Haijaandikwa ndio maana sikusema haiwezekani, inawezekana ila itachukua muda kidogo kutokana na mazoea yaliyopo na ile dhana ya "kubadilisha oil"Imeandikwa wapi hiyo?
Ninaziona kwake dalili njema za yeye kuwa Rais ajae. Sijui wewe kama huzioni.
View: https://www.youtube.com/live/J_snXwqMPgU?si=9KenaV6X_GGepwnA
Lazima uwe na cheo.Nenda kadese na wewe kama ikiwezekana
Halafu huyo Mwigulu ni mjinga wa hatari, anasema ana miaka 50, ila 2015 aliingia kugombea urais, na wakati kikatiba urais lazima uwe na 42+ yrs.Nenda kadese na wewe kama ikiwezekana
We hizo dalili ndio unaziona leo?, angalia sisi wenzio tuliziona toka lini Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa!Ninaziona kwake dalili njema za yeye kuwa Rais ajae. Sijui wewe kama huzioni.
Just believe me, hakuna mtu aliyewahi kuwa PM akawa Rais wa Tz. Unapokuwa PM unakuwa exposed kwenye mabaya yote ambayo Serikali ya wakati huo inafanya. Inapofika kutafuta mgombea, unkuwa umechokwa na "wadau"Imeandikwa wapi?
Huyu ndo aliua hata mfuko wa road fund alafu anapiga porojo za Wakandarasi wamelipwa mtu muongo kwa maslahi yake hawezi kua Rais wa nchi ova Nchimbi anatoshaDalili gani.. Nijuze pia mkuu
Ameshika nafasi nyingi kubwa Tu, kina kitu ameshawahi kufanya cha kuonesha vision, charisma na utendaji kazi wake.
Simaanishi huu wa camera nyingi, namaanisha ule ambao ukisema leo hii wizara ya fedha ipo namna A kwa sababu yake etc
Nenda kadese na wewe kama ikiwezekana
Kwa hoja zako hizi kama nawe una PhD basi elimu yetu imeshuka vibaya sana. Ni thesis za Plagiarism. yaani garbage in garbage out.Unanifahamu? Au unajua tunafanana kwa kuwa tupo wote jf? Kama nilidesa naye nikarudie? Huna hoja chawa
Mbona Magufuli alikuwa waziri kwenye serikali ya JK lakini lakini watu hawakumchoka na akawa Rais?. Hata Sokoine alikuwa Waziri Mkuu na angeweza kuwa Rais pia. Salim Ahmed Salim kama sio wazanzibar wenzake angeweza kuwa rais pia.Just believe me, hakuna mtu aliyewahi kuwa PM akawa Rais wa Tz. Unapokuwa PM unakuwa exposed kwenye mabaya yote ambayo Serikali ya wakati huo inafanya. Inapofika kutafuta mgombea, unkuwa umechokwa na "wadau"
Labda kwakuwa tunaangalia uislam na ukatoliki tu basi. Tayari Nchimbi unaemsema ni Mkatoliki ingawa hata yeye simchukii.Huyu ndo aliua hata mfuko wa road fund alafu anapiga porojo za Wakandarasi wamelipwa mtu muongo kwa maslahi yake hawezi kua Rais wa nchi ova Nchimbi anatosha