kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 16,247
- 16,169
- Thread starter
- #121
Waliuliwa Mungiki toka Kenya. Eti wakenya waliletwa kuja kuwafundisha watanzania namna ya kuchoma yao.Ili mfanye utekaji na mauaji?
Fisadi na muuaji Mwigulu amezunguka karibu mikoa yote akitetea mauaji ya maelfu ya Watanganyika ya MO29.
Na ni huyo huyo aliwahi kuwaambia wananchi maskini kuwa wakishindwa kulipa utitiri wa Tozo wahamie Burundi
Watu wanalinganisha Kenya na Tanzania kimakosa. Kenya imeuzwa wakati tz ni mali ya watanzania. Wakenya wanahangaika huku na huko wakitafuta maisha waliyoporwa na wazungu na mabwanyenye weusi wakenya wenzao. Kila unachokiona Kenya sio cha wakenya.