Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,242
- 113,617
adui wa taifa letu leo ni maviongozi majizi majizi kama Ndulu ambayo ni mengi sana.
Hii kali ya kufungia mwaka!
adui wa taifa letu leo ni maviongozi majizi majizi kama Ndulu ambayo ni mengi sana.
Lol...
Maneno yako mwenyewe ndio data nilizotumia kukuita mzushi. nitafuta kauli yangu endapo utamtaja huyo "mzee" aliyekuambia aliyokwambia. Other than that wewe ni Kazushi Sakuraba.
Wewe ulizipitia au uliambiwa na "mzee"?
Superstitions kivipi? Na kama huzitaki basi nazichukua. Sikukulazimisha uzipokee.
well spoken ...mwaminifu..sana ,mwadilifu..na mwenye nidhamu...as you said waliokuja kuharibu kidogo au kadiri mtu atakavyoona historia yake ni kweli ni MTANDAO ...walimteka nyara mwaka 2005..hasa wakijuwa baada ya mwalimu ..ambaye angalau ccm 2005 iliwasikiliza ni kawawa, mwinyi na kingunge ambaye nao waliwashika!!..jambo hili liliwasononesha sana wenzake aliokuwa nao toka zama kina ...salim.,malecela,msuya,warioba ,gamaetc.....viongozi wengi wa zamani waliacha kabisa hata kumtembelea pale madale wakiamini aliwasaliti kwa kujiunga mtandao walitaka abakie neutral kama mzee..wao
kawawa aliendelea kumuunga mkono kikwete hata pale viongozi wote wa zamani ambao saa wamekuwa wapinzani wakubwa wa kikwete yeye amebaki kumtetea..nadhani kiikwete ana sababu ya ziada ya kusononeka!!!
I have no reason not to believe that you are not an agent of the government, and I will reiterate that I will not name my sorces, citing age old conventions of protecting sources.
Kuwa trigger happy katika kuita watu wazushi bila kujua undani wa mambo ndio uzushi mkubwa zaidi, maana unamuita mtu mzushi kwa kitu usichokijua.
No wonder huelewi hata superstition ni nini.
What's wrong with you? Are you suffering from paranoid schezophrenia or something?
Wewe unayekijua si utujuze sisi tusiokijua. Unaombwa habari kamili unaanza visingizio...oooh age old conventions fo blah blah blah...WTF? mTAJE HUYO "mzee" otherwise failure to do so renders you Kazushi Sakuraba.
I'm better off not understanding let alone knowing what it is.
- Hiki kifo mkuu kinabadilisha kabisa marathon ya 2010, inaogopesha sana maana everything seems to working for Lowassa, yes I said it hii ni big plus kwake!
Respect.
FMEs!
Hahaha,
Your tactics are not working on me.Habari ndiyo hiyo, utake usitake.The record is straight, aliyetaka tuimbe chorus ya sifa tu ajue kwamba hapa ni JF, where we dare speak openly.
- Hiki kifo mkuu kinabadilisha kabisa marathon ya 2010, inaogopesha sana maana everything seems to working for Lowassa, yes I said it hii ni big plus kwake!
Respect.
FMEs!
Jamaa alichangia kufa kwa financial institutions za Tanzania, alichukua hela kama mikopo kwa sababu za "kichama" kutoka mabenk, hususan benki ya nyumba na shirika la bima, alipofuatwa na watendaji wa mashirika haya akawa anawazungusha, misho wake akawaambia "Kwani nyie hamna "bad debts"? andikeni madeni haya kama "bad debts" " wazee wa mabenki na mashirika haya wakashindwa kufanya kitu, ukizingatia hii ilikuwa ni enzi ya chama kushika hatamu na Rashid Mfaume Kawawa ndiye katibu Mkuu wa chama.
Sitaki kusema hana mchango mzuri katika nchi yetu, ila sipendi hii tabia ya kumsifia mtu kama malaika na kumuita mpiga vita ufisadi just because amfariki tu.
Huu ni ukweli nilioupata kutoka kwa wazee wenyewe waliofanya naye kazi kuhusu hii mikopo,hususan kutoka NIC.
Inayowika leo EPA, lakini kina Kawawa walishafanya yote haya kitambo, kulikuwa hakuna mitandao tu ya kuwaumbua siku hizo magazeti ya chama na serikali na radio RTD tu.
GT,
Huo ni uwongo wa mchana. Naona ninyi mafundamentalist will grab at anything to try to destroy the legacy of a great leader.
Kawawa as a trade unionist, brought to TANU his organisational skills. Nitajie hiyo hotuba ya Mwalimu aliyosema Kawawa alitaka kubadili dini then I will take back my retort.Inaelekea hata hotuba za Mwalimu ulikuwa husikilizi wewe
And speaking of Greatness what was so great about Rashidi?
Come on man, najua sasa hivi Taifa liko sedated na kutaka kumfanya Rashidi Mtakatifu ili hali alikuwa na madhaifu kama binadamu mwingine.
Editorials za magazeti ya leo ni aibu tupu.
.And speaking of Greatness what was so great about Rashidi?
Come on man, najua sasa hivi Taifa liko sedated na kutaka kumfanya Rashidi Mtakatifu ili hali alikuwa na madhaifu kama binadamu mwingine.
Editorials za magazeti ya leo ni aibu tupu.