Tunaelekea kuwa taifa la kike la mfano duniani

Tunaelekea kuwa taifa la kike la mfano duniani

Kwani aliongea uongo?.
Hee! Kumbe nawe akili kama zake au ndio mwenyewe?
Unashindwa kujua kuwa Bunge ndio chombo kikuu cha maamuzi?
Ni wajinga tuu wasio jua hilo ndio maana wanaweza kupeleka wawakilishi kama Msukuma au Kibajaji. Hawajui nguvu ya bunge wakidhani ni kupiga makofi tuu
 
DGs
Naam sasa ndio wakati wa kuidhihirishia dunia kuwa Wanawake wanaweza au hawawezi wakipewa.
Mihimili miwili mikuu kati ya mitatu kuongozwa na wanawake, huku wizara nyeti kabisa takribani 8 ikiwemo ULINZI kuwa chini ya wanawake.

Jee tutaweza kuidhihirishia dunia kuwa Tanzania ni TAIFA LA KIKE la mfano bora? Au tunaenda kufeli na kubaki kuwa taifa la mapambio, unafiki na vijembe kama vya vibarazani watu wakichambua Mchele na kukuna nazi?

Tunawapa six month on probation
DGs wa Uhamiaji,DG wa Takwimu,DG wa Hali ya hewa hawa wote ni wanawake ambao hawajawahi kutu-let down.sijawahi kusikia skendo za kijingajinga huko kwenye hizo taasis.wanawake hasa wasomi ni principled sana

Namshauri raisi aangalie pia mwanamke mwingine anayefaa ili amuweke pale bandarini au TRA.
 
Soon jaji mkuu atakuwa mwanaume.
 
DGs

DGs wa Uhamiaji,DG wa Takwimu,DG wa Hali ya hewa hawa wote ni wanawake ambao hawajawahi kutu-let down.sijawahi kusikia skendo za kijingajinga huko kwenye hizo taasis.wanawake hasa wasomi ni principled sana

Namshauri raisi aangalie pia mwanamke mwingine anayefaa ili amuweke pale bandarini au TRA.
Tofautisha nafasi za kiutendaji kitaaluma na hizi za kisiasa.
We are talking about those political positions, ambazo mara zote ndizo zinazosimamia mwelekeo wa nchi.
Sina shida na hizo nafasi za kitaaluma maana huko wanawake wako vyema, lakini huku kwenye PRODUCTS ZA UWT hapana na hapana.
 
Naam sasa ndio wakati wa kuidhihirishia dunia kuwa Wanawake wanaweza au hawawezi wakipewa.
Mihimili miwili mikuu kati ya mitatu kuongozwa na wanawake, huku wizara nyeti kabisa takribani 8 ikiwemo ULINZI kuwa chini ya wanawake.

Jee tutaweza kuidhihirishia dunia kuwa Tanzania ni TAIFA LA KIKE la mfano bora? Au tunaenda kufeli na kubaki kuwa taifa la mapambio, unafiki na vijembe kama vya vibarazani watu wakichambua Mchele na kukuna nazi?

Tunawapa six month on probation
FB_IMG_1642751419555.jpg
 
Naam sasa ndio wakati wa kuidhihirishia dunia kuwa Wanawake wanaweza au hawawezi wakipewa.
Mihimili miwili mikuu kati ya mitatu kuongozwa na wanawake, huku wizara nyeti kabisa takribani 8 ikiwemo ULINZI kuwa chini ya wanawake.

Jee tutaweza kuidhihirishia dunia kuwa Tanzania ni TAIFA LA KIKE la mfano bora? Au tunaenda kufeli na kubaki kuwa taifa la mapambio, unafiki na vijembe kama vya vibarazani watu wakichambua Mchele na kukuna nazi?

Tunawapa six month on probation
Taifa la kike, wowowoooo😀
 
Hee! Kumbe nawe akili kama zake au ndio mwenyewe?
Unashindwa kujua kuwa Bunge ndio chombo kikuu cha maamuzi?
Ni wajinga tuu wasio jua hilo ndio maana wanaweza kupeleka wawakilishi kama Msukuma au Kibajaji. Hawajui nguvu ya bunge wakidhani ni kupiga makofi tuu
Ndugu unajitoa tu akili,ujui nguvu ya Bunge inatokana na chama chenye wabunge wengi Bungeni?
 
chakaza nilidhani wewe ni progressive, kuwa unaikosoa CCM kwa hoja walivyoshindwa na sio ubaguzi za kuita wanawake wachambua mchele, wakuna nazi, wambea
Chadema mlisimamisha wanawake wengi kuliko CCM kwenye majimbo uchaguzi wa 2020, sasa kama ni wachambua mchele au mlikuwa mnageuza chama chenu kuwa cha kike basi mlipotea sana
Hao ni bavicha wasio na akili kabisa kabisa!

Ukitaka kujua hilo angalia mtu kama kigogo ndio alikuwa roli modo wao
 
chakaza nilidhani wewe ni progressive, kuwa unaikosoa CCM kwa hoja walivyoshindwa na sio ubaguzi za kuita wanawake wachambua mchele, wakuna nazi, wambea
Chadema mlisimamisha wanawake wengi kuliko CCM kwenye majimbo uchaguzi wa 2020, sasa kama ni wachambua mchele au mlikuwa mnageuza chama chenu kuwa cha kike basi mlipotea sana
Basi tukuite wewe ndiye mchambua mchele na mkuna nazi maana kukuna nazi kwenu ni kawaida sana.
 
Mi wala sina tatizo...

Tena akiweza, hata safu mzima ikiwa wao tu, bado sina tatizo! Midume "tumeongoza" taifa for 60 years but there's nothing new!

Huenda hii kitu ikawa ndo kujitafuta kwenyewe and finally, kugundua kwamba kumbe tatizo la msingi ni viongozi wanaume, na wala sio CCM kwa sababu, MItanzania linapokuja suala la wizi, yote ni mijizi...

Unakuta kijana mdogo tu lakini akiwekwa mahali penye neema , na lenyewe linaanza wizi utadhani tumelaaniwa vile!
Halafu tunawasema tu kabila fulani wezi. Wakati mitanzania yote ni mijizi..tena usipoiba ndugu wanakushangaa kwanini hujaiba. Ni sawa na una cheo/madaraka makubwa kisha usiwaingize ndugu utaitwa majina yote ya roho mbaya, na hapohapo ukawa neutral utasikia charity begins at home cheki yule anasaidia wengine hawasaidii ndugu zake kwenye ajira.
 
Back
Top Bottom