Tunamkumbuka Mzee Rashid M. Kawawa - Simba wa Vita

Miye sina kasoro ya kumpa mzee Rashid Mfaume kawawa zaidi najua alikuwa mtu muaminifu sana na siyo Fisadi.....Bluray kama kosa lilishatokea na sasa amekufa let him rest in peace my dearest!....
Rest In peace RMK.

I did not only let him rest in peace, I also wished for all beings to attain enlightenment.

Whether tunamuongelea negatively au positively hapa huyu mzee yupo katika the deepest of peace right now, ameshakufa.

Tatizo ni kwamba kuna tabia ya kuwapamba watu positively tu, na ukiongea mabaya yao unaonekana wa ajabu. Katika utamaduni huu tunapindisha historia na ukweli.

Tayari nilishaanza kuona historia inapindishwa na Kawawa anavikwa kofia ya mpiganaji dhidi ya ufisadi kutokana na vi statement viwili vitatu alivyovitoa basically on his deathbed.

Nilichotaka kuonyesha hapa ni kuwa kina Kawawa walifanya ufisadi long time, bila ya kuogopa upinzani wala the press, enzi za chama kushika hatamu na kujichotea tu.Kwa hiyo tusitake kumpamba positively tu, na mabaya yake tuyaseme pia.Labda hili litasaidia kufundisha mafisadi wa leo na wanaotaka kuwa mafisadi kwamba ukiwa fisadi tutakusema mpaka siku ya kufa.
 
The names are preserved to protect the innocents

I knew you would say that. So so lame. Mzushi tu.

this is a standard rule honored by for example, journalists all over the world.

You are not a journalist. Or are you?

We unafikiri CCM ilikuwa inaendeshwa kwa michango ya wanachama tu?

Wana miradi yao ya kuwaingizia vipato kama kile kiwanja cha Kirumba pale Mwanza.

Huwezi kunilazimisha kutaja majina

Kukulazimisha siwezi lakini kukuita mzushi naweza! Mzushi tu. Unamzushia mzee wa watu wakati yu marehemu. Ulikuwa wapi kuyasema yote haya wakati akiwa hai ili ajitetee mwenyewe?

hata New York Times na magazeti yanayo uphold the highest standards za journalism kila siku utaona wanaweka anonymous sources kwa sababu za kwalinda hao watu.

New York Times umeliona ni gazeti linalo uphold the highest of standards za journalism? Jayson Blair..anyone?

Unataka nimtaje mzee wa watu halafu kesho usalama wa taifa waende kumgongea mlangoni? Nitajuaje kama wewe nawe si usalama wa taifa unataka umtafute huyu mzee na kumpitia yeye unitafute mimi?

Mimi siyo usalama wa taifa na hilo huwezi kulijua kwa uhakika kama ambavyo hatuwezi kujua kwa uhakika kuhusu hayo madai yako kama ni ya kweli au la? Na ukimtaja huyo "mzee" watu wa usalama wa taifa wataenda kumgongea kwa minajili ipi?

Pinga hoja kwa hoja, sema kwa nini Kawawa hawezi kuwa amefanya hivi, usiingie kwenye vihoja vya kutaka kuvunja uhuru wangu wa privacy.

Hakuna aliyeingia kwenye uhuru wa faragha yako. Wewe umetoa madai yako hadharani na mimi nimekuomba utoe vyanzo vya hayo madai yako hadharani. Kama unaona mimi kukutaka umtaje huyo aliyekwambia ni kuvunja uhuru wa privacy yako basi hayo madai yako ungebaki nayo private. Ukiyaweka hapa hadharani utaombwa chanzo au vyanzo. Ukikataa utaitwa mzushi. Plain and simple.

Kawawa mwenyewe kakubali amechemsha mambo mengi na kuomba msamaha, wewe nani usiyetaka akosolewe?

Mimi sijataka asikosolewe. Akosolewe lakini kwa haki na si kizushi zushi.
 
I knew you would say that. So so lame. Mzushi tu.



You are not a journalist. Or are you?



Wana miradi yao ya kuwaingizia vipato kama kile kiwanja cha Kirumba pale Mwanza.



Kukulazimisha siwezi lakini kukuita mzushi naweza! Mzushi tu. Unamzushia mzee wa watu wakati yu marehemu. Ulikuwa wapi kuyasema yote haya wakati akiwa hai ili ajitetee mwenyewe?



New York Times umeliona ni gazeti linalo uphold the highest of standards za journalism? Jayson Blair..anyone?



Mimi siyo usalama wa taifa na hilo huwezi kulijua kwa uhakika kama ambavyo hatuwezi kujua kwa uhakika kuhusu hayo madai yako kama ni ya kweli au la? Na ukimtaja huyo "mzee" watu wa usalama wa taifa wataenda kumgongea kwa minajili ipi?



Hakuna aliyeingia kwenye uhuru wa faragha yako. Wewe umetoa madai yako hadharani na mimi nimekuomba utoe vyanzo vya hayo madai yako hadharani. Kama unaona mimi kukutaka umtaje huyo aliyekwambia ni kuvunja uhuru wa privacy yako basi hayo madai yako ungebaki nayo private. Ukiyaweka hapa hadharani utaombwa chanzo au vyanzo. Ukikataa utaitwa mzushi. Plain and simple.



Mimi sijataka asikosolewe. Akosolewe lakini kwa haki na si kizushi zushi.

Ukiniita mimi mzushi sawa,

Lakini unless unaleta ushahidi kwamba mimi mzushi, na wewe naweza kusema equally kwamba ni mzushi unayezusha kwamba mimi ni mzushi.

Unataka nikupe majina ili umgongee huyu mzee hodi?

The more you post the more you expose your juvenile gendarme tactics.

Kiwanja cha Kirumba ni moja ya miradi ya kifisadi ya CCM iliyosimamiwa na Kawawa, kiwanja kilijengwa kwa kuwachangisha wananchi wote, bila kujali uanachama, lakini ilipokuja system ya vyama vingi CCM haikukabidhi kiwanja kwa watu, ikakibania.Moja ya miradi ya kifisadi mingi aliyoisimamia Kawawa.

Unazidi kumu expose tu na uozo alioufanya.
 
Kufahamu kwangu kwa awali kabisa kulikuwa hivi; nilipokuwa darasa la pili nilimwona Simba wa vita akiwa juu ya kifaru cha majeshi ya Idd Amin Dada, kilichotekwa na majeshi ya Tanzania. Alifika mwenyewe mstari wa mbele. Nilipokuwa darasa la saba, nilisimama mbele yake kumsikiliza akiwahutubia wananchi wa mkoa wa Kagera kuhusu mapambano dhidi ya wahujumu na walanguzi ambayo yalikuwa yakiendelea nchini wakati huo. Kwa ufupi maisha yake, na matukio haya mawili yalinipa somo moja kuu; utayari wa kupambana na maadui wa nje na ndani ya nchi. Mungu ampumzishe kwa amani, amina.
 
I did not only let him rest in peace, I also wished for all beings to attain enlightenment.

Whether tunamuongelea negatively au positively hapa huyu mzee yupo katika the deepest of peace right now, ameshakufa.

Tatizo ni kwamba kuna tabia ya kuwapamba watu positively tu, na ukiongea mabaya yao unaonekana wa ajabu. Katika utamaduni huu tunapindisha historia na ukweli.

Tayari nilishaanza kuona historia inapindishwa na Kawawa anavikwa kofia ya mpiganaji dhidi ya ufisadi kutokana na vi statement viwili vitatu alivyovitoa basically on his deathbed.

Nilichotaka kuonyesha hapa ni kuwa kina Kawawa walifanya ufisadi long time, bila ya kuogopa upinzani wala the press, enzi za chama kushika hatamu na kujichotea tu.Kwa hiyo tusitake kumpamba positively tu, na mabaya yake tuyaseme pia.Labda hili litasaidia kufundisha mafisadi wa leo na wanaotaka kuwa mafisadi kwamba ukiwa fisadi tutakusema mpaka siku ya kufa.

I understand maana hata King of pop alisemwa ka mabaya yake na mazuri yake!....the thing mbona ufisadi wake hamkuuongolea enzi za uhai wake na mambo mnaanza kuya bumbulua sasa hivi eeh "Alikwina"?..tokea uha wake sijasikia mtu kusema A-B-C how come leo kashfa zinaanza?...Let him rest in peace jamani eeh at least once...
 
Ukiniita mimi mzushi sawa,

I'm glad that you accept that.

Lakini unless unaleta ushahidi kwamba mimi mzushi, na wewe naweza kusema equally kwamba ni mzushi unayezusha kwamba mimi ni mzushi.

Ushahidi ni maneno yako wewe mwenyewe. Zaidi ya hapo sijui unataka ushahidi gani tena.

Unataka nikupe majina ili umgongee huyu mzee hodi?

Wala...ni kuwekana sawa katika yale tuyasemayo na tuyaandikayo kuhusu wengine.

The more you post the more you expose your juvenile gendarme tactics.

Okay...you say so..

Kiwanja cha Kirumba ni moja ya miradi ya kifisadi ya CCM iliyosimamiwa na Kawawa, kiwanja kilijengwa kwa kuwachangisha wananchi wote, bila kujali uanachama, lakini ilipokuja system ya vyama vingi CCM haikukabidhi kiwanja kwa watu, ikakibania.Moja ya miradi ya kifisadi mingi aliyoisimamia Kawawa.

Hapa ninaweza kukuelewa maana umetoa maoni yako.

Unazidi kumu expose tu na uozo alioufanya.

Kila mtu ana uozo wake. Hata wewe una wa kwako. Mimi nina wa kwangu. Big deal
 
I understand maana hata King of pop alisemwa ka mabaya yake na mazuri yake!....the thing mbona ufisadi wake hamkuuongolea enzi za uhai wake na mambo mnaanza kuya bumbulua sasa hivi eeh "Alikwina"?..tokea uha wake sijasikia mtu kusema A-B-C how come leo kashfa zinaanza?...Let him rest in peace jamani eeh at least once...

Mimi mbona nishaliongelea hili swala hapa miezi kadha iliyopita akiwa hai bado.
 
I'm glad that you accept that.



Ushahidi ni maneno yako wewe mwenyewe. Zaidi ya hapo sijui unataka ushahidi gani tena.



Wala...ni kuwekana sawa katika yale tuyasemayo na tuyaandikayo kuhusu wengine.



Okay...you say so..



Hapa ninaweza kukuelewa maana umetoa maoni yako.



Kila mtu ana uozo wake. Hata wewe una wa kwako. Mimi nina wa kwangu. Big deal

Sasa kama unajua kila mtu ana uozo wake, hata mimi, wewe na yule tunao wetu, mbona unashangaa sana kana kwamba huyu Kawawa ni mungu mtu asiyeweza kufanya mabaya?
 
Bluray,
Let me beg to differ. Alichofanya Kawawa haukuwa ufisadi in the real sense of the word.
Kumbuka enzi za chama kushika hatamu kulikuwa na mstari mwembamba sana baina ya serikali na chama. Sidhani Kawawa alichukua mikopo hiyo kwa manufaa yake binafsi kama ilivyo na mafisadi wa sasa wakiwemo Rostum, Lowassa na Kikwete. Labda tumlaumu Kawawa kwa kutoweka misingi mizuri ya kukopa na kurudisha mikopo lakini it falls way too short ya ufisadi uliokithiri leo.
 
Ina Lilahi wainna Ilaihi Rajihunna.

Namkumbuka sana mzee wetu huyu. Allah amuongoze na kumghufiria madhambi yake ambayo mengi aliyafanya kutokana na uchache wa Ilmu yake.
 
Sasa kama unajua kila mtu ana uozo wake, hata mimi, wewe na yule tunao wetu, mbona unashangaa sana kana kwamba huyu Kawawa ni mungu mtu asiyeweza kufanya mabaya?

Mungu asiyeweza kufanya mabaya? Wewe si unasemaga hakuna mungu?

Eniwei, hilo la mungu si hoja. Siyo kwamba nashangaa. Inawezekana kweli Kawawa alifanya hayo yote unayodai uliambiwa na huyo "mzee". Nilichofanya mimi ni kuuliza huyo "mzee" ni nani? Wewe kwa upande mwingine hutaki kumtaja. Basi mimi nimeshahitimisha wewe ukoje (mzushi) na wewe unaendelea na msimamo wako wa kutomtaja. Heri ya mwaka mpya.
 
Ina Lilahi wainna Ilaihi Rajihunna.

Namkumbuka sana mzee wetu huyu. Allah amuongoze na kumghufiria madhambi yake ambayo mengi aliyafanya kutokana na uchache wa Ilmu yake.

Amin,

Hakika Babubaru umeleta maneno yaliyolingana kwa faraja na hikma.
 
Mungu asiyeweza kufanya mabaya? Wewe si unasemaga hakuna mungu?

Eniwei, hilo la mungu si hoja. Siyo kwamba nashangaa. Inawezekana kweli Kawawa alifanya hayo yote unayodai uliambiwa na huyo "mzee". Nilichofanya mimi ni kuuliza huyo "mzee" ni nani? Wewe kwa upande mwingine hutaki kumtaja. Basi mimi nimeshahitimisha wewe ukoje (mzushi) na wewe unaendelea na msimamo wako wa kutomtaja. Heri ya mwaka mpya.

Mtu asiyeamini mungu anaweza kumtaja mungu katika context ya kubeza idea nzima ya mungu.

Kumtaja mungu hakuna maana kwamba unaamini mungu.

Mtu akisema "umenichosha kama nimekimbia katika barabara isiyo mwisho" haina maana kwamba anaamini kwamba kuna barabara isiyo mwisho, ana portray a mental picture ya jinsi alivyochoka.

Isitoshe, mimi sijasema kwamba Kawawa ni "mungu-mtu".Ningesema hivyo ndipo ungekuwa na haki ya kunishangaa mtu nisiyeamini mungu kuamini katika "mungu-mtu"

Nimesema Kawawa si "mungu-mtu".Hakuna contradiction yoyote kwa mtu asiyeamini mungu kutoamini katika "mungu-mtu".To the contrary, kutoamini mungu kunaenda parallell na kutoamini "mungu-mtu".

Comprehension, comprehension, comprehension pleaseeeee.

Mzushi ni weye unayekimbilia kuita watu wazushi bila kuwa na data.Nenda kapitie records za bad debts za NIC uone halafu utajua.

Na heri zako za mwaka mpya sizihitaji wala kuzitaka, kwani ni supersistions tupu.
 
Wajua Tanzania ni ya ajabu sana, Nimekuja kugungua viongozi wengi wa awamu ya kwanza from 1960's and before that time hatuna historia zao sasa hivi muulize mtoto aliye zaliwa 1980's kama ana mfahamu vyema Marehemu Rashid Mfaume Kawawa ni wachache na pengine hawafika hata 30% ya lika la hao vijana wa 80's.

Leo nimerudi Home nka mkuta wife akaniambia nimemwona pia mzee wako akihojiwa kuhusu kawawa nkase oky, Ila akaniuliza Kawawa kumbe was really great Man in this Country nkamwambi yeaah ulikuwa hujui? Akanjibu ntajulia wakati historia za hao viongozi wetu zatupwa kapuni ikanistahajabisha sana.

Kuna haja ya kuweka vipindi maarumu vya histori ya nchi yetu hili hili lika linalokuja lijue tulikotoka na tumepitapita vipi mpaka hapa tulipo, Am sure kwa elimu ya sasa watotowetu wamekalia kujua tu Kiingereza basi utasikia yeah mwanagu anajua ku count kwa kiingereza anajua kuongea fluent English sawa hatukatai je anaijua japo hata historia ya kwenu anawajua babu na bibi zao vyema originality zenu i mean kooo zenu maana nchi yetu haina ukabila. Hawa watoto mnaowapeleka English Medium Schools hawajui kitu ni bora na wale wanao soma yebo yebo watakuambia hata historia kidogo.

Kuna haja ya kuweka vipindi maaarumu kwa ajili ya kujua historia ya nchi yetu TBC 1 mko wapi take that chance please MR. M.TODO
 
Wajua Tanzania ni ya ajabu sana, Nimekuja kugungua viongozi wengi wa awamu ya kwanza from 1960's and before that time hatuna historia zao sasa hivi muulize mtoto aliye zaliwa 1980's kama ana mfahamu vyema Marehemu Rashid Mfaume Kawawa ni wachache na pengine hawafika hata 30% ya lika la hao vijana wa 80's.

Leo nimerudi Home nka mkuta wife akaniambia nimemwona pia mzee wako akihojiwa kuhusu kawawa nkase oky, Ila akaniuliza Kawawa kumbe was really great Man in this Country nkamwambi yeaah ulikuwa hujui? Akanjibu ntajulia wakati historia za hao viongozi wetu zatupwa kapuni ikanistahajabisha sana.

Kuna haja ya kuweka vipindi maarumu vya histori ya nchi yetu hili hili lika linalokuja lijue tulikotoka na tumepitapita vipi mpaka hapa tulipo, Am sure kwa elimu ya sasa watotowetu wamekalia kujua tu Kiingereza basi utasikia yeah mwanagu anajua ku count kwa kiingereza anajua kuongea fluent English sawa hatukatai je anaijua japo hata historia ya kwenu anawajua babu na bibi zao vyema originality zenu i mean kooo zenu maana nchi yetu haina ukabila. Hawa watoto mnaowapeleka English Medium Schools hawajui kitu ni bora na wale wanao soma yebo yebo watakuambia hata historia kidogo.

Kuna haja ya kuweka vipindi maaarumu kwa ajili ya kujua historia ya nchi yetu TBC 1 mko wapi take that chance please MR. M.TODO

Jethro,
Anza na mzee wako. Interview him and keep a journal. That is how history is kept.
 
- Binafsi aliwahi kuwa jirani yangu nikiwa mdogo pale Ikulu, na pia ninaifahamu sana familia nzima ya marehemu, tumekuwa tukiingiliana sana kimaisha, kwa ujumla the Kawawas ni good people, isipokuwa tu waliharibu sana walipokubali kutumiwa sana na Mtandao katika kutafuta power in 2005, otherwise ni good people.

- Marehemu Kawawa, pia as a human being alikuwa ni good people, lakini kwenye uongozi kama kawaida alikuwa na mapungufu yake kama ya wengine, binafsi huwa ninajali sana mapungufu ya kiongozi wa juu kama yameilumiza taifa kwa njia moja au nyingine na how bad is the damage kwa the future of our nation na kwenye mazuri yao pia ninayaangalia kwa the same eye!

- Kama kiongozi Kawawa, aliweka msingi mzito sana wa uaminifu, kwani kuna wakati aliachiwa U-Waziri Mkuu wa Taifa letu na Mwalimu, alipokuwa akitafuta u-Rais, wanaoelewa vizuri wanasema kwamba Kawawa angetaka angeweza kumgeuzia kibao Mwalimu na kushika nchi mwenyewe, lakini Kawawa akakubali kumshikia tu Mwalimu mpaka alipopata u-Rais. Now as much as naive this sounds, lakini ni lazima kumpa heshima mzee wetu, maana hapo ndipo hasa amani yetu tuliyonayo mpaka leo ilipokuwa inaundwa as a nation. Hakuwa mpenda makuu, wala kujikweza kweza, I mean kiuongozi he was a very humble leader, kumbuka zile abuse nyingi Mwalimu alizokuwa akimrushia politically na hasa ya Operetion Maduka hakumjibu hata siku moja.

- Sio siri technically, hakuwa na uwezo mkubwa sana kuweza ku-deal na modern politics, mimi huwa ninamlinganisha sana na Walecha wa Poland, lakini he was a good organizer wa siasa za Union, yaani wafanyakazi, hakuwa muoga na alikuwa akijiamini sana, lakini mwishoni mwa uhai wake alifika mahali akakubali kutumiwa na Mtandao pamoja na kwamba wala hakuhitaji ku-compromise kwa sababu as a former Vice President na Prime Minister, alikuwa guaranteed kulipiwa kila kitu kimaisha na serikali mpaka mwisho wa maisha yake, ninaamini alifanya hivyo kwa kushawishiwa na his loved ones ambao walikuwa wanaangalia masilahi yao zaidi, na hili likaishia kumkosesha heshima kubwa sana as a king maker wa hili taifa, iwapo ange-stay independent!

- Otherwise, ninaungana na ndugu zangu wananchi wote wa Tanzania, kumuombea kwa Mungu huyu shujaa wa taifa, he gave it all as an imperfect creature, na the best of all hakuwa mwizi he never, ninasema never stole anything, huyu kama Adam Sapi hakuiba kabisaaa! adui wa taifa letu leo ni maviongozi majizi majizi kama Ndulu ambayo ni mengi sana.

- Ninawatumia salam zangu za rambi rambi all the Kawawas, kwako kiongozi Zaria na wenzako wote, Mungu awape nguvu na busara katika hiki kipindi kigumu sana kwenu, lakini tupo pamoja.

Respect.


Field Marshall Es!
 
Rais wa Nigeria Azikiwe alivyosikia Nyerere alimuachia Uwaziri Mkuu Kawawa ili aende kuimarisha chama, halafu akarudi na kuchukua madaraka ya nchi tena, alisema "Namtaka huyu kijana nimfanye awe mtoto wangu" kwani hakuamini kwamba mtu anaweza kuwa muaminifu (yeye aliona mjinga) kiasi hicho na kamwe kitu kama hicho kisingewezekana Nigeria.

Wengine wameona huu ni uaminifu wa hali ya juu, wengine wameona ni ujinga.At least Kawawa hakuwa kama Kikwete, mtu asiye uwezo lakini mwenye uchu wa madaraka.
 
FMES,
Umetaja kitu kimoja muhimu kuhusu Kawawa. Uaminifu katika siasa tangu enzi za kina Ceasar ni kitu adimu sana. Nyerere alimwamini Kawawa alipomwachia uwaziri mkuu kwa mwaka mzima mpaka Tanganyika ilipokuwa tayari kuwa jamhuri. For this quality only Kawawa stands heads above the rest. Na siyo hiyo tu. His simplicity was unequaled.

Ingawa hakuwa na elimu kubwa Kawawa alikuwa na busara ya kuzaliwa. He was a born leader.
 
- Binafsi aliwahi kuwa jirani yangu nikiwa mdogo pale Ikulu, na pia ninaifahamu sana familia nzima ya marehemu, tumekuwa tukiingiliana sana kimaisha, kwa ujumla the Kawawas ni good people, isipokuwa tu waliharibu sana walipokubali kutumiwa sana na Mtandao katika kutafuta power in 2005, otherwise ni good people.

- Marehemu Kawawa, pia as a human being alikuwa ni good people, lakini kwenye uongozi kama kawaida alikuwa na mapungufu yake kama ya wengine, binafsi huwa ninajali sana mapungufu ya kiongozi wa juu kama yameilumiza taifa kwa njia moja au nyingine na how bad is the damage kwa the future of our nation na kwenye mazuri yao pia ninayaangalia kwa the same eye!

- Kama kiongozi Kawawa, aliweka msingi mzito sana wa uaminifu, kwani kuna wakati aliachiwa U-Waziri Mkuu wa Taifa letu na Mwalimu, alipokuwa akitafuta u-Rais, wanaoelewa vizuri wanasema kwamba Kawawa angetaka angeweza kumgeuzia kibao Mwalimu na kushika nchi mwenyewe, lakini Kawawa akakubali kumshikia tu Mwalimu mpaka alipopata u-Rais. Now as much as naive this sounds, lakini ni lazima kumpa heshima mzee wetu, maana hapo ndipo hasa amani yetu tuliyonayo mpaka leo ilipokuwa inaundwa as a nation. Hakuwa mpenda makuu, wala kujikweza kweza, I mean kiuongozi he was a very humble leader, kumbuka zile abuse nyingi Mwalimu alizokuwa akimrushia politically na hasa ya Operetion Maduka hakumjibu hata siku moja.

- Sio siri technically, hakuwa na uwezo mkubwa sana kuweza ku-deal na modern politics, mimi huwa ninamlinganisha sana na Walecha wa Poland, lakini he was a good organizer wa siasa za Union, yaani wafanyakazi, hakuwa muoga na alikuwa akijiamini sana, lakini mwishoni mwa uhai wake alifika mahali akakubali kutumiwa na Mtandao pamoja na kwamba wala hakuhitaji ku-compromise kwa sababu as a former Vice President na Prime Minister, alikuwa guaranteed kulipiwa kila kitu kimaisha na serikali mpaka mwisho wa maisha yake, ninaamini alifanya hivyo kwa kushawishiwa na his loved ones ambao walikuwa wanaangalia masilahi yao zaidi, na hili likaishia kumkosesha heshima kubwa sana as a king maker wa hili taifa, iwapo ange-stay independent!

- Otherwise, ninaungana na ndugu zangu wananchi wote wa Tanzania, kumuombea kwa Mungu huyu shujaa wa taifa, he gave it all as an imperfect creature, na the best of all hakuwa mwizi he never, ninasema never stole anything, huyu kama Adam Sapi hakuiba kabisaaa! adui wa taifa letu leo ni maviongozi majizi majizi kama Ndulu ambayo ni mengi sana.

- Ninawatumia salam zangu za rambi rambi all the Kawawas, kwako kiongozi Zaria na wenzako wote, Mungu awape nguvu na busara katika hiki kipindi kigumu sana kwenu, lakini tupo pamoja.

Respect.

Field Marshall Es!

well spoken ...mwaminifu..sana ,mwadilifu..na mwenye nidhamu...as you said waliokuja kuharibu kidogo au kadiri mtu atakavyoona historia yake ni kweli ni MTANDAO ...walimteka nyara mwaka 2005..hasa wakijuwa baada ya mwalimu ..ambaye angalau ccm 2005 iliwasikiliza ni kawawa, mwinyi na kingunge ambaye nao waliwashika!!..jambo hili liliwasononesha sana wenzake aliokuwa nao toka zama kina ...salim.,malecela,msuya,warioba ,gamaetc.....viongozi wengi wa zamani waliacha kabisa hata kumtembelea pale madale wakiamini aliwasaliti kwa kujiunga mtandao walitaka abakie neutral kama mzee..wao

kawawa aliendelea kumuunga mkono kikwete hata pale viongozi wote wa zamani ambao saa wamekuwa wapinzani wakubwa wa kikwete yeye amebaki kumtetea..nadhani kiikwete ana sababu ya ziada ya kusononeka!!!
 
Comprehension, comprehension, comprehension pleaseeeee.

Lol...

Mzushi ni weye unayekimbilia kuita watu wazushi bila kuwa na data.

Maneno yako mwenyewe ndio data nilizotumia kukuita mzushi. nitafuta kauli yangu endapo utamtaja huyo "mzee" aliyekuambia aliyokwambia. Other than that wewe ni Kazushi Sakuraba.

Nenda kapitie records za bad debts za NIC uone halafu utajua.

Wewe ulizipitia au uliambiwa na "mzee"?

Na heri zako za mwaka mpya sizihitaji wala kuzitaka, kwani ni supersistions tupu.

Superstitions kivipi? Na kama huzitaki basi nazichukua. Sikukulazimisha uzipokee.
 
Back
Top Bottom