Tunakumbushana tu

Tunakumbushana tu

Kuna siku nilikuwa kikombe halafu wife akaanza kuniletea mdomo kuhusu gambe ebanae nikamfungukia kwa hasira za maji vile vile "kwanza shukuru Mungu siku nakutongoza nilikuwa nimekunywa" unadhani ningekuwa timamu ningekutokea?!
basi ugomvi ukaishia palepale.
🤣🤣🤣 Inaumiza sana aisee
 
Lekaji neyo bhabehi......hakunaga neno linanalotoka kinywan mwa mtu lisilo na maana....na hakunaga msamaha unaofuta kila kitu😩😩
 
Lekaji neyo bhabehi......hakunaga neno linanalotoka kinywan mwa mtu lisilo na maana....na hakunaga msamaha unaofuta kila kitu😩😩
Wewe umenielewa vizuri sana...hakuna neno litokalo lisilo na maana
 
Basi Kuna introvert mmoja tunakaa nae jirani jamaa Kwa kifupi ni zuzu mnyonge sana na always anajikuta Yuko serious kinyama
Kuna pisi alikua anaielewa kinoma kila siku anaomba viberiti vya kuchomoa udi wa mbu😂😂 kumbe anakosa sounds za kuomba adi namba baada ya kuona akiteseka ikabidi nimoe contact ya yule manzi ndo akamaliza mchezo mpaka Leo ninavoongea manzi imetoka kumfulia hapa huku yeye akiwa kazini.
NB MANZI INAFANYIA MAABARA HAPA HC😂😂

NAKALA IKUFIKIE Mzee wa kupambania
Mshamba mshamba_hachekwi
To yeye
Hahahaa mnaona sasa mnavyotusimanga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom