The iron batterfly
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 1,952
- 2,521
Hahahaha haswaa,haiwezekani umtunze binti yako ,matibabu na huduma kama zote afu aje at.ombwe na liuza mkaa,ama lichovu flan ni kuharibu kizazi na ukoo hahahahahna hili ni fundisho hata kwa sisi binadamu mwanamke mwenye matunzo hatakiwi kuwa kwenye mahusiano na mwanaume wa hovyo hovyo