anajizuia kumwaga sijui atafuta Nini?๐Ÿ˜
๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜€ndio semen rentetion hiyo yani unapata raha bila kumwaga inawezekana ndio ni uzoefu tu mi nampanga wakupractice hii kitu nikikarbia kumwaga nachomoa na cool๐Ÿ˜‚then naendelea mpka nilizike bila ya kumwaga
 
Natamani uendelee kutupa soma inaonekana una vitu vingi unajua kuhusu sperm retention

Shukurani Mkuu sote tunajifunza kwa NEEMA yake mwenyezi MUNGU na hata katika vitabu vitakatifu haya yameandikwa ni vile yameandikwa kwa lugha ambayo ni ngumu kuielewa


Mithali 31:3a "Usiwape wanawake nguvu zako........"


Kwahiyo utaona hiyo code iliyofichwa hapo "nguvu" ni sperms (i.e kila wakati unapotoa mbegu zako unatoa nguvu zako ambazo singekusaidia kutenda mambo na vitu mbalimbali katika kila nyanja ya maisha)


Sperms ni special kwa mwanamke mmoja tu ambaye ni mke na sio kwa wanawake na hapa utagundua kwanini cases za nguvu za kiume zinaongezeka sana ni kwasababu wavulana wengi wa leo wanawapa wanawanake nguvu zao kitu ambacho kinamaliza nguvu zao na kupelekea kutokukidhi mahitaji ya hao wanawake
 
Kwahiyo hadi mleta Uzi nae alishindwa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Shukurani Mkuu sote tunajifunza kwa NEEMA yake mwenyezi MUNGU na hata katika vitabu vitakatifu haya yameandikwa ni vile yameandikwa kwa lugha ambayo ni ngumu kuielewa


Mithali 31:3a "Usiwape wanawake nguvu zako........"


Kwahiyo utaona hiyo code iliyofichwa hapo "nguvu" ni sperms (i.e kila wakati unapotoa mbegu zako unatoa nguvu zako ambazo singekusaidia kutenda mambo na vitu mbalimbali katika kila nyanja ya maisha)


Sperms ni special kwa mwanamke mmoja tu ambaye ni mke na sio kwa wanawake na hapa utagundua kwanini cases za nguvu za kiume zinaongezeka sana ni kwasababu wavulana wengi wa leo wanawapa wanawanake nguvu zao kitu ambacho kinamaliza nguvu zao na kupelekea kutokukidhi mahitaji ya hao wanawake
somo zuri
 
Shukurani Mkuu sote tunajifunza kwa NEEMA yake mwenyezi MUNGU na hata katika vitabu vitakatifu haya yameandikwa ni vile yameandikwa kwa lugha ambayo ni ngumu kuielewa


Mithali 31:3a "Usiwape wanawake nguvu zako........"


Kwahiyo utaona hiyo code iliyofichwa hapo "nguvu" ni sperms (i.e kila wakati unapotoa mbegu zako unatoa nguvu zako ambazo singekusaidia kutenda mambo na vitu mbalimbali katika kila nyanja ya maisha)


Sperms ni special kwa mwanamke mmoja tu ambaye ni mke na sio kwa wanawake na hapa utagundua kwanini cases za nguvu za kiume zinaongezeka sana ni kwasababu wavulana wengi wa leo wanawapa wanawanake nguvu zao kitu ambacho kinamaliza nguvu zao na kupelekea kutokukidhi mahitaji ya hao wanawake
Umenifumbua mkuu acha niwe serious kwenye kupractice
 
๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜€ndio semen rentetion hiyo yani unapata raha bila kumwaga inawezekana ndio ni uzoefu tu mi nampanga wakupractice hii kitu nikikarbia kumwaga nachomoa na cool๐Ÿ˜‚then naendelea mpka nilizike bila ya kumwaga

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Ni hatari Mkuu lakini me ushauri Wangu ukitaka kuweza hiyo challenge jiepushe kabisa na mambo ya zinaa kama mambo ya porno, mademu ndo kata kabisa hata kuwasogelea au wewe kuluhusu wakusogelee na vitu vyote vinavyozalisha mawazo ya kingono na kupelekea mtu kuamsha hisia za kingono epukana navyo kabisa


Lakini hiyo njia unayotaka kutumia daaah huwezi kushinda hi challenge Mkuu ....
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Ni hatari Mkuu lakini me ushauri Wangu ukitaka kuweza hiyo challenge jiepushe kabisa na mambo ya zinaa kama mambo ya porno, mademu ndo kata kabisa hata kuwasogelea au wewe kuluhusu wakusogelee na vitu vyote vinavyozalisha mawazo ya kingono na kupelekea mtu kuamsha hisia za kingono epukana navyo kabisa


Lakini hiyo njia unayotaka kutumia daaah huwezi kushinda hi challenge Mkuu ....
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚amna mkuu practice make perfect amini kwamba inawezekana
 
Back
Top Bottom