Tunakumbushana tu

Tunakumbushana tu

Mm naamini wakati wa matan ndo mtu anapitishia ukwel ndan yake .kumbuka utani n maneno ya mizaha ila yenye ukwel ndani yake......kuwa makin na matani ya watu wako wa karbu....huo ndo ukwel..🤨
Ni kweli mkuu
 
Basi Kuna introvert mmoja tunakaa nae jirani jamaa Kwa kifupi ni zuzu mnyonge sana na always anajikuta Yuko serious kinyama
Kuna pisi alikua anaielewa kinoma kila siku anaomba viberiti vya kuchomoa udi wa mbu😂😂 kumbe anakosa sounds za kuomba adi namba baada ya kuona akiteseka ikabidi nimoe contact ya yule manzi ndo akamaliza mchezo mpaka Leo ninavoongea manzi imetoka kumfulia hapa huku yeye akiwa kazini.
NB MANZI INAFANYIA MAABARA HAPA HC😂😂

NAKALA IKUFIKIE Mzee wa kupambania
Mshamba mshamba_hachekwi
To yeye
🤣🤣🤣🤣🤭 Unataka kusema nini mkuu?
 
Basi Kuna introvert mmoja tunakaa nae jirani jamaa Kwa kifupi ni zuzu mnyonge sana na always anajikuta Yuko serious kinyama
Kuna pisi alikua anaielewa kinoma kila siku anaomba viberiti vya kuchomoa udi wa mbu😂😂 kumbe anakosa sounds za kuomba adi namba baada ya kuona akiteseka ikabidi nimoe contact ya yule manzi ndo akamaliza mchezo mpaka Leo ninavoongea manzi imetoka kumfulia hapa huku yeye akiwa kazini.
NB MANZI INAFANYIA MAABARA HAPA HC😂😂

NAKALA IKUFIKIE Mzee wa kupambania
Mshamba mshamba_hachekwi
To yeye
ulimsaidia mwana, una sehemu yako mbinguni😂
 
Ni kweli kabisa, mtu akisema ww sikupendi kaa nae mbali maana kinachofuata
 
Mimi Nina dada YANGU SIO MLEVI WALA NINI !!!!ILA ALITAMKA KWA HASIRA KWAMBA SIKUPENDI KWAIYO HAPO MTU MWENYE HASIRA IN NORMAL STATE NA MTU ALIYEPIGA KAMNYWESO WANAONGEAGA UKWELI
 
Kuna siku nilikuwa kikombe halafu wife akaanza kuniletea mdomo kuhusu gambe ebanae nikamfungukia kwa hasira za maji vile vile "kwanza shukuru Mungu siku nakutongoza nilikuwa nimekunywa" unadhani ningekuwa timamu ningekutokea?!
basi ugomvi ukaishia palepale.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom