Tunajua Mengi tunanyamaza, Lissu kudharau Mamlaka ya Ikulu kumefanya kufifisha juhudi zilizopangwa na Rais Samia kuleta maridhiano

Mkuu JokaKuu , kwa mujibu wa sheria iliyounda Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC, ni Tume Huru, ila sio shirikishi.

P

..ripoti mbalimbali zimeeleza kwamba tume yetu ya uchaguzi sio huru.
 
Chadema walishaikimbia nchi tuwe wakweli Mbowe na Kina Lema wameanza mipango ya kurudi Tanzania baada ya dikteta kuondoka

Mbowe alishaikimbia nchi?

Taarifa zako unaziokota kwa waliopewa jukumu la kumsimika huyu kuwa rais 2025?
 
CCM ni wanyama ila kuna wakati hata upinzani kuna mambo unashangaa imekuaje anasema huyu ....Lissu anaongea mno mno na kibaya zaidi anajua kila kitu.
Athari za risasi 16 siyo mchezo, huku ukiwa umedhulumiwa haki zako za ubunge na matibabu umenyimwa. Tuendelee kumuombea kwa Mungu apate utulivu wa akili ili achague mambo ya kuongea.

Likewise vitu vilivyo wazi kama stahili zake za ubunge na matibabu apewe tu bila masharti
 
Athari za risasi 16 siyo mchezo, huku ukiwa umedhulumiwa haki zako za ubunge na matibabu umenyimwa. Tuendelee kumuombea kwa Mungu apate utulivu wa akili ili achague mambo ya kuongea.

Likewise vitu vilivyo wazi kama stahili zake za ubunge na matibabu apewe tu bila masharti

Kwa hiyo wenye utulivu wa akili ni hawa:

1. Waliotuaminisha kuwa jiwe yuko busy na mafaili?
2. Wanaojenga ofisi kwa 19bn/- pesa za Hangaya?
3. Wakiifuta njia ambayo Yesu na mkewe walitembea?

Au

4. Hawa waliovaa viatu vinavyowapwaya vya mtu viliyekuwa vinampwaya?
 
Ilikuwa Tarehe 13/4/2021 Lissu alikutana na Joseph na kuomba Connection ya Kuongea na Katibu mkuu apate kuwasiliana na Rais kwakuwa kulikuwa na nia ya Samia kuongea na Vyama vya Upinzani, na bado niwe wazi Leo ntafunguka bila kuegemea upande, Samia naye aliona si vema kukutana na vyama vya Upinzani vya Akina Cheyo bali aliilenga Chadema kwakuwa alitambua kabisa uchaguzi wa mwaka 2020 kulifanyika maigizo ya hali ya hatari sana kuyatangaza matokeo,

Pamoja na kwamba Chadema walikuwa wamesha surrender kwa Magufuli ambaye katangulia mbele ya haki sasa , ndani ya Serikali na CCM Kuna watu bado wana mawazo chanya waliona itakuwa si vema kuongoza nchi bila maridhiano,

Mzee Warioba, akiwa na wenzake wanne walikutana na wazee wa CCM na kuomba kwamba hawafurahii kuona watanzania wenzao wako nje ya nchi Kama wakimbizi hivyo Kesi zote zifutwe za uhaini na uchochezi warejee nchini mara moja! Maana orodha inaonesha wanaopaswa kufungwa ni 22 na waliwekewa mitego Mpakani na viwanja vyote vya ndege!!

Samia alisikiliza ushauri wa wazee na kukubali juu ya Suala la kukutana na Upinzani, bwana LISSU alivyo jua hayo kutoka Kwa Rwehumbiza Acting reprentative akawa ame omba sasa kuongea na Samia Kwanza yeye Kama yeye, Samia akakubali kabisa, kilichofuata Lissu akatumiwa mwakilishi kukutana naye akamkwepa (Rutabanzibwa) .

Akapigiwa Simu na Rais mwenyewe akasema anipigie Kwa kufuata Utaratibu Mungeniandaa Mapema juu ya kuongea naye sikurupuki kuongea naye! Wakamuuliza lini akasema, akapigiwa tena hakupokea Simu.

Huku akiendelea na Mazungumzo na wenzake kuwa Samia Hana Uwezo wa Kuongoza nchi, She is not in capacity of being a President of Tz na Wanaojadiliana naye wanavujisha Siri na Sauti Pia,

Ndipo Sasa hawa Kina SIRRO, na Mchengerwa wakamwambia Samia kuwa hawa wanakuchezea kwakuwa wewe ni mwanamke! Kwa Magufuli wasingefanya haya!! Hivyo basi acha kesi ziendelee kawaida kama ambavyo zimeshakuwa drafted awali, waende wenyewe Kujitetea wakikutwa na hatia wawajibike, wakikutwa hawana hatia basi waendelee na shughuli zao!!

Ndo yakaendelea ya Mbowe kuwekwa ndani,

Kwanza Samia angeongea nao ingeleta picha Tofauti sana!!

Wito wangu , Tunatakiwa Kupata Taasisi zilizo imara ambazo hazitegemei Rais anaamua nini bali sheria na KATIBA inasema nini, Kwakuwa scenario nzima inaonesha kuwa Kesi zimekuwa drafted kwa tamko la Magufuli Kwa sababu kadhaa bila ushahidi, alafu wanaotaka zifutwe bado wanaweka matumaini zifutwe na Samia bila kufuata Sheria inasema nini!!!!

KATIBA MPYA NDO DAWA!!

Amadhihirisha kweli mwanamke.
 
Lissu bwanaa.....
Huyu Tundu Lissu alichojaliwa ni kuwa na uwezo wa kuona ya mbele sana. Tatizo lake anataka kuyaishi mambo ya miaka ijayo ndani ya muda wa sasa.
Ukijaribu kusikikiliza kauli zake na kuzifuatilia huwa hazipotei huishi na kujidhihirisha.

Imani yangu inaniambia kuwa huyu bwana Tundu Lissu ipo siku Taifa litamuona kuwa ni shujaa mkubwa sana.
 
CCM ni wanyama ila kuna wakati hata upinzani kuna mambo unashangaa imekuaje anasema huyu ....Lissu anaongea mno mno na kibaya zaidi anajua kila kitu.
Hivi kunabinadamu mwenye akili timamu bado anafuatilia mambo ya lisu??
 
..ripoti mbalimbali zimeeleza kwamba tume yetu ya uchaguzi sio huru.
Wenig wa waandishi wa ripoti hizo hawajui sheria, hivyo wanachanganya kutokuwa huru na kutokuwa inclusive.
Tume ya Uchaguzi ni Tume huru, tatizo za chaguzi zetu sio Tume huru ya Uchaguzi, ni sheria mbovu ja Uchaguzi.
P
 
Shida inaaminika ya kwamba ili uwe mpinzani unatakiwa kuwa mvurugaji mipango Kama Lissu.

Alipoingia mama Samia ilikuwa ngumu Sana kurudi katika siasa za kuaminiana na mama Samia, na kesi kubwa ni kwamba. Lissu hajawahi kumuamini mtawala kwasababu za athari za kiharakati alizopitia.
 
Ilikuwa Tarehe 13/4/2021 Lissu alikutana na Joseph na kuomba Connection ya Kuongea na Katibu mkuu apate kuwasiliana na Rais kwakuwa kulikuwa na nia ya Samia kuongea na Vyama vya Upinzani, na bado niwe wazi Leo ntafunguka bila kuegemea upande, Samia naye aliona si vema kukutana na vyama vya Upinzani vya Akina Cheyo bali aliilenga Chadema kwakuwa alitambua kabisa uchaguzi wa mwaka 2020 kulifanyika maigizo ya hali ya hatari sana kuyatangaza matokeo,

Pamoja na kwamba Chadema walikuwa wamesha surrender kwa Magufuli ambaye katangulia mbele ya haki sasa , ndani ya Serikali na CCM Kuna watu bado wana mawazo chanya waliona itakuwa si vema kuongoza nchi bila maridhiano,

Mzee Warioba, akiwa na wenzake wanne walikutana na wazee wa CCM na kuomba kwamba hawafurahii kuona watanzania wenzao wako nje ya nchi Kama wakimbizi hivyo Kesi zote zifutwe za uhaini na uchochezi warejee nchini mara moja! Maana orodha inaonesha wanaopaswa kufungwa ni 22 na waliwekewa mitego Mpakani na viwanja vyote vya ndege!!

Samia alisikiliza ushauri wa wazee na kukubali juu ya Suala la kukutana na Upinzani, bwana LISSU alivyo jua hayo kutoka Kwa Rwehumbiza Acting reprentative akawa ame omba sasa kuongea na Samia Kwanza yeye Kama yeye, Samia akakubali kabisa, kilichofuata Lissu akatumiwa mwakilishi kukutana naye akamkwepa (Rutabanzibwa) .

Akapigiwa Simu na Rais mwenyewe akasema anipigie Kwa kufuata Utaratibu Mungeniandaa Mapema juu ya kuongea naye sikurupuki kuongea naye! Wakamuuliza lini akasema, akapigiwa tena hakupokea Simu.

Huku akiendelea na Mazungumzo na wenzake kuwa Samia Hana Uwezo wa Kuongoza nchi, She is not in capacity of being a President of Tz na Wanaojadiliana naye wanavujisha Siri na Sauti Pia,

Ndipo Sasa hawa Kina SIRRO, na Mchengerwa wakamwambia Samia kuwa hawa wanakuchezea kwakuwa wewe ni mwanamke! Kwa Magufuli wasingefanya haya!! Hivyo basi acha kesi ziendelee kawaida kama ambavyo zimeshakuwa drafted awali, waende wenyewe Kujitetea wakikutwa na hatia wawajibike, wakikutwa hawana hatia basi waendelee na shughuli zao!!

Ndo yakaendelea ya Mbowe kuwekwa ndani,

Kwanza Samia angeongea nao ingeleta picha Tofauti sana!!

Wito wangu , Tunatakiwa Kupata Taasisi zilizo imara ambazo hazitegemei Rais anaamua nini bali sheria na KATIBA inasema nini, Kwakuwa scenario nzima inaonesha kuwa Kesi zimekuwa drafted kwa tamko la Magufuli Kwa sababu kadhaa bila ushahidi, alafu wanaotaka zifutwe bado wanaweka matumaini zifutwe na Samia bila kufuata Sheria inasema nini!!!!

KATIBA MPYA NDO DAWA!!

Britanicca
Si kila kitu kikiandikwa kinafanya kiwe UKWELI. Hizo ni hearsay tu za vijiweni.
 
Kwa hiyo wenye utulivu wa akili ni hawa:

1. Waliotuaminisha kuwa jiwe yuko busy na mafaili?
2. Wanaojenga ofisi kwa 19bn/- pesa za Hangaya?
3. Wakiifuta njia ambayo Yesu na mkewe walitembea?

Au

4. Hawa waliovaa viatu vinavyowapwaya vya mtu viliyekuwa vinampwaya?
Umeninukuu vibaya, nina sympathize sana na Tundu Lissu na nina advocate kuwa alipwe stahiki zake
 
Umeandika nini hiki wewe...?

Nimesoma "between the lines" yote uliyoandika, naweza kusema bila shaka yoyote kuwa, THIS IS TRULY A FICTION STORY 100% because it hasn't any tangible proof at all...

Umetumia "hearsay" kutengeneza story hii. Kwa sababu kwa nature na mtu wa calibration ya Tundu Lissu, hawezi kumkwepa huyu mwanamke kuzungumza naye....!

Ambacho amekisema mara zote na kwa uwazi kabisa ni;

1. Yeye kupitia kwa yule bwana katibu binafsi wa Rais Bwana Mkomya (kama sijakosea) kupokea simu ya TL kuomba amuunganishe na Rais ili azungumze naye na kupewa ahadi kuwa angepigiwa...

2. TL kushauriana na kukubaliana na M/Kiti Mh. Freeman Mbowe kuwa aandike barua rasmi kwenda kwa Rais ili wakutane nae kuzungumza maswala ya nchi. Ilifanyika, barua ikapokelewa na Rais kukubali na kuliweka kwa uwazi hili ktk hotuba take siku anahutubia bunge Dodoma kama Rais, kuwa atakutana na vyama vya upinzani kuzungumza nao..

3. Surprisingly, from no where kukawa na bonge la U - TURN kwa Rais juu ya jambo hili. Na siku chache baadae wakapigia TL simu lakini kwa maelezo yake mwenyewe alikuwa kwenye mkutano muhimu, aliyepiga simu akaelewa na makubaliano yakawa atapigiwa wakati mwingine...

4. Haya mengine uyasemayo wewe unaweza kuya - justify kwa namna gani...? Mwenzako TL anasema haya wazi kwa sauti kubwa kila mtu akisikia wakiwemo wahusika (Ikulu). Kama anaongopa si watoke wakanushe na waweke ukweli wao..? Mbona unawasemea wao? Wewe ni Kungai? IGP Simon Sirro? Au Gerson Msigwa msemaji wa serikali?
Umenena vyema mkuu, hii si mara ya kwanza hao chama cha majambazi ku U-turn, Kikwete huku akibariki na kusaini rasimu za Warioba ili tupate katiba mpya daaaa!!!akageuka dakika za mwisho kwenye kulihutubia bunge,kinyago ukichonge mwenyewe kisha ukiweke sebuleni halafu unakikimbia.
 
Ndugu Tundu Lissu ni "bwakubwaku".....

"Too much know" asiye na ulimi wa nidhamu wala heshima.....

Si kila MTANZANIA anaihitaji katiba mpya.....
Tafiti ya TWAWEZA kila Watanzania watatu wawili wanahitaji katiba mpya..wewe utafiti wako umetoa wapi...
 
Umeninukuu vibaya, nina sympathize sana na Tundu Lissu na nina advocate kuwa alipwe stahiki zake

Kwenye red ni maneno yako niliyoyanukuu ili ulinganishe utulivu wa akili za Lissu na hao wanne nililokudokeza hapo juu:

IMG_20211014_132612_938.jpg


Nina wengine kibindoni bado wakiwamo wanaowataka majaji kwenye hukumu zao kuzingatia uelekeo wa serikali.

Au hayo kwenye red siyo ya kwako?
 
Wenig wa waandishi wa ripoti hizo hawajui sheria, hivyo wanachanganya kutokuwa huru na kutokuwa inclusive.
Tume ya Uchaguzi ni Tume huru, tatizo za chaguzi zetu sio Tume huru ya Uchaguzi, ni sheria mbovu ja Uchaguzi.
P

..Waliotoa maoni hayo ni MAJAJI kwa hiyo huwezi kudai kwamba hawajui sheria.

..Hata ripoti ya Tume ya uchaguzi wa 2020 ina mmapendekezo na maoni ya kutaka kuipa tume uhuru ktk utendaji wake.
 
..Waliotoa maoni hayo ni MAJAJI kwa hiyo huwezi kudai kwamba hawajui sheria.

..Hata ripoti ya Tume ya uchaguzi wa 2020 ina mmapendekezo na maoni ya kutaka kuipa tume uhuru ktk utendaji wake.
Mara kibao tuu majaji huonekana wazi hawajui sheria na wanatoa maamuzi ya ajabu ajabu. Naendelea kusisitiza, kwa mujibu wa sheria iliyounda NEC, NEC ni tume huru tatizo ni sio shirikishi, na sheria yetu ya Uchaguzi ndio sheria mbovu.
P
 
Ilikuwa Tarehe 13/4/2021 Lissu alikutana na Joseph na kuomba Connection ya Kuongea na Katibu mkuu apate kuwasiliana na Rais kwakuwa kulikuwa na nia ya Samia kuongea na Vyama vya Upinzani, na bado niwe wazi Leo ntafunguka bila kuegemea upande, Samia naye aliona si vema kukutana na vyama vya Upinzani vya Akina Cheyo bali aliilenga Chadema kwakuwa alitambua kabisa uchaguzi wa mwaka 2020 kulifanyika maigizo ya hali ya hatari sana kuyatangaza matokeo,

Pamoja na kwamba Chadema walikuwa wamesha surrender kwa Magufuli ambaye katangulia mbele ya haki sasa , ndani ya Serikali na CCM Kuna watu bado wana mawazo chanya waliona itakuwa si vema kuongoza nchi bila maridhiano,

Mzee Warioba, akiwa na wenzake wanne walikutana na wazee wa CCM na kuomba kwamba hawafurahii kuona watanzania wenzao wako nje ya nchi Kama wakimbizi hivyo Kesi zote zifutwe za uhaini na uchochezi warejee nchini mara moja! Maana orodha inaonesha wanaopaswa kufungwa ni 22 na waliwekewa mitego Mpakani na viwanja vyote vya ndege!!

Samia alisikiliza ushauri wa wazee na kukubali juu ya Suala la kukutana na Upinzani, bwana LISSU alivyo jua hayo kutoka Kwa Rwehumbiza Acting reprentative akawa ame omba sasa kuongea na Samia Kwanza yeye Kama yeye, Samia akakubali kabisa, kilichofuata Lissu akatumiwa mwakilishi kukutana naye akamkwepa (Rutabanzibwa) .

Akapigiwa Simu na Rais mwenyewe akasema anipigie Kwa kufuata Utaratibu Mungeniandaa Mapema juu ya kuongea naye sikurupuki kuongea naye! Wakamuuliza lini akasema, akapigiwa tena hakupokea Simu.

Huku akiendelea na Mazungumzo na wenzake kuwa Samia Hana Uwezo wa Kuongoza nchi, She is not in capacity of being a President of Tz na Wanaojadiliana naye wanavujisha Siri na Sauti Pia,

Ndipo Sasa hawa Kina SIRRO, na Mchengerwa wakamwambia Samia kuwa hawa wanakuchezea kwakuwa wewe ni mwanamke! Kwa Magufuli wasingefanya haya!! Hivyo basi acha kesi ziendelee kawaida kama ambavyo zimeshakuwa drafted awali, waende wenyewe Kujitetea wakikutwa na hatia wawajibike, wakikutwa hawana hatia basi waendelee na shughuli zao!!

Ndo yakaendelea ya Mbowe kuwekwa ndani,

Kwanza Samia angeongea nao ingeleta picha Tofauti sana!!

Wito wangu , Tunatakiwa Kupata Taasisi zilizo imara ambazo hazitegemei Rais anaamua nini bali sheria na KATIBA inasema nini, Kwakuwa scenario nzima inaonesha kuwa Kesi zimekuwa drafted kwa tamko la Magufuli Kwa sababu kadhaa bila ushahidi, alafu wanaotaka zifutwe bado wanaweka matumaini zifutwe na Samia bila kufuata Sheria inasema nini!!!!

KATIBA MPYA NDO DAWA!!

Britanicca
Maridhiano yakipatikana hawa wakimbizi itabidi waondoke huko na familia zao na hawataki kurudi nyumbani. Pili hivi vyama vinakuwa full funded na mabeberu na asilimia kubwa ya fedha inaishia mifukoni mwa viongozi waandamizi. Kwa kifupi hatuna Upinzani Tanzania bali genge la wahuni
 
Mara kibao tuu majaji huonekana wazi hawajui sheria na wanatoa maamuzi ya ajabu ajabu. Naendelea kusisitiza, kwa mujibu wa sheria iliyounda NEC, NEC ni tume huru tatizo ni sio shirikishi, na sheria yetu ya Uchaguzi ndio sheria mbovu.
P

..maoni yako kuhusu uhuru wa tume sio sahihi. Yanapingana na maoni ya wanasheria wenye rekodi zilizotukuka na uzoefu ktk masuala ya uchaguzi na sheria zake.

..pia huwezi kuwa na sheria mbovu ya uchaguzi halafu ukaishia na tume huru ya uchaguzi.
 
Back
Top Bottom