Tumpe sumu paka wa jirani?

na hili ni fundisho hata kwa sisi binadamu mwanamke mwenye matunzo hatakiwi kuwa kwenye mahusiano na mwanaume wa hovyo hovyo
Hahahaha haswaa,haiwezekani umtunze binti yako ,matibabu na huduma kama zote afu aje at.ombwe na liuza mkaa,ama lichovu flan ni kuharibu kizazi na ukoo hahahahah
 
Endelea kulamba lamba ndimu kwanza ukijifungua uniambie

Labda wanaume wa huko kwenu Dar kama Hawa

Halafu wanawake mnajiona too special
Hapo hapo mnataka 50/50
Hahahaha haha mtasubiri Sana labda mkojoe mkiwa mmesimama

Hauwez kushindana na nature (asili)
Utaumia ww shaur yako

Utaumia mwili, roho, na nafsi View attachment 1131509View attachment 1131511
Hiyo nature inakutaka wewe kama mwanaume kuprovide kwa mkeo na family kwa ujumla,ukililia kusaidiwa majukumu na mkeo ujue uanaume wako una kasoro hahahahah
 
Sasa Kati ya wanaume na wanawake nan anataka haki Sawa??

Kwa sababu mnataka haki Sawa Basi tunawaachia na majukumu yetu tuliyo kuwa tunafanya ili tufanye wote!!

Sasa hapo siwez kukuhudumia kama mwanzo kwa sababu ushaingilia nafas yng
Kila mtu apambane na hali yake

Mbona Mtanyooka tuu tulieni

Hamuoni na wanaume nao wanataka kuolewa kama ninyi
Kuvaa heren, kusuka raster
Mbona kitaeleweka tuu

Halafu Mlivo wengi hivi wanaume halisi tutabaki wachache Sana tukiendelea kuwatafuna wale wanawake wanaojielewa
Wewe binafsi unawatafuna wanawake wangapi kwasasa?manake unasema wanawake wako wengi .Tuambie wewe unao wangapi unaowamudu?hahahah usipanic weka facts mezan
 
Sema nikutumie ticket uje hapa Copenhagen capital city of Denmark
Nikulishe hadi utakapo amua kuondoka

Sishangai hata passport huna
Hilo ondoka Shaka nita process mwenyewe hadi upate uje uonje flavor ya Denmark
Unadhani kila mtu limbukeni kama wewe? Kweli masikini akipata mataka hulia mbwata.
 
Hahahaha haswaa,haiwezekani umtunze binti yako ,matibabu na huduma kama zote afu aje at.ombwe na liuza mkaa,ama lichovu flan ni kuharibu kizazi na ukoo hahahahah
Kabisa hii inawafanya wanaume wanaacha kutafuta pesa kwa bidii zote ili watimize majukumu yao matokeo yake wanawaza kuja kutafuta wanawake ambao wametoka kwenye familia zenye unafuu ili hao wanaume nao wapate mteremko kupitia pesa za watu wengine
 
Nyumbani tuna paka jike.
Kwa vile tuna watoto wadogo na wanapenda kumchezea tukaona isiwe mbaya tumgharamie kumpeleka vet clinic kwa check up,kumkata kucha ,madawa etc
Tatizo ni kwamba anashiriki kimwili na paka wa jirani ambae yeye Hana matuzo kwaiyo anamuweka paka wetu kwenye risk hence watoto!
Je tumpe sumu afe?
Miss Natafuta una wivu mbaya sana aise... Nilidhani wivu wako umeishia kwa yule msichana wako wa kazi ambaye hutaki apigwe mkitu, sasa naona wivu umeingia hadi kwa Paka.... Dah una pepo la wivu wewe.
 
Back
Top Bottom