Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 35,667
- 70,299
😀 😀 😀 😀 😀kama kitoto kichangaaa vile tuu yani kisivyo na baya wala hila😅😅
😀 😀 😀 😀 😀kama kitoto kichangaaa vile tuu yani kisivyo na baya wala hila😅😅
Aliamua tu ugomvi uishe, kwa hiyo ulilewa siku uliyomtokea, siku uliyoenda kutoa mahari hadi siku mliyofunga ndoa ulilewa?Kuna siku nilikuwa kikombe halafu wife akaanza kuniletea mdomo kuhusu gambe ebanae nikamfungukia kwa hasira za maji vile vile "kwanza shukuru Mungu siku nakutongoza nilikuwa nimekunywa" unadhani ningekuwa timamu ningekutokea?!
basi ugomvi ukaishia palepale.
Nimeambiwa nisikuaminiNateseka💔
Ahaa kumbee…Nadhani Ata mwenye ule Uzi alikwisha kula ban😂😂
Na ninazidi kumaanisha😊Ahaa kumbee…
Hivi ulichokiandika siku ile ulimaanisha?
Hizo ni akili chafu ngoja tuzikemeeHata mimi sielewi ni akili ndizo zilizoamua kumsikiliza
Kho kho kho..Na ninazidi kumaanisha😊