Tunakumbushana tu

Tunakumbushana tu

Na mgeni wangu yupo safarini, baada ya kusoma ujumbe wako nikamuuliza umepanda gari gani kasema New force hapa najiskia kufa kufa!!

Ngoja nimuombee tu maana nkimuunga bando linawahi insta na tik tok hajui hata kuangaliia taarifa zngn angalia saiv limepanda New force🤔
 
Na mgeni wangu yupo safarini, baada ya kusoma ujumbe wako nikamuuliza umepanda gari gani kasema New force hapa najiskia kufa kufa!!

Ngoja nimuombee tu maana nkimuunga bando linawahi insta na tik tok hajui hata kuangaliia taarifa zngn angalia saiv limepanda New force🤔
😀 😀 😀hatari sanaa
 
Na mgeni wangu yupo safarini, baada ya kusoma ujumbe wako nikamuuliza umepanda gari gani kasema New force hapa najiskia kufa kufa!!

Ngoja nimuombee tu maana nkimuunga bando linawahi insta na tik tok hajui hata kuangaliia taarifa zngn angalia saiv limepanda New force🤔
🤣🤣🤣🤭
 
Mlevi na mwenye hasira watilie maanani saana, maneno yao huwa na asilimia kubwa ya ukweli.
 
Usisahau maneno makali aliyokutamkia mtu akiwa na hasira kumbuka yana ukweli ndani yake....haijalishi ataomba msamaha au hatoomba msamaha wewe kuwa makini nae......mtu mwenye hasira anaporopoka ni sawa na mlevi wanajua wanachokitamka.

NB:Tumkumbuke Muumba wetu siku za ujana wetu.Madereva gari za New force kuweni makini barabarani bado tunataka kuishi.🙏🙏🙏
😊🪓
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom