Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,254
No...
inabidi apige mdundiko....
ha ha ha ! Naomba lyrics za verse angalau moja ya mdundiko basi..
SteveD.
No...
inabidi apige mdundiko....
ha ha ha ! Naomba lyrics za verse angalau moja ya mdundiko basi..
SteveD.
ha ha ha ha....
nitakutumia kwenye PM si unajua tena mambo ya hatimiliki na haters.......
Kwa ukweli, sina tatizo lolote na bolingo za Mkjj si unajua tena niliamua kuwa .....
nawatakieni wkend njema wote bana na happy EID EL FITR pili !!
nawatakieni wkend njema wote bana na happy EID EL FITR pili !!
Na wewe mkuu.Unakamata mvinyo lakini mkuu?
Kada, Nawe pia nakutakia umalizie Eid yako katika neema tele zilizoshiba furaha!
SteveD.
Karibuni nyote, miye naenda kufungua kibuyu cha togwa yangu, nimeizindika toka 2001! Sasa iko 'premium', yaaaaaaaaani.. Mate yanabubujika ....karibuni nyote!!
SteveD.
Naona mkaribishana wenyewe.. au sisi wengine ndiyo wakaidi ambao hufaidi mpaka siku ya idi?