National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,198
Uchungu = Na kupunguza siku za kuishiMuhimu na sisi nikutokulimbikiza machungu moyoni.
Uchungu = Na kupunguza siku za kuishiMuhimu na sisi nikutokulimbikiza machungu moyoni.
labda mtufundishe hayo maneno makali 😊😊..🤣🤣🤣🤣Aiseee,sijui tuwasaidieje? 🤣🤣🤣 Jaman🙌
Mm naamini wakati wa matan ndo mtu anapitishia ukwel ndan yake .kumbuka utani n maneno ya mizaha ila yenye ukwel ndani yake......kuwa makin na matani ya watu wako wa karbu....huo ndo ukwel..🤨Usisahau maneno makali aliyokutamkia mtu akiwa na hasira kumbuka yana ukweli ndani yake....haijalishi ataomba msamaha au hatoomba msamaha wewe kuwa makini nae......mtu mwenye hasira anaporopoka ni sawa na mlevi wanajua wanachokitamka.
NB:Tumkumbuke Muumba wetu siku za ujana wetu.Madereva gari za New force kuweni makini barabarani bado tunataka kuishi.🙏🙏🙏
Kabisa.Uchungu = Na kupunguza siku za kuishi
unauziwaje malaika mzuri kama wewe.. inakuwa lipepo tu kutoka kuzimu.. limeamua kuingia kwa shape ya mtu ili likutibuwe tuNi probability
Mara nyingine anataka akuudhi tuu...
Wengine uvumilivu ndio life style yetu mpenzi 😊Hapana,msibadilike....kuweni wavumilivu
Upooo? Nimekumiss wewe mwanamamaHujambo?
Kangi?😂🤣🤣🤣🤣Ulinkorofi kalumbu
Lakini andiko linasema tuwapo duniani tufanikiwe...Hakuna wa kusalia duniani hata ivo
Kama mm nikiwa na hasira nitatafuta jambo lolote nikukere tuu na halina ukweli..Basi hana upendo Nami aisee,unatakaje kumuudhi tu mtu?
Sawa mkuuLakini andiko linasema tuwapo duniani tufanikiwe...
Beloved, I wish above all things that thou mayest prosper and be in health, even as thy soul prospereth.
kana una makasiriko na chuki utajukuta duniani unaishi kama upo kifungoni
hatujui makasirko hatujui kufoka hatuna bayaa yanii 😊😊Yeah, ndiyo kitu chema na sahihi