Tunaelekea kuwa taifa la kike la mfano duniani

Tunaelekea kuwa taifa la kike la mfano duniani

Naam sasa ndio wakati wa kuidhihirishia dunia kuwa Wanawake wanaweza au hawawezi wakipewa.
Mihimili miwili mikuu kati ya mitatu kuongozwa na wanawake, huku wizara nyeti kabisa takribani 8 ikiwemo ULINZI kuwa chini ya wanawake.

Jee tutaweza kuidhihirishia dunia kuwa Tanzania ni TAIFA LA KIKE la mfano bora? Au tunaenda kufeli na kubaki kuwa taifa la mapambio, unafiki na vijembe kama vya vibarazani watu wakichambua Mchele na kukuna nazi?

Tunawapa six month on probation
Vijembe kama taarabu, tumepotea njia
 
Mfumo dume umeshindwa kutuletea maendeleo, tujaribu mfumo mwingine.
 
Naam sasa ndio wakati wa kuidhihirishia dunia kuwa Wanawake wanaweza au hawawezi wakipewa.
Mihimili miwili mikuu kati ya mitatu kuongozwa na wanawake, huku wizara nyeti kabisa takribani 8 ikiwemo ULINZI kuwa chini ya wanawake.

Jee tutaweza kuidhihirishia dunia kuwa Tanzania ni TAIFA LA KIKE la mfano bora? Au tunaenda kufeli na kubaki kuwa taifa la mapambio, unafiki na vijembe kama vya vibarazani watu wakichambua Mchele na kukuna nazi?

Tunawapa six month on probation
Acha ubaguzi wa kijinsia
 
Maswala ya usawa wa kijinsia ni sera ya mabeberu inayopigiwa chapuo kinafiki na watawala, kwa lengo la kujikomba kwa mabeberu ili waendelee kutembeza bakuli.......haina tija yoyote zaidi ya kudidimiza nchi kwani wanawake kiasili hawana huo uwezo wa kuongoza, ni mwendo wa kudemka na mipasho tu, baaasi..............​
 
na bado mkeo anaongoza familia. wewe kazi yako ni kutoa hela
 
Naam sasa ndio wakati wa kuidhihirishia dunia kuwa Wanawake wanaweza au hawawezi wakipewa.
Mihimili miwili mikuu kati ya mitatu kuongozwa na wanawake, huku wizara nyeti kabisa takribani 8 ikiwemo ULINZI kuwa chini ya wanawake.

Jee tutaweza kuidhihirishia dunia kuwa Tanzania ni TAIFA LA KIKE la mfano bora? Au tunaenda kufeli na kubaki kuwa taifa la mapambio, unafiki na vijembe kama vya vibarazani watu wakichambua Mchele na kukuna nazi?

Tunawapa six month on probation
Ni hatari zaidi wanawake kushika mihimili yote kwa katiba mbovu kama hii, nchi inawze, kutumbukia katika majanga kuliko yale ya awamu ya 5.
 
Huyu anayesema "kazi ya mhimili wa Bunge sio kubishana na serikali, maana serikali ni kubwa kuliko bunge"?
Kama unamaanisha huyo basi you need your head examined!
TULIA: Tutaikosoa serikali kwa unyenyekevu, kwa sababu Rais ni mkuu wa nchi, Amiri jeshi mkuu, Tutaikosoa kwa unyenyekevu!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Naam sasa ndio wakati wa kuidhihirishia dunia kuwa Wanawake wanaweza au hawawezi wakipewa.
Mihimili miwili mikuu kati ya mitatu kuongozwa na wanawake, huku wizara nyeti kabisa takribani 8 ikiwemo ULINZI kuwa chini ya wanawake.

Jee tutaweza kuidhihirishia dunia kuwa Tanzania ni TAIFA LA KIKE la mfano bora? Au tunaenda kufeli na kubaki kuwa taifa la mapambio, unafiki na vijembe kama vya vibarazani watu wakichambua Mchele na kukuna nazi?

Tunawapa six month on probation
Hakika tunaenda kudhihirisha kwamba inawezekana. Sioni shida kuwa na taifa linaloongozwa na wanawake hasa linapokuja suala la professionalism. Wenye fani zao wana uwezo mkubwa sina hofu na hilo. Shida inaweza kuwa kwenye siasa ambapo sura au urafiki na mambo mengine yanaweza kuwa factor ya mtu kuchaguliwa. Hiyo hata kwa wanaume ina count. Wataweza tuwape support
 
Back
Top Bottom