Tumtengeneze Mwigulu kuwa Rais bora ajae

Tumtengeneze Mwigulu kuwa Rais bora ajae

Ili mfanye utekaji na mauaji?

Fisadi na muuaji Mwigulu amezunguka karibu mikoa yote akitetea mauaji ya maelfu ya Watanganyika ya MO29.

Na ni huyo huyo aliwahi kuwaambia wananchi maskini kuwa wakishindwa kulipa utitiri wa Tozo wahamie Burundi
Waliuliwa Mungiki toka Kenya. Eti wakenya waliletwa kuja kuwafundisha watanzania namna ya kuchoma yao.
Watu wanalinganisha Kenya na Tanzania kimakosa. Kenya imeuzwa wakati tz ni mali ya watanzania. Wakenya wanahangaika huku na huko wakitafuta maisha waliyoporwa na wazungu na mabwanyenye weusi wakenya wenzao. Kila unachokiona Kenya sio cha wakenya.
 
Waliuliwa Mungiki toka Kenya. Eti wakenya waliletwa kuja kuwafundisha watanzania namna ya kuchoma yao.
Watu wanalinganisha Kenya na Tanzania kimakosa. Kenya imeuzwa wakati tz ni mali ya watanzania. Wakenya wanahangaika huku na huko wakitafuta maisha waliyoporwa na wazungu na mabwanyenye weusi wakenya wenzao. Kila unachokiona Kenya sio cha wakenya.
Leta video au picha moja ya maiti ya mkenya iliyorudishwa Kenya baada ya kuuwawa Tanzania October 29.

Na hao "Mungiki" unaowaosema pengine uliwaunda wewe muda wanaingia maafisa wa uhamiaji wa Tanzania walikuwa wapi?
 
Je wewe umejitengeneza kuwa kiongozi Bora WA familia yako?
Kaka mm niko vizuri sana kwenye upande huo. Kiongozi bora ni yule ambae ni kiongozi wa yeye mwenyewe, familia, ukoo na jamii inayomzunguuka kabla ya kuwa kiongozi wa umma.
 
Leta video au picha moja ya maiti ya mkenya iliyorudishwa Kenya baada ya kuuwawa Tanzania October 29.

Na hao "Mungiki" unaowaosema pengine uliwaunda wewe muda wanaingia maafisa wa uhamiaji wa Tanzania walikuwa wapi?
Yaani kwa idadi ya watu waliouliwa inayotangwa na chadema kama ingekuwa ya kweli basi tungeona matulubai mengi nchi nzima ya misiba ya watu hao waliouliwa, maana nyumba yenye msiba haijifichi bana.

Hapa mtaani kwetu aliuliwa kijana mmoja na polisi ambae alikuwa haandamani, lakini kosa lake lilikuwa kuwazomea askari wa doria wakati wakipita mitaani kwetu. Kijana yule aligoma kutii amri ya kukaa ndani badala yake alikuwa akiwachungulia kwenye kona ya ukuta wa nyumba. Nadhani walikuwa wanadhani kuwa alikuwa anawalenga ndipo wakamuwahi yeye. Ukiambiwa usitoke nje wanamaanisha usitoke nje kweli.
 
Yaani kwa idadi ya watu waliouliwa inayotangwa na chadema kama ingekuwa ya kweli basi tungeona matulubai mengi nchi nzima ya misiba ya watu hao waliouliwa, maana nyumba yenye msiba haijifichi bana.
Leta picha au video moja ya maiti ya mkenya acha stori nyingi.

Habari ya kusema CHADEMA wametangaza misiba mimi nimezungumzia wapi?

Mimi nimesema wewe ndio uweke hapa picha , video au link ya msiba wa mkenya aliyeuwawa kwenye maandamano .

Haukuona maturubai mengi sababu maiti zilichukuliwa na kufukiwa Kondo kwenye kaburi la halaiki.
Hapa mtaani kwetu aliuliwa kijana mmoja na polisi ambae alikuwa haandamani, lakini kosa lake lilikuwa kuwazomea askari wa doria wakati wakipita mitaani kwetu. Kijana yule aligoma kutii amri ya kukaa ndani badala yake alikuwa akiwachungulia kwenye kona ya ukuta wa nyumba. Nadhani walikuwa wanadhani kuwa alikuwa anawalenga ndipo wakamuwahi yeye. Ukiambiwa usitoke nje wanamaanisha usitoke nje kweli.
Kwahiyo huyo kijana ni "Mungiki"?

Kwahiyo askari wa Tanzania walifundishwa mtu akiwazomea wanatakiwa kumpiga risasi?

Hivi wewe unaelewa hata chimbuko la Mungiki ???
 
Back
Top Bottom