JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
Maridhiano yakipatikana hawa wakimbizi itabidi waondoke huko na familia zao na hawataki kurudi nyumbani. Pili hivi vyama vinakuwa full funded na mabeberu na asilimia kubwa ya fedha inaishia mifukoni mwa viongozi waandamizi. Kwa kifupi hatuna Upinzani Tanzania bali genge la wahuni
..hata serikali ya ccm inapokea misaada toka kwa mabeberu kwa hiyo hakuna ubaya kwa wapinzani nao kupewa misaada.
..kama vyombo vya dola ikiwemo jwtz wanapokea misaada toka Marekani, utawalaumu vipi vyama vya upinzani kwa kupokea misaada?
..pia wapinzani walioko nje ya nchi ni wachache sana kulinganisha na walioko hapa nchini. Maridhiano ni kwa ajili ya Watz wote ili siasa zetu ziwe za haki kwa vyama vyote.