Tunakumbushana tu

Tunakumbushana tu

Huyu ana mkono wa mtoto ...sijui itakuwa imejirudi??😔😔😔
😅😅😅
Screenshot_20230623-173657.png
 
Kabisa....imagine ukiwa na mimba jamii inajua moja kwa zote unafanyaga tabia mbaya🙈🙊🙊🙊🙊
🤣🤣🤣🤣Tabia mbaya kusex?
 
Na mara zote kwanini huwa tunasubirishana hadi tukosane?

Natamani niweke sanduku la maoni mtaani ili nikusanye kasoro, kero na mapungufu yangu.
 
"unafikiri Mimi kuna kitu GANI ninachobembelezea kwako"!

"Unataka kunitumia wewe na ndugu ZAKO"

"Mimi najijua ni mwanamke mpambanaji sana na nina uwezo wa kupambana na maisha"!!

Alisikia mke wa jamaa akibwabwaja KWA hasira kali!!

Mambo ni 🔥!!
 
Na mara zote kwanini huwa tunasubirishana hadi tukosane?

Natamani niweke sanduku la maoni mtaani ili nikusanye kasoro, kero na mapungufu yangu.
🤣🤣🤣🤣🤣 Sanduku tena🙆
 
"unafikiri Mimi kuna kitu GANI ninachobembelezea kwako"!

"Unataka kunitumia wewe na ndugu ZAKO"

"Mimi najijua ni mwanamke mpambanaji sana na nina uwezo wa kupambana na maisha"!!

Alisikia mke wa jamaa akibwabwaja KWA hasira kali!!

Mambo ni 🔥!!
Hizi ndoa hizi ni nyoko🤣🤣🤣🤭🙌
 
Usisahau maneno makali aliyokutamkia mtu akiwa na hasira kumbuka yana ukweli ndani yake....haijalishi ataomba msamaha au hatoomba msamaha wewe kuwa makini nae......mtu mwenye hasira anaporopoka ni sawa na mlevi wanajua wanachokitamka.

NB:Tumkumbuke Muumba wetu siku za ujana wetu.Madereva gari za New force kuweni makini barabarani bado tunataka kuishi.

DONT MAKE DECISION WHEN YOU ARE ANGRY,
DONT MAKE PROMISES WHEN YOU ARE HAPPY.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom