Tumpe sumu paka wa jirani?

Tumpe sumu paka wa jirani?

na hili ni fundisho hata kwa sisi binadamu mwanamke mwenye matunzo hatakiwi kuwa kwenye mahusiano na mwanaume wa hovyo hovyo
Na wanaume wenye matunzo hawatakiwi kutembea na wanawake wa Ovyo Ovyo
 
Na wanaume wenye matunzo hawatakiwi kutembea na wanawake wa Ovyo Ovyo
Hapana wanaume wenye matunzo ndo wanatakiwa kutembea na wanawake wa hovyo hovyo kwa sababu watatakiwa kuwapa matunzo hao wanawake ili nao wawe na matunzo wasiwe wa hovyo hovyo maana kiasili ni jukumu la mwanaume kumhudumia mwanamke kifedha

Ila wanawake wenye matunzo hawatakiwi kutembea na wanaume wa hovyo hovyo kwa sababu watajikuta wanawapa matunzo hao wanaume ili nao wasiwe wa hovyo hovyo wakati kiasili siyo jukumu la mwanamke kumhudumia mwanaume kifedha
 
Mpeni uzazi wa mpango mapema asijewajazia vitoto hapo.
 
Hapana wanaume wenye matunzo ndo wanatakiwa kutembea na wanawake wa hovyo hovyo kwa sababu watatakiwa kuwapa matunzo hao wanawake ili nao wawe na matunzo wasiwe wa hovyo hovyo maana kiasili ni jukumu la mwanaume kumhudumia mwanamke kifedha

Ila wanawake wenye matunzo hawatakiwi kutembea na wanaume wa hovyo hovyo kwa sababu watajikuta wanawapa matunzo hao wanaume ili nao wasiwe wa hovyo hovyo wakati kiasili siyo jukumu la mwanamke kumhudumia mwanaume kifedha
Umekaa kijasiriamali mkuu,si ajabu mwanaume utakayekuja kuwa naye akaishia kuvaa suruali moja tu...majukumu yatakuwa mazito
 
Hapana wanaume wenye matunzo ndo wanatakiwa kutembea na wanawake wa hovyo hovyo kwa sababu watatakiwa kuwapa matunzo hao wanawake ili nao wawe na matunzo wasiwe wa hovyo hovyo maana kiasili ni jukumu la mwanaume kumhudumia mwanamke kifedha

Ila wanawake wenye matunzo hawatakiwi kutembea na wanaume wa hovyo hovyo kwa sababu watajikuta wanawapa matunzo hao wanaume ili nao wasiwe wa hovyo hovyo wakati kiasili siyo jukumu la mwanamke kumhudumia mwanaume kifedha
Endelea kulamba lamba ndimu kwanza ukijifungua uniambie

Labda wanaume wa huko kwenu Dar kama Hawa

Halafu wanawake mnajiona too special
Hapo hapo mnataka 50/50
Hahahaha haha mtasubiri Sana labda mkojoe mkiwa mmesimama

Hauwez kushindana na nature (asili)
Utaumia ww shaur yako

Utaumia mwili, roho, na nafsi
tapatalk_1560419111312.jpeg
tapatalk_1560276590971.jpeg
 
Huwa Wana -muweka kwenye mfuko wa kiroba kisha ndio Wana kwenda kumtupa
Hapa mkuu ndo atamjua paka vizuri,

Wakati anarejea nyumbani kutoka huko alikomtelekeza anaweza kumkuta yeye kashafika nyumbani masaa mawili kabla yake.
 
Muozesheni ili matunzo wapate wote
 
Endelea kulamba lamba ndimu kwanza ukijifungua uniambie

Labda wanaume wa huko kwenu Dar kama Hawa

Halafu wanawake mnajiona too special
Hapo hapo mnataka 50/50
Hahahaha haha mtasubiri Sana labda mkojoe mkiwa mmesimama

Hauwez kushindana na nature (asili)
Utaumia ww shaur yako

Utaumia mwili, roho, na nafsi View attachment 1131509View attachment 1131511
Hiyo haki sawa sasa ndo inatokana na wanaume kutaka wanawake wawasaidie kutafuta pesa ili msiwahudumie lakini siku zote mwanamke anayehudumiwa na mwanaume hawezi kutaka kuwa sawa na mwanaume hata siku moja

Tatizo hamtaki kutimiza majukumu yenu kwetu mnataka tuwasaidie halafu hapo hapo mnataka tuwe chini yenu labda dunia ipinduke juu chini chini juu yaani hapo lazima tushindane na nyie tu na ndo maana siku hizi malalamiko yamekuwa mengi kwenye ndoa kutoka kwa wanaume kuwa wake zao hawana heshima mwanamke aliambiwa akuheshimu kwa sababu Mungu alitaka wewe umhudumie na siyo akuheshimu hivi hivi tu wakati haujamuumba wala haujamzaa
 
Hiyo haki sawa sasa ndo inatokana na wanaume kutaka wanawake wawasaidie kutafuta pesa ili msiwahudumie lakini siku zote mwanamke anayehudumiwa na mwanaume hawezi kutaka kuwa sawa na mwanaume hata siku moja

Tatizo hamtaki kutimiza majukumu yenu kwetu mnataka tuwasaidie halafu hapo hapo mnataka tuwe chini yenu labda dunia ipinduke juu chini chini juu yaani hapo lazima tushindane na nyie tu na ndo maana siku hizi malalamiko yamekuwa mengi kwenye ndoa kutoka kwa wanaume kuwa wake zao hawana heshima mwanamke aliambiwa akuheshimu kwa sababu Mungu alitaka wewe umhudumie na siyo akuheshimu hivi hivi tu wakati haujamuumba wala haujamzaa
Sasa Kati ya wanaume na wanawake nan anataka haki Sawa??

Kwa sababu mnataka haki Sawa Basi tunawaachia na majukumu yetu tuliyo kuwa tunafanya ili tufanye wote!!

Sasa hapo siwez kukuhudumia kama mwanzo kwa sababu ushaingilia nafas yng
Kila mtu apambane na hali yake

Mbona Mtanyooka tuu tulieni

Hamuoni na wanaume nao wanataka kuolewa kama ninyi
Kuvaa heren, kusuka raster
Mbona kitaeleweka tuu

Halafu Mlivo wengi hivi wanaume halisi tutabaki wachache Sana tukiendelea kuwatafuna wale wanawake wanaojielewa
 
Back
Top Bottom