Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
FayaaaaaHizo ni akili chafu ngoja tuzikemee
🚮🚮🚮
Faya faya faya🔥
FayaaaaaHizo ni akili chafu ngoja tuzikemee
🚮🚮🚮
Faya faya faya🔥
Sasa inabidi nisogee pm tuzungumze Kwa uzuri😊 kabla wasaga kunguni hawajaja apaFayaaaaa
Khu khu khu😊Kho kho kho..
🤭 Aisee 🙌watu wapo vizuriii 😅😅
uwezo wakooo tyuuiView attachment 2666530
😀 😀 😀hatari sanaaNa mgeni wangu yupo safarini, baada ya kusoma ujumbe wako nikamuuliza umepanda gari gani kasema New force hapa najiskia kufa kufa!!
Ngoja nimuombee tu maana nkimuunga bando linawahi insta na tik tok hajui hata kuangaliia taarifa zngn angalia saiv limepanda New force🤔
😂😂💔🤣🤣🤣 Tulia dawa ikukolee 🤭
Kaka hapa sina raha tena ngoja namuuliza uliskia nn kuhus new force anasema hamna 🤔 sema atafika salama Mungu amsaidie😀 😀 😀hatari sanaa
🤣🤣🤣🤭Na mgeni wangu yupo safarini, baada ya kusoma ujumbe wako nikamuuliza umepanda gari gani kasema New force hapa najiskia kufa kufa!!
Ngoja nimuombee tu maana nkimuunga bando linawahi insta na tik tok hajui hata kuangaliia taarifa zngn angalia saiv limepanda New force🤔
Dada hadi mapigo ya moyo yamebadilika kbs🤣🤣🤣🤭
😊🪓Usisahau maneno makali aliyokutamkia mtu akiwa na hasira kumbuka yana ukweli ndani yake....haijalishi ataomba msamaha au hatoomba msamaha wewe kuwa makini nae......mtu mwenye hasira anaporopoka ni sawa na mlevi wanajua wanachokitamka.
NB:Tumkumbuke Muumba wetu siku za ujana wetu.Madereva gari za New force kuweni makini barabarani bado tunataka kuishi.🙏🙏🙏