Tunajua Mengi tunanyamaza, Lissu kudharau Mamlaka ya Ikulu kumefanya kufifisha juhudi zilizopangwa na Rais Samia kuleta maridhiano

Maridhiano yakipatikana hawa wakimbizi itabidi waondoke huko na familia zao na hawataki kurudi nyumbani. Pili hivi vyama vinakuwa full funded na mabeberu na asilimia kubwa ya fedha inaishia mifukoni mwa viongozi waandamizi. Kwa kifupi hatuna Upinzani Tanzania bali genge la wahuni

..hata serikali ya ccm inapokea misaada toka kwa mabeberu kwa hiyo hakuna ubaya kwa wapinzani nao kupewa misaada.

..kama vyombo vya dola ikiwemo jwtz wanapokea misaada toka Marekani, utawalaumu vipi vyama vya upinzani kwa kupokea misaada?

..pia wapinzani walioko nje ya nchi ni wachache sana kulinganisha na walioko hapa nchini. Maridhiano ni kwa ajili ya Watz wote ili siasa zetu ziwe za haki kwa vyama vyote.
 
..hata serikali ya ccm inapokea misaada toka kwa mabeberu kwa hiyo hakuna ubaya kwa wapinzani nao kupewa misaada.

..kama vyombo vya dola ikiwemo jwtz wanapokea misaada toka Marekani, utawalaumu vipi vyama vya upinzani kwa kupokea misaada?

..pia wapinzani walioko nje ya nchi ni wachache sana kulinganisha na walioko hapa nchini. Maridhiano ni kwa ajili ya Watz wote ili siasa zetu ziwe za haki kwa vyama vyote.
Maridhiano yatafanywa na vyama vya Upinzani wa uhakika sio genge la wahuni wa CHADEMA
 
Maridhiano yatafanywa na vyama vya Upinzani wa uhakika sio genge la wahuni wa CHADEMA

..nakubaliana na maoni yako 100/100.

..Tz tunahitaji uwanja huru na wenye usawa wa kwa vyama vyote kufanya shughuli zao.
 
Kwenye red ni maneno yako niliyoyanukuu ili ulinganishe utulivu wa akili za Lissu na hao wanne nililokudokeza hapo juu:

View attachment 1973968

Nina wengine kibindoni bado wakiwamo wanaowataka majaji kwenye hukumu zao kuzingatia uelekeo wa serikali.

Au hayo kwenye red siyo ya kwako?
Kuna ubaya kumuombea mtu utulivu wa akili?
 
Back
Top Bottom