Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,997
- Thread starter
- #101
FMES, aliyoyasema is a classic.. nipo hapa I'm trying to transcribe ili yachapwe nyumbani, ila unaweza kuyasikia tayari yako kwenye KLH News..
si unajua tena...nawashukuru kwa kutusikiliza...
Salim Ahmed Salim na uzoefu woote aliokuwa nao mlitegemea atetemeke?!
Bado sijafahamu...
Kwa hiyo...?it cost money!!!
Mzee Ngoyai si ndio huyo anayetaka kumuna MKJJ? patakuwa patamu hapo kwa vile ataanza na kasungura kake!!Mtafute Ngoyai, Karamagi au Butiku..
sorry kumuna = kumuonaMzee Ngoyai si ndio huyo anayetaka kumuna MKJJ? patakuwa patamu hapo kwa vile ataanza na kasungura kake!!
Kwa hiyo...?