G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 12,280
- 38,855
Habari wakuu.
Tunaelekea Kondo maeneo ya kati ya Tegeta Kibaoni na Bahari beach.
Lengo letu ni kuhakikisha tunaujua ukweli juu ya taarifa tuliyopata ambayo hata hivyo tunaamini kuwa ni taarifa ya kweli kimazingira. Tunaenda kuthibitisha na kuweka wazi kila kitu.
Tumedhamiria kukabiliana vilivyo na vizuizi viatakavyojitokeza kutuzuia na kwa dhati tumejipanga kukabiliana
Tukutane Kondo ground na taarifa zitatoka alfajiri ya kesho!!
Tunaelekea Kondo maeneo ya kati ya Tegeta Kibaoni na Bahari beach.
Lengo letu ni kuhakikisha tunaujua ukweli juu ya taarifa tuliyopata ambayo hata hivyo tunaamini kuwa ni taarifa ya kweli kimazingira. Tunaenda kuthibitisha na kuweka wazi kila kitu.
Tumedhamiria kukabiliana vilivyo na vizuizi viatakavyojitokeza kutuzuia na kwa dhati tumejipanga kukabiliana
Tukutane Kondo ground na taarifa zitatoka alfajiri ya kesho!!