johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,131
Mzee Rashid Mfaume Kawawa kila udhaifu ukitokea alisingiziwa yeye
Sokoine inaeleweka
Msuya aliitwa fisadi aliyemiliki Rombo Investment
Salim aliitwa fisadi aliyemiliki Mwanamboka
Malecela alidaiwa kuuza viwanja vya jimkana😀 kwa akina Sheraton
Lowassa alijiuzulu
Pinda alitaka kupigiwa kura ya kutokuwa na Imani naye na akina Joshua Nassary, Filikunjombe na Zitto Kabwe
Hata Mzee Warioba Baraza la Mawaziri lilivunjwa na Mzee Rukhsa dadeki Sema tu Mjomba ni mama
Hivyo nazidi kumtia moyo mpendwa wetu Kassim Majaliwa achape Kazi kwani figusu kwenye hicho cheo ziko kitambo sana kama kelele za Chura mtoni
Nawatakia Sabato Njema 😀
Sokoine inaeleweka
Msuya aliitwa fisadi aliyemiliki Rombo Investment
Salim aliitwa fisadi aliyemiliki Mwanamboka
Malecela alidaiwa kuuza viwanja vya jimkana😀 kwa akina Sheraton
Lowassa alijiuzulu
Pinda alitaka kupigiwa kura ya kutokuwa na Imani naye na akina Joshua Nassary, Filikunjombe na Zitto Kabwe
Hata Mzee Warioba Baraza la Mawaziri lilivunjwa na Mzee Rukhsa dadeki Sema tu Mjomba ni mama
Hivyo nazidi kumtia moyo mpendwa wetu Kassim Majaliwa achape Kazi kwani figusu kwenye hicho cheo ziko kitambo sana kama kelele za Chura mtoni
Nawatakia Sabato Njema 😀