Tunaelekea kuwa taifa la kike la mfano duniani

Tunaelekea kuwa taifa la kike la mfano duniani

Bonge la ngoma 👇👇👇

🎵🎧Strength of a Woman - Shaggy💪🇹🇿👍
 
na bado mkeo anaongoza familia. wewe kazi yako ni kutoa hela
Mimi ndiye kichwa/mtawala wa familia na kiongozi wa kila kitu, akifuatiwa yeye. Anafuata amri yangu katika kuijenga familia imara.
 
Naam sasa ndio wakati wa kuidhihirishia dunia kuwa Wanawake wanaweza au hawawezi wakipewa.
Mihimili miwili mikuu kati ya mitatu kuongozwa na wanawake, huku wizara nyeti kabisa takribani 8 ikiwemo ULINZI kuwa chini ya wanawake.

Jee tutaweza kuidhihirishia dunia kuwa Tanzania ni TAIFA LA KIKE la mfano bora? Au tunaenda kufeli na kubaki kuwa taifa la mapambio, unafiki na vijembe kama vya vibarazani watu wakichambua Mchele na kukuna nazi?

Tunawapa six month on probation
Feminist bullshit na udini.
 
Naam sasa ndio wakati wa kuidhihirishia dunia kuwa Wanawake wanaweza au hawawezi wakipewa.
Mihimili miwili mikuu kati ya mitatu kuongozwa na wanawake, huku wizara nyeti kabisa takribani 8 ikiwemo ULINZI kuwa chini ya wanawake.

Jee tutaweza kuidhihirishia dunia kuwa Tanzania ni TAIFA LA KIKE la mfano bora? Au tunaenda kufeli na kubaki kuwa taifa la mapambio, unafiki na vijembe kama vya vibarazani watu wakichambua Mchele na kukuna nazi?

Tunawapa six month on probation
mifano ya wanawake waliofanya vizuri kwenye uongozi wa juu kabisa nchini mwao tunao, sijui kwa nini hatuwaamini wa mama wetu,
magreth thatcher,angel merkel, Magdalena Andersson, Katrin Jakobsdottir,sanna marin(binti mdogo kabisa alikuwa na miaka 34 tu wakati anachaguliwa kuwa waziri mkuu wa finland. hebu tuwaamini tuwaunge mkono naamini watafanya vizuri lakini pia tukumbuke wanaongozwa na katiba,sheria na kanuni pia wana wasaidizi lukuki ambao ni wataalam. hebu muangalie christine lagard alivyodumu kwenye nafasi yake. TUWAPENI NAFASI, TUSIONYESHE KUTOWAAMINI ASUBUHI HII
 
Halafu tunawasema tu kabila fulani wezi. Wakati mitanzania yote ni mijizi..tena usipoiba ndugu wanakushangaa kwanini hujaiba. Ni sawa na una cheo/madaraka makubwa kisha usiwaingize ndugu utaitwa majina yote ya roho mbaya, na hapohapo ukawa neutral utasikia charity begins at home cheki yule anasaidia wengine hawasaidii ndugu zake kwenye ajira.
Wala tusifiche fiche... tunawasemanga Wachaga eti ni wezi, wakati ukweli wenyewe ndo huo... MITANZANIA YOTE NI MIJIZI!

Wachaga wanahukumiwa kwa sababu ya wivu tu kutokana na wao kupata fursa ya kuwemo ofisi za kuweza kuiba! Lakini hapo unapomweka Mchaga, hata ukimweka Mmakonde, Mpogogolo au Mmatumbi kama mimi, na lenyewe LITAIBA TU!

Ukianzisha biashara, ukamweka hata ndugu yako wa damu, na lenyewe LITAKUIBIA TU!!

Halafu hapo nilipo-highlight! Asiyewafahamu Watanzania anaweza kudhani umefanya utani, kumbe ndo uhalisia!
 
Back
Top Bottom