Tunaelekea kuwa taifa la kike la mfano duniani

Tunaelekea kuwa taifa la kike la mfano duniani

Chakaza

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
41,009
Reaction score
74,643
Naam sasa ndio wakati wa kuidhihirishia dunia kuwa Wanawake wanaweza au hawawezi wakipewa.
Mihimili miwili mikuu kati ya mitatu kuongozwa na wanawake, huku wizara nyeti kabisa takribani 8 ikiwemo ULINZI kuwa chini ya wanawake.

Jee tutaweza kuidhihirishia dunia kuwa Tanzania ni TAIFA LA KIKE la mfano bora? Au tunaenda kufeli na kubaki kuwa taifa la mapambio, unafiki na vijembe kama vya vibarazani watu wakichambua Mchele na kukuna nazi?

Tunawapa six month on probation
 
chakaza nilidhani wewe ni progressive, kuwa unaikosoa CCM kwa hoja walivyoshindwa na sio ubaguzi za kuita wanawake wachambua mchele, wakuna nazi, wambea
Chadema mlisimamisha wanawake wengi kuliko CCM kwenye majimbo uchaguzi wa 2020, sasa kama ni wachambua mchele au mlikuwa mnageuza chama chenu kuwa cha kike basi mlipotea sana
 
Naam sasa ndio wakati wa kuidhihirishia dunia kuwa Wanawake wanaweza au hawawezi wakipewa.
Mihimili miwili mikuu kati ya mitatu kuongozwa na wanawake, huku wizara nyeti kabisa takribani 8 ikiwemo ULINZI kuwa chini ya wanawake.
Jee tutaweza kuidhihirishia dunia kuwa Tanzania ni TAIFA LA KIKE la mfano bora? Au tunaenda kufeli na kubaki kuwa taifa la mapambio, unafiki na vijembe kama vya vibarazani watu wakichambua Mchele na kukuna nazi?
Tunawapa six month on probation
Una wivu wa kike
 
Naam sasa ndio wakati wa kuidhihirishia dunia kuwa Wanawake wanaweza au hawawezi wakipewa.
Mihimili miwili mikuu kati ya mitatu kuongozwa na wanawake, huku wizara nyeti kabisa takribani 8 ikiwemo ULINZI kuwa chini ya wanawake.
Jee tutaweza kuidhihirishia dunia kuwa Tanzania ni TAIFA LA KIKE la mfano bora? Au tunaenda kufeli na kubaki kuwa taifa la mapambio, unafiki na vijembe kama vya vibarazani watu wakichambua Mchele na kukuna nazi?
Tunawapa six month on probation
Bado Ule MHIMILI ungine utampata MWANAMKE
 
chakaza nilidhani wewe ni progressive, kuwa unaikosoa CCM kwa hoja walivyoshindwa na sio ubaguzi za kuita wanawake wachambua mchele, wakuna nazi, wambea
Chadema mlisimamisha wanawake wengi kuliko CCM kwenye majimbo uchaguzi wa 2020, sasa kama ni wachambua mchele au mlikuwa mnageuza chama chenu kuwa cha kike basi mlipotea sana
Nafikiri ni ngumu kunielewa. Unazijua products za UWT?
Ukishazifahamu products za UWT zinakuwaje ndio utakapoona hofu yangu iko wapi.
Please usipanic fuatilia na wewe hofu hiyo itakuingia
 
Naam sasa ndio wakati wa kuidhihirishia dunia kuwa Wanawake wanaweza au hawawezi wakipewa.
Mihimili miwili mikuu kati ya mitatu kuongozwa na wanawake, huku wizara nyeti kabisa takribani 8 ikiwemo ULINZI kuwa chini ya wanawake.
Jee tutaweza kuidhihirishia dunia kuwa Tanzania ni TAIFA LA KIKE la mfano bora? Au tunaenda kufeli na kubaki kuwa taifa la mapambio, unafiki na vijembe kama vya vibarazani watu wakichambua Mchele na kukuna nazi?
Tunawapa six month on probation
Kweli Tz taifa la kike
 
Mi wala sina tatizo...

Tena akiweza, hata safu mzima ikiwa wao tu, bado sina tatizo! Midume "tumeongoza" taifa for 60 years but there's nothing new!

Huenda hii kitu ikawa ndo kujitafuta kwenyewe and finally, kugundua kwamba kumbe tatizo la msingi ni viongozi wanaume, na wala sio CCM kwa sababu, MItanzania linapokuja suala la wizi, yote ni mijizi...

Unakuta kijana mdogo tu lakini akiwekwa mahali penye neema , na lenyewe linaanza wizi utadhani tumelaaniwa vile!
 
Hahaha Taifa la wachambaji hahaba
giphy.gif
 
Naam sasa ndio wakati wa kuidhihirishia dunia kuwa Wanawake wanaweza au hawawezi wakipewa.
Mihimili miwili mikuu kati ya mitatu kuongozwa na wanawake, huku wizara nyeti kabisa takribani 8 ikiwemo ULINZI kuwa chini ya wanawake.

Jee tutaweza kuidhihirishia dunia kuwa Tanzania ni TAIFA LA KIKE la mfano bora? Au tunaenda kufeli na kubaki kuwa taifa la mapambio, unafiki na vijembe kama vya vibarazani watu wakichambua Mchele na kukuna nazi?

Tunawapa six month on probation
Mbaguzi katika ubora wako
 
Back
Top Bottom