Tunaelekea kuwa taifa la kike la mfano duniani

Tunaelekea kuwa taifa la kike la mfano duniani

Hii nchi inaongozwa kimama ' kula mwanangu kulingana na urefu wa kamba yako' mbona huchukui nyama mtoto wangu, Yaani KIMAMAA
Naam sasa ndio wakati wa kuidhihirishia dunia kuwa Wanawake wanaweza au hawawezi wakipewa.
Mihimili miwili mikuu kati ya mitatu kuongozwa na wanawake, huku wizara nyeti kabisa takribani 8 ikiwemo ULINZI kuwa chini ya wanawake.

Jee tutaweza kuidhihirishia dunia kuwa Tanzania ni TAIFA LA KIKE la mfano bora? Au tunaenda kufeli na kubaki kuwa taifa la mapambio, unafiki na vijembe kama vya vibarazani watu wakichambua Mchele na kukuna nazi?

Tunawapa six month on probation
Mw
 
Impact iko wapi? Huoni saizi wanaongoza taasisi mbalimbali za kiutendaji hadi kisiasa?

Huoni wanajiamini.sasa kutafuta na kumiliki mali nk?
Ni kweli, taasisi kama zipi ambazo zamani hazikuongozwa nao? Kila siku ni kauli hiyo hiyo tu, labda useme sasa hivi kutoa Rais na baadhi ya wakuu wa wizara.

Ila bado haikupi ruhusa ya kusema eti tunaburuzwa, unasahau Urais ni taasisi? Angalia wapo wanawake wangapi?

Haijalishi hali gani, wanaume ni viongozi na tumepewa mamlaka kimaandiko(kama unaamini Mungu), tumepewa ruhusa ya kutoa amri na kumtawala mwanamke kwa MASLAHI ya familia, mpaka ngazi ya taifa.

Haki sawa si jambo la kushabikia shabikia hovyo hovyo, jua unajimaliza mwenyewe na wanao wa kiume. Take care nigga!
 
Wanaume sasa tumegeuziwa kibao,tumekuwa wapika vyapati jikoni
Hizi discussion siyo nzuri...Tunajenga nchi moja ya wanaume na wanawake bila kujali nani yupo...Kila raia atazamwe kuwa na haki sawa na mwenzake
 
Ni kweli, taasisi kama zipi ambazo zamani hazikuongozwa nao? Kila siku ni kauli hiyo hiyo tu, labda useme sasa hivi kutoa Rais na baadhi ya wakuu wa wizara.

Ila bado haikupi ruhusa ya kusema eti tunaburuzwa, unasahau Urais ni taasisi? Angalia wapo wanawake wangapi?

Haijalishi hali gani, wanaume ni viongozi na tumepewa mamlaka kimaandiko(kama unaamini Mungu), tumepewa ruhusa ya kutoa amri na kumtawala mwanamke kwa MASLAHI ya familia, mpaka ngazi ya taifa.

Haki sawa si jambo la kushabikia shabikia hovyo hovyo, jua unajimaliza mwenyewe na wanao wa kiume. Take care nigga!
Mbona Norway nchi imeongozwa na wanawake kwa muda mrefu na ni nchi bora duniani?
Mwanaume hapunguzwi uanamume wake kwakuwa mwanamke anamwongoza....Debora kwenye bible aliongoza jeshi la Israel na likashinda...tuache uwoga tujiamini tu basi
 
Kwani lilivokua la kiume kwa miaka 60 tangu uhuru wananchi tumepata faida gani? Achataifa liongozwe na yeyote mradi kila mwananchi anakula jasho lake,hakuna anekula uume au uke wa mtu hapa
 
Naam sasa ndio wakati wa kuidhihirishia dunia kuwa Wanawake wanaweza au hawawezi wakipewa.
Mihimili miwili mikuu kati ya mitatu kuongozwa na wanawake, huku wizara nyeti kabisa takribani 8 ikiwemo ULINZI kuwa chini ya wanawake.

Jee tutaweza kuidhihirishia dunia kuwa Tanzania ni TAIFA LA KIKE la mfano bora? Au tunaenda kufeli na kubaki kuwa taifa la mapambio, unafiki na vijembe kama vya vibarazani watu wakichambua Mchele na kukuna nazi?

Tunawapa six month on probation
Waacha kina mama wafanye kazi kumbuka wanasema wakiwezeshwa wanaweza. Pls usifanye njama wakabeba mimba wote na ofisi zikafungwa.
 
Naam sasa ndio wakati wa kuidhihirishia dunia kuwa Wanawake wanaweza au hawawezi wakipewa.
Mihimili miwili mikuu kati ya mitatu kuongozwa na wanawake, huku wizara nyeti kabisa takribani 8 ikiwemo ULINZI kuwa chini ya wanawake.

Jee tutaweza kuidhihirishia dunia kuwa Tanzania ni TAIFA LA KIKE la mfano bora? Au tunaenda kufeli na kubaki kuwa taifa la mapambio, unafiki na vijembe kama vya vibarazani watu wakichambua Mchele na kukuna nazi?

Tunawapa six month on probation
TAIFA LA KIKE LA MFANO!DAH,NIMEIPENDA HII,WANAUME MPO?KWA HILI,SIJIVUNII KUWA MTANZANIA.HIVI HATA MAUMBILE HAYATUAMBII KWAMBA MWANAMKE HAWEZI KUMTALA MWANAMME AU KUMUONGOZA MWANAUME?WHAT HAS BECOME OF US.MUNGU MWENYEWE ALIONA MWANAMKE HAWEZI KUONGOZA HATA FAMILIA,SEMBUSE NCHI.TUMEPOTOKA KWELI KWELI.YAANI THE SENSE OF RIGHT AND WRONG IS NO LONGER THERE.SHETANI AMEPOFUSHA KABISA FIKRA ZETU,VERY SAD.YAANI WENZENU WANA AGENDA ZA SIRI NINYI MNAKENUA TU.SHETANI HAJAMALIZA KILE ALICHONFANYIA MWANADAMU KATIKA BUSTANI YA EDEN THROUGH EVE,BADO ANAENDELEZA MKAKATI WAKE,NA SISI BILA KUJUA TUNAKENUA TU.HOVYO KABISA.
 
Kwani lilivokua la kiume kwa miaka 60 tangu uhuru wananchi tumepata faida gani? Achataifa liongozwe na yeyote mradi kila mwananchi anakula jasho lake,hakuna anekula uume au uke wa mtu hapa
Hayo maneno ya mwisho sidhani kama yameongeza thamani ya mchango wako...Mengine tupo pamoja kabisa...
 
Nilisema

 
Naam sasa ndio wakati wa kuidhihirishia dunia kuwa Wanawake wanaweza au hawawezi wakipewa.
Mihimili miwili mikuu kati ya mitatu kuongozwa na wanawake, huku wizara nyeti kabisa takribani 8 ikiwemo ULINZI kuwa chini ya wanawake.

Jee tutaweza kuidhihirishia dunia kuwa Tanzania ni TAIFA LA KIKE la mfano bora? Au tunaenda kufeli na kubaki kuwa taifa la mapambio, unafiki na vijembe kama vya vibarazani watu wakichambua Mchele na kukuna nazi?

Tunawapa six month on probation
Haihitaji kusubiri ili kujua mwanamke yuko Duniani kuongoza mwili wake tu haya mengine tamaa za wanadamu tu
 
Kama ni taifa lq kike basi wanawake wawe wanatembea uchi
 
Mbona Norway nchi imeongozwa na wanawake kwa muda mrefu na ni nchi bora duniani?
Mwanaume hapunguzwi uanamume wake kwakuwa mwanamke anamwongoza....Debora kwenye bible aliongoza jeshi la Israel na likashinda...tuache uwoga tujiamini tu basi
Right!
 
Muda wa kusoma utopolo newspaper mpaka mwisho nautoa wapi.
Kumbe una-comment bila kusoma, sio?

Sio Facebook au Instagram hapa, mnakuandikiana mistari miwili mitatu ya umbea... VERY STUPID!!

Mkuu TUJITEGEMEE, seen your post! I'm kinda occupied right now but will get back to you later!!
 
FB_IMG_1642923152303.jpg
 
Siyo ubaguzi. Purpose ya wanawake ni kuondoa ushoga,siyo kwamba wao wawe chanzo cha ushoga.
Sasa hapa tunaona nini? Kama mbele moni mambo.
Tuseme nini? Watu wanataka kulinda hela zao chafu,utastukia umewekwa kwenye kiroba umetupwa baharini.
Umeona yule jamaa alivyoandika jana. Anasema kama huamini kuna mashoga nenda kamuulize Aziz Abdul,sijui nani yule amemuita. Kwa hiyo anakupa references.
Inapofika hapo kwamba mashoga unawatazama with equanimity,hiyo sasa ni kasheshe.
Awamu ya Pili aliwagombeza mashoga. Sasa unataka kujifanya mjanja kuliko Mwinyi,unachekacheka
na mashoga.
 
Siyo ubaguzi. Purpose ya wanawake ni kuondoa ushoga,siyo kwamba wao wawe chanzo cha ushoga.
Sasa hapa tunaona nini? Kama mbele moni mambo.
Tuseme nini? Watu wanataka kulinda hela zao chafu,utastukia umewekwa kwenye kiroba umetupwa baharini.
Umeona yule jamaa alivyoandika jana. Anasema kama huamini kuna mashoga nenda kamuulize Aziz Abdul,sijui nani yule amemuita. Kwa hiyo anakupa references.
Inapofika hapo kwamba mashoga unawatazama with equanimity,hiyo sasa ni kasheshe.
Awamu ya Pili aliwagombeza mashoga. Sasa unataka kujifanya mjanja kuliko Mwinyi,unachekacheka
na mashoga.
 
Back
Top Bottom